Skip to main content

MTIBWA SUGAR ITAENDELEA KUMPA NAFASI SHAABAN NDITTI



Nditi-Gervinho

Shaaban nditti anamaliza msimu wake wa 17 mfululizo katika ligi kuu Tanzania bara na mchezaji huyo wa zamani wa Taifa Stars bado ana nguvu, maarifa, mbinu, na uwezo wa kupambana bila kuchoka na wachezaji vijana.
Wakati wengi ‘wameingia na kutoka’ katika ligi kuu bara, Nditti amedumu tangu mwaka 1999 alikoanza soka lake akiwa na timu ya Singida United ya Singida. Alisajiliwa na Mtibwa Sugar kwa mara ya kwanza mara baada ya Mtibwa kutwaa ubingwa wao wa pili mfululizo wa VPL mwishoni mwa 2000.
“Na bado kama Mungu anampa uzima basi atafikisha miaka 25 maana bado mwenye nguvu na anawajibika ipasavyo, na pia ana jitunza haswa”, anasema Yusuph Mgwao mshambuliaji wa zamani wa Simba SC na Mtibwa ambaye amewahi kucheza na Nditti katika timu zote hizo miaka ya 2004 na 2005.
Nditti aliondoka Mtibwa na kusajiliwa na Simba mwishoni mwa mwaka 2003 lakini alishindwa kutulia klabuni hapo na baada ya kumalizika kwa msimu wa 2004 akaamua kurejea Mtibwa ambako amedumu kwa miaka 12 mfululizo bila kuhama huku akitumia misimu miwili tu kati ya 17 kucheza nje ya timu hiyo ya Turiani, Morogoro.
Akiwa mshindi wa taji la ligi kuu mwaka 2004 akiwa na Simba, Nditti ameichezea timu ya Taifa kwa miaka zaidi ya kumi na kila kocha wa kigeni kuanzia, Mbrazil, Marcio Maximo (2006 hadi 2010,) Wadenish JAN na KIM Poulsen wote walipendezwa na nidhamu ya Nditti, mchezo wake wa uhakika akiwa katikati ya uwanja.
“Namkubali sana ‘ankol’ na najivunia sana kuwahi kucheza naye timu moja. Mwenyezi Mungu amlinde naamini atazidi kucheza kwa miala mingi zaidi sababu anatumia sana akili kuliko nguvu. Heshima kubwa sana kwake.” anasema mshambulizi Juma Ndanda Liuzio ambaye sasa anakipiga katika timu ya Zesco United ya Zambia.
Liuzio ni mchezaji wa zamani wa timu ya vijana ya Mtibwa kisha ile ya wa kubwa alicheza na Nditti kwa misimu miwili klabuni Mtibwa. “Nidhamu yake nje na ndani ya uwanja ndiyo silaha yake kubwa, nilimpokea kwa mara ya kwanza akiwa kijana mdogo pale Singida. Mungu amsimamie ‘my young brother’ Nditti.” ni maneno ya mlinzi wa zamani wa Yanga SC, Mzee Abdallah.
Nilimtafuta msemaji wa Mtibwa, Thobias Kifaru na kutaka kufahamu kama wataendelea kuwa Nditti msimu ujao.
“Amekuwa kiongozi mzuri kwa wachezaji ndani na hata nje ya uwanja. Amekuwa hapa kwa miaka zaidi ya 14, hapa ni nyumbani kwake na sisi kama Mtibwa tunafarijika kumuona akicheza katika kiwango cha juu kila msimu. Bado tunahitaji huduma na ya kapteni wetu Nditti lakini kwa sasa siwezi kusema zaidi, ila Nditti atabaki Mtibwa na tutakuwa nae msimu ujao”, anasema Kifaru.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...