Skip to main content

MBUNGE WA CHAMA TAWALA NCHINI MAREKANI AHAMASISHA UANZISHWAJI WA KAMATI NDOGO (CAUCUS) YA WABUNGE KUISEMEA TANZANIA


Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar akiwa na Mhe. Dan Boren, Mbunge wa Bunge la Marekani kutoka Oklahoma,aliyemtembelea ofisini kwakwe.
Mhe.Balozi Maajar akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge Dan Boren,Mkurugenzi wa Bunge, Bi.Hilary Moffett,na kushoto na kulia na Bibi Lily Munanka Mkuu wa Utawala Ubalozini na Afisa Ubalozi Bw. Suleiman Saleh.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Mwanaidi Sinare Maajar,Jumatano Mei 9, 2012 alimpokea Ubalozini, Mhe. Dan Boren na kufanya naye mazungumzo ya uanzishwaji wa Tanzania Caucus katika Bunge la Marekani ambapo Tanzania itakuwa imepata mtetezi na msemaji bungeni humo kila linapotokea jambo linalohusu Tanzania.

Mhe. Boren ni mbunge wa Bunge la Marekani kutoka Wilaya ya Pili, Jimbo la Oklahoma, amehamasisha na hatimaye kuanzisha kundi la wabunge wenye mapenzi na Tanzania, kamati ndogo (caucus) ya kuisemea Tanzania kwenye Bunge la Marekani.

Mhe. Boren ambaye ni mbunge kutoka Chama Tawala cha Democrat ameasisi Kundi hilo hilo akishirikiana na wabunge wenzake kadhaa wa chama chake na wengine kutoka Chama cha Republican kutokana na kufurahishwa kwao na juhudi za Serikali ya Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika kuimarisha demokrasia, utawala bora pamoja na juhudi za kimaendeleo katika sekta za uchumi, nishati, kilimo na hifadhi ya mazingira.

Katika ziara yake hapa ubalozini Mhe. Boren aliyeambatana na Bi. Hilary Moffett, Mkurugenzi wa Sheria Bungeni, alimhakikishia Mhe. Balozi Maajar utayari wake wa kuisaidia Tanzania katika juhudi zake hizo.

Aidha alibainisha kwamba Tanzania ina changamoto nyingi sana mbele yake na hivyo kuwepo kwa sauti mpya ya kuisemea katika Bunge la Marekani ni jambo ambalo analiona litakuwa na manufaa makubwa kwa nchi.

Sambamba na hilo, Mhe. Boren alibainisha kwamba Tanzania imekuwa ni moja ya nchi ambazo Serikali ya Marekani inaziangalia kwa umakini kama mfano wa nchi bora na hivyo ameona ni vyema naye akaunga mkono juhudi hizo za Serikali ya Rais Barack Obama.

Kwa upande wake, Mhe.Balozi Mwanaidi Sinare Maajar alifurahishwa na kufarijika na ujio wa Mhe. Boren Ubalozini na kumueleza kwamba atashirikiana naye bega kwa bega na kuahidi kwamba muda wowote atakapohitajika kukutana na kamati hiyo ya Bw. Boren yupo tayari.

Mhe. Maajar alimshukuru Mhe.Boren kwa mwaliko wake kutembelea Jimbo la Oklahoma ili Tanzania ipate kueleweka zaidi na hivyo kufungua pazia la ushirikiano katika sekta mbali mbali za Uchumi, Kilimo, Nishati na Utalii

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...