Skip to main content

Shamrashamra zimemalizika katika mji wa Milan zimemalizika na kutua sasa Madrid



Madrid-UCL 5

Shamrashamra zimemalizika katika mji wa Milan na badala yake sherehe hizo za kushangilia ubingwa zimehamia kwenye jiji la Madrid ambako Real wanasubiriwa kupokelewa na mashabiki wao baada ya kufanikiwa kutwaa taji la vilabu bingwa barani Ulaya.

Baada ya mchezo kumalizika, makocha wote wawili walikuwa na mitazamo tofauti kutokana na timu zao zilivyocheza na matokeo yaliyopatikana baada ya mechi kumalizika.

Zidane yeye amefanikiwa kubeba taji hilo akiwa kocha wa saba kati ya wale ambao waliwahi kutwaa kama wachezaji na baadaye kutwaa taji hilo wakiwa makocha. Zidane ametumia muda mfupi sana kuiwezesha Madrid kushinda Champions League ukilinganisha na watangulizi wake. Ndani ya mezi sita amefanikiwa kutwaa taji hilo tangu alipokabidhiwa timu toka mikononi mwa Rafael Benitez.

Amesema siri kubwa ya mabadiliko na mapinduzi aliyoyafanya kwenye kikosi cha Real ni kuwasisitiza wachezaji wake kupambania mafaniko bila kuchoka na kikubwa ni falsafa yake ya kwamba, ukifanya kazi kwa jitihada utapata matokeo unayoyataka.

Amewashukuru wachezaji wake  kwa umoja ambao wameuonesha na namna ambavyo waliweza kupambana na kuweza kufanikiwa kushinda taji hilo.

Kwa upande wa Diego Simeone ‘El Cholo’ yeye anasema wamefeli wao kama Atletico kwa kushindwa kubeba taji hilo licha ya kuingia kwenye fainali mara mbili. Lakini kikubwa ambacho kimemuumiza na kumsikitisha ni pale anapowafikiria mashibiki ambao mara zote wamelipa fedha zao kwenda kuishuhudia timu yao mara zote inapocheza katika fainali.

Lakini akasema anawashukuru mashabiki na anajivunia wachezaji wake kwa namna ambavyo wamekuwa wakipambana kuhakikisha timu inapat matokeo.

Kuhusu mustakabali wake wa bada, Diego Simeonehajazungumza lolote. Amesema kwa sasa ni muda wa kupumzika na kutuliza akili ili kuangalia namna ambavyo wanaweza kuja katika msimu unaokuja.Source Shaffih Dauda

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...