Skip to main content

MAYWEATHER AMDUNDA COTTO NA KUWA BINGWA WA ASIEPIGIKA


 
 
BONDIA Floyd Mayweather Jr. ameendeleza ubabe baada ya alfajir hii kumtandika kwa pointi Miguel Cotto katika pambano lililokuwa kali na la kusisimua.
 
 
Mayweather alitumia kasi yake na ufundi kumshinda Cotto, ingawa haikuwa kazi nyepesi kwani mpinzani wake huyo alikuwa akitupa makonde ya maana na kushambulia mwanzo mwisho.
 
''Wewe ni bingwa hatari,'' Mayweather alimuambia Cotto ulingoni baada ya pambano. 'Wewe ni kinana wa nguvu ambaye sijawhai kukutana naye.''
 
Mayweather alitawala raundi ya mwisho, ya 12 akimnyanyasa Cotto na kujihakikishia kucheza mapambano 43 bila kupigwa. Tofauti na mapmabano yake mengi, Mayweather alitokwa damu puani mbele ya Cotto.
 
Majaji wawili walitoa pointi 117-111 na wa tatu akatoa 118-110, hivyo Mayweather ameshinda kwa pointi 116-112.
 
Mayweather aliyepigana wiki chache tu kabla ya kuingia jela ya kutumikia kifungo cha miezi mitatu, alikutana na pambano gumu dhidi ya mplnzani ambaye anakwenda mbele wakati wote
 
Lakini alikuwa mwenye kasi na mjanja zaidi ya Cotto na alionekana kumvaa katika raundi za mwisho.
 
Katika raundi ya mwisho, Mayweather alipiga ngumi yake bora zaidi kwenye pambano hilo, uppercut ya mkono wa kushoto ambayo ilimuonekana kumuumiza Cotto. 
 
Mayweather, aliyeahidiwa kupewa dola za Kimarekani Milioni 32, alilazimika kupigana kila dakika katika raundi 12 za pambano dhidi ya mbabe huyo wa Puerto Rico. 
 
Mayweather atakuwa jela wakati Manny Pacquiao anapanda ulingo huo huo wa MGM Grand Juni 9, dhidi ya Timothy Bradley. 
 
Pambano tamu zaidi la ngumi wanalolisubir9ia wapenzi wengi wa mchezo huo duniani ni kati ya Mayweather dhidi ya Pacquiao, ambalo halijapangwa kufanyika.
 
Hii inatokana na msistizo wa Mayweather kutaka Pacquiao afanyiwe vipimo vya kutumia dawa za kuongeza nguvu, ingawa tayari Pacquiao amesema yuko tayari kufanya hivyo.
 
''Nataka kupigana na Pacquiao, lakini anahitaji kufanyiwa kwanza vipimo vya kutumia dawa za kuongeza nguvu kabla ya kupambana naye,'' alisema Mayweather.
 
Takwimu za makonde, zinaonyesha Mayweather alipiga ngumi 179 zilizofika kati ya 687 alizotupa na Cotto alipiga ngumi 105 zilizofika kati ya 506.
 
Cotto, ambaye sasa anakuwa amepigwa mapambano matatu 37, aliahidiwa kupewa dau kubwa zaidi katika historia yake ya kupigana, dola Milioni 8.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...