Skip to main content

Cuba imesema itaendelea kuwa mshirika wa karibu zaidi na Tanzania ikiwemo Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kukuza uchumi


Na Othman Khamis Ame 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewasili Mjini Havana Nchini Cuba kuendelea na ziara yake ya Kiserikali akitokea Nchini Israel.

Balozi Seif na Ujumbe wake amepokewa na Naibu Waziri wa Mamo ya Nchi za Nje wa Jamuhuri ya Cuba Bwana Marcos Rodrigues Costa pamoja na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania Walioko Nchini humo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi ameambatana na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi, Waziri Ofisi ya Waziri Kiongozi Mh. Mohd Aboud Mohd, Waziri wa Afya Mh. Juma Duni haji, Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya Dr. Malik Abdulla Juma pamoja na baadhi ya Maafisa wa Serikali.
Balozi Seif na Ujumbe wake amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Baraza la Taifa la Jamuhuri ya Cuba Bwana Esteban Lazo Hernandez yaliyofanyika katika Jumba la Mapinduzi Mjini Havana.
Bwana Esteban alisema Cuba itaendelea kuwa mshirika wa karibu na Tanzania na Zanzibar kwa ujumla katika harakati za kuwaletea Maendeleo na ustawi wa Jamii Wananchi wa pande hizo mbili.

Bwana Esteban alifahamisha kwamba Mipango itazidi kuimarishwa ili kuona uhusiano wa Kihistoria wa sehemu hizo mbili unakuwa wa kudumu.
Aliipongeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa ujumla kwa kuendeleza amani na Demokrasia ambayo ni kielelezo cha kuigwa na Mataifa mengi Duniani na hasa yale ya Bara la Afrika.
 Naye Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Cuba kwa moyo wake wa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika harakati zake za kuimarisha Utawi wa Jamii.

Balozi Seif alisema Msaada wa Cuba kwa Zanzibar umekucha chachu ya kuondokana na matatizo mbali mbali ya Jamii hasa yale ya Sekta ya Afya.
Hana hivyo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alisema Visiwa vya Zanzibar viko mlango wazi katika kuwakaribisha wawekezaji wa Cuba kuwekeza Vitega Uchumi vyao ili kusaidia kunyanyua Uchumi wa Taifa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.