Skip to main content

Cuba imesema itaendelea kuwa mshirika wa karibu zaidi na Tanzania ikiwemo Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kukuza uchumi


Na Othman Khamis Ame 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewasili Mjini Havana Nchini Cuba kuendelea na ziara yake ya Kiserikali akitokea Nchini Israel.

Balozi Seif na Ujumbe wake amepokewa na Naibu Waziri wa Mamo ya Nchi za Nje wa Jamuhuri ya Cuba Bwana Marcos Rodrigues Costa pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Walioko Nchini humo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi ameambatana na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Waziri Ofisi ya Waziri Kiongozi Mh. Mohd Aboud Mohd, Waziri wa Afya Mh. Juma Duni haji, Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Dr. Malik Abdulla Juma pamoja na baadhi ya Maafisa wa Serikali.
Balozi Seif na Ujumbe wake amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Baraza la Taifa la Jamuhuri ya Cuba Bwana Esteban Lazo Hernandez yaliyofanyika katika Jumba la Mapinduzi Mjini Havana.
Bwana Esteban alisema Cuba itaendelea kuwa mshirika wa karibu na Tanzania na Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kuwaletea Maendeleo na ustawi wa Jamii Wananchi wa pande hizo mbili.

Bwana Esteban alifahamisha kwamba Mipango itazidi kuimarishwa ili kuona uhusiano wa Kihistoria wa sehemu hizo mbili unakuwa wa kudumu.
Aliipongeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa ujumla kwa kuendeleza amani na Demokrasia ambayo ni kielelezo cha kuigwa na Mataifa mengi Duniani na hasa yale ya Bara la Afrika.
 Naye Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Cuba kwa moyo wake wa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika harakati zake za kuimarisha Utawi wa Jamii.

Balozi Seif alisema Msaada wa Cuba kwa Zanzibar umekucha chachu ya kuondokana na matatizo mbali mbali ya Jamii hasa yale ya Sekta ya Afya.
Hana hivyo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alisema Visiwa vya Zanzibar viko mlango wazi katika kuwakaribisha wawekezaji wa Cuba kuwekeza Vitega Uchumi vyao ili kusaidia kunyanyua Uchumi wa Taifa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...