Skip to main content

Cuba imesema itaendelea kuwa mshirika wa karibu zaidi na Tanzania ikiwemo Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kukuza uchumi


Na Othman Khamis Ame 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewasili Mjini Havana Nchini Cuba kuendelea na ziara yake ya Kiserikali akitokea Nchini Israel.

Balozi Seif na Ujumbe wake amepokewa na Naibu Waziri wa Mamo ya Nchi za Nje wa Jamuhuri ya Cuba Bwana Marcos Rodrigues Costa pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Walioko Nchini humo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi ameambatana na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Waziri Ofisi ya Waziri Kiongozi Mh. Mohd Aboud Mohd, Waziri wa Afya Mh. Juma Duni haji, Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Dr. Malik Abdulla Juma pamoja na baadhi ya Maafisa wa Serikali.
Balozi Seif na Ujumbe wake amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Baraza la Taifa la Jamuhuri ya Cuba Bwana Esteban Lazo Hernandez yaliyofanyika katika Jumba la Mapinduzi Mjini Havana.
Bwana Esteban alisema Cuba itaendelea kuwa mshirika wa karibu na Tanzania na Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kuwaletea Maendeleo na ustawi wa Jamii Wananchi wa pande hizo mbili.

Bwana Esteban alifahamisha kwamba Mipango itazidi kuimarishwa ili kuona uhusiano wa Kihistoria wa sehemu hizo mbili unakuwa wa kudumu.
Aliipongeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa ujumla kwa kuendeleza amani na Demokrasia ambayo ni kielelezo cha kuigwa na Mataifa mengi Duniani na hasa yale ya Bara la Afrika.
 Naye Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Cuba kwa moyo wake wa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika harakati zake za kuimarisha Utawi wa Jamii.

Balozi Seif alisema Msaada wa Cuba kwa Zanzibar umekucha chachu ya kuondokana na matatizo mbali mbali ya Jamii hasa yale ya Sekta ya Afya.
Hana hivyo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alisema Visiwa vya Zanzibar viko mlango wazi katika kuwakaribisha wawekezaji wa Cuba kuwekeza Vitega Uchumi vyao ili kusaidia kunyanyua Uchumi wa Taifa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...