Skip to main content

Shamrashamra zimemalizika katika mji wa Milan zimemalizika na kutua sasa Madrid



Madrid-UCL 5

Shamrashamra zimemalizika katika mji wa Milan na badala yake sherehe hizo za kushangilia ubingwa zimehamia kwenye jiji la Madrid ambako Real wanasubiriwa kupokelewa na mashabiki wao baada ya kufanikiwa kutwaa taji la vilabu bingwa barani Ulaya.

Baada ya mchezo kumalizika, makocha wote wawili walikuwa na mitazamo tofauti kutokana na timu zao zilivyocheza na matokeo yaliyopatikana baada ya mechi kumalizika.

Zidane yeye amefanikiwa kubeba taji hilo akiwa kocha wa saba kati ya wale ambao waliwahi kutwaa kama wachezaji na baadaye kutwaa taji hilo wakiwa makocha. Zidane ametumia muda mfupi sana kuiwezesha Madrid kushinda Champions League ukilinganisha na watangulizi wake. Ndani ya mezi sita amefanikiwa kutwaa taji hilo tangu alipokabidhiwa timu toka mikononi mwa Rafael Benitez.

Amesema siri kubwa ya mabadiliko na mapinduzi aliyoyafanya kwenye kikosi cha Real ni kuwasisitiza wachezaji wake kupambania mafaniko bila kuchoka na kikubwa ni falsafa yake ya kwamba, ukifanya kazi kwa jitihada utapata matokeo unayoyataka.

Amewashukuru wachezaji wake  kwa umoja ambao wameuonesha na namna ambavyo waliweza kupambana na kuweza kufanikiwa kushinda taji hilo.

Kwa upande wa Diego Simeone ‘El Cholo’ yeye anasema wamefeli wao kama Atletico kwa kushindwa kubeba taji hilo licha ya kuingia kwenye fainali mara mbili. Lakini kikubwa ambacho kimemuumiza na kumsikitisha ni pale anapowafikiria mashibiki ambao mara zote wamelipa fedha zao kwenda kuishuhudia timu yao mara zote inapocheza katika fainali.

Lakini akasema anawashukuru mashabiki na anajivunia wachezaji wake kwa namna ambavyo wamekuwa wakipambana kuhakikisha timu inapat matokeo.

Kuhusu mustakabali wake wa bada, Diego Simeonehajazungumza lolote. Amesema kwa sasa ni muda wa kupumzika na kutuliza akili ili kuangalia namna ambavyo wanaweza kuja katika msimu unaokuja.Source Shaffih Dauda

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.