Skip to main content

Warioba- Msituingilie, msitushinikize


MWENYEKITI wa Tume ya Kukusanya na Kuratibu Maoni ya Wananchi kuhusu Katiba, Jaji Joseph Warioba amevitaka vikundi na wananchi waliopendekeza wajumbe wa Tume hiyo, kuiacha ifanye kazi iliyopewa kufanya.

Pamoja na hayo, Tume hiyo jana ilikabidhiwa rasmi jengo la ofisi ya kufanyia kazi, kuahidiwa magari 30, kuajiri watumishi wa sekretarieti watakaosaidia na kuanzishiwa fungu maalumu la kuiwezesha kufanya kazi.

Akizungumza wakati Tume hiyo inakabidhiwa ofisi Dar es Salaam, Jaji Warioba ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu, alisema waliopendekeza majina ya wajumbe hao, wasitarajie kuwa wajumbe hao watafanya watakavyo wao kwani Tume hiyo ni ya Watanzania wote na si watu wachache.

“Naomba kwa dhati kabisa, waliotupendekeza watuache tufanye kazi, tumepewa jukumu la nchi tuacheni tufanye kazi bila shinikizo,” alisema Jaji Warioba.

Alisema iwapo waliopendekeza Tume hiyo wanadhani kuwa wameweka watu wao hivyo mambo yatafanyika kama wanavyotaka wao, watakuwa wanajidanganya kwa kuwa kazi ya Tume ni moja tu ya kutumikia wananchi.
Alisema majukumu ya Tume hiyo si kuandika Katiba bali kukusanya maoni, kuyachambua na kuandika rasimu ya Katiba ambayo itazaa Katiba mpya.

Alihamasisha wananchi kujiandaa na kujitokeza kwa wingi kutoa maoni yao. Alisema Tume hiyo iliyoanza kazi juzi, inaandaa utaratibu utakaoiwezesha kufikia wananchi wengi ili kupata maoni mengi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...