Skip to main content

Mapya ya Mose Iyobo mahusiano yake na mpenzi wake Aunt Ezekiel


Mose Iyobo ambaye amezaa na star wa Bongo movie Aunt Ezekiel amesema hasa hasa amenufaika sana na umaarufu wa Aunt Ezekiel kwa kujulikana zaidi.
aunt-ezekiel
“Kuwa na mahusiano na mama Cookie kumenisogeza sana,” alisema Mose. “Kwa sababu ni star wa filamu toka kitambo sana. Mimi nilikuwa najulikana lakini siyo kivile, lakini nilivyokutana na Mama Cookie kuna vitu vingi vimeongezeka katika maisha yangu,” alisema Mose.
Pia Mose amesema mwanae Cookie ataonyeshwa hadharani rasmi kwa mara ya kwanza tarehe 21 mwezi huu baada ya kutimiza mwaka mmoja.
Source: Bongo5

Comments