Skip to main content

MTIBWA SUGAR ITAENDELEA KUMPA NAFASI SHAABAN NDITTI



Nditi-Gervinho

Shaaban nditti anamaliza msimu wake wa 17 mfululizo katika ligi kuu Tanzania bara na mchezaji huyo wa zamani wa Taifa Stars bado ana nguvu, maarifa, mbinu, na uwezo wa kupambana bila kuchoka na wachezaji vijana.
Wakati wengi ‘wameingia na kutoka’ katika ligi kuu bara, Nditti amedumu tangu mwaka 1999 alikoanza soka lake akiwa na timu ya Singida United ya Singida. Alisajiliwa na Mtibwa Sugar kwa mara ya kwanza mara baada ya Mtibwa kutwaa ubingwa wao wa pili mfululizo wa VPL mwishoni mwa 2000.
“Na bado kama Mungu anampa uzima basi atafikisha miaka 25 maana bado mwenye nguvu na anawajibika ipasavyo, na pia ana jitunza haswa”, anasema Yusuph Mgwao mshambuliaji wa zamani wa Simba SC na Mtibwa ambaye amewahi kucheza na Nditti katika timu zote hizo miaka ya 2004 na 2005.
Nditti aliondoka Mtibwa na kusajiliwa na Simba mwishoni mwa mwaka 2003 lakini alishindwa kutulia klabuni hapo na baada ya kumalizika kwa msimu wa 2004 akaamua kurejea Mtibwa ambako amedumu kwa miaka 12 mfululizo bila kuhama huku akitumia misimu miwili tu kati ya 17 kucheza nje ya timu hiyo ya Turiani, Morogoro.
Akiwa mshindi wa taji la ligi kuu mwaka 2004 akiwa na Simba, Nditti ameichezea timu ya Taifa kwa miaka zaidi ya kumi na kila kocha wa kigeni kuanzia, Mbrazil, Marcio Maximo (2006 hadi 2010,) Wadenish JAN na KIM Poulsen wote walipendezwa na nidhamu ya Nditti, mchezo wake wa uhakika akiwa katikati ya uwanja.
“Namkubali sana ‘ankol’ na najivunia sana kuwahi kucheza naye timu moja. Mwenyezi Mungu amlinde naamini atazidi kucheza kwa miala mingi zaidi sababu anatumia sana akili kuliko nguvu. Heshima kubwa sana kwake.” anasema mshambulizi Juma Ndanda Liuzio ambaye sasa anakipiga katika timu ya Zesco United ya Zambia.
Liuzio ni mchezaji wa zamani wa timu ya vijana ya Mtibwa kisha ile ya wa kubwa alicheza na Nditti kwa misimu miwili klabuni Mtibwa. “Nidhamu yake nje na ndani ya uwanja ndiyo silaha yake kubwa, nilimpokea kwa mara ya kwanza akiwa kijana mdogo pale Singida. Mungu amsimamie ‘my young brother’ Nditti.” ni maneno ya mlinzi wa zamani wa Yanga SC, Mzee Abdallah.
Nilimtafuta msemaji wa Mtibwa, Thobias Kifaru na kutaka kufahamu kama wataendelea kuwa Nditti msimu ujao.
“Amekuwa kiongozi mzuri kwa wachezaji ndani na hata nje ya uwanja. Amekuwa hapa kwa miaka zaidi ya 14, hapa ni nyumbani kwake na sisi kama Mtibwa tunafarijika kumuona akicheza katika kiwango cha juu kila msimu. Bado tunahitaji huduma na ya kapteni wetu Nditti lakini kwa sasa siwezi kusema zaidi, ila Nditti atabaki Mtibwa na tutakuwa nae msimu ujao”, anasema Kifaru.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.