Skip to main content

MAYWEATHER AMDUNDA COTTO NA KUWA BINGWA WA ASIEPIGIKA


 
 
BONDIA Floyd Mayweather Jr. ameendeleza ubabe baada ya alfajir hii kumtandika kwa pointi Miguel Cotto katika pambano lililokuwa kali na la kusisimua.
 
 
Mayweather alitumia kasi yake na ufundi kumshinda Cotto, ingawa haikuwa kazi nyepesi kwani mpinzani wake huyo alikuwa akitupa makonde ya maana na kushambulia mwanzo mwisho.
 
''Wewe ni bingwa hatari,'' Mayweather alimuambia Cotto ulingoni baada ya pambano. 'Wewe ni kinana wa nguvu ambaye sijawhai kukutana naye.''
 
Mayweather alitawala raundi ya mwisho, ya 12 akimnyanyasa Cotto na kujihakikishia kucheza mapambano 43 bila kupigwa. Tofauti na mapmabano yake mengi, Mayweather alitokwa damu puani mbele ya Cotto.
 
Majaji wawili walitoa pointi 117-111 na wa tatu akatoa 118-110, hivyo Mayweather ameshinda kwa pointi 116-112.
 
Mayweather aliyepigana wiki chache tu kabla ya kuingia jela ya kutumikia kifungo cha miezi mitatu, alikutana na pambano gumu dhidi ya mplnzani ambaye anakwenda mbele wakati wote
 
Lakini alikuwa mwenye kasi na mjanja zaidi ya Cotto na alionekana kumvaa katika raundi za mwisho.
 
Katika raundi ya mwisho, Mayweather alipiga ngumi yake bora zaidi kwenye pambano hilo, uppercut ya mkono wa kushoto ambayo ilimuonekana kumuumiza Cotto. 
 
Mayweather, aliyeahidiwa kupewa dola za Kimarekani Milioni 32, alilazimika kupigana kila dakika katika raundi 12 za pambano dhidi ya mbabe huyo wa Puerto Rico. 
 
Mayweather atakuwa jela wakati Manny Pacquiao anapanda ulingo huo huo wa MGM Grand Juni 9, dhidi ya Timothy Bradley. 
 
Pambano tamu zaidi la ngumi wanalolisubir9ia wapenzi wengi wa mchezo huo duniani ni kati ya Mayweather dhidi ya Pacquiao, ambalo halijapangwa kufanyika.
 
Hii inatokana na msistizo wa Mayweather kutaka Pacquiao afanyiwe vipimo vya kutumia dawa za kuongeza nguvu, ingawa tayari Pacquiao amesema yuko tayari kufanya hivyo.
 
''Nataka kupigana na Pacquiao, lakini anahitaji kufanyiwa kwanza vipimo vya kutumia dawa za kuongeza nguvu kabla ya kupambana naye,'' alisema Mayweather.
 
Takwimu za makonde, zinaonyesha Mayweather alipiga ngumi 179 zilizofika kati ya 687 alizotupa na Cotto alipiga ngumi 105 zilizofika kati ya 506.
 
Cotto, ambaye sasa anakuwa amepigwa mapambano matatu 37, aliahidiwa kupewa dau kubwa zaidi katika historia yake ya kupigana, dola Milioni 8.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.