Skip to main content

Merkel akabiliwa na changamoto uchaguzi NRW


Hannelore Kraft, federal state premier of Germany's most populous state North-Rhine Westphalia waves with a shirt at an election campaign in Bochum May 11, 2012. Kraft is the top candidate of the Social Democratic Party (SPD) in the May 13 federal state election in North-Rhine Westphalia. REUTERS/Ina Fassbender (GERMANY - Tags: POLITICS ELECTIONS)
Chama cha kansela Angela Merkel cha CDU kinakabiliwa na kipigo katika uchaguzi wa jimbo lenye wakaazi wengi nchini Ujerumani, la North Rhine Westphalia Jumapili (13.05.2012).
Uchaguzi huo ambao umeitishwa na mapema unaweza kutoa msukumo kwa mahasimu wakubwa kansela wakati huu wa kuelekea katika uchaguzi wa kitaifa mwaka 2013.
Wiki moja baada ya wapiga kura nchini Ugiriki na Ufaransa kukataa sera za kubana matumizi, raia wa jimbo la North Rhine Westphalia (NRW) huenda wakawaadhibu wahafidhina ambao wamekuwa wakipigia upatu sera za kubana matumizi.
NRW Governor Hannelore Kraft, top candidate of the Social Democratic Party SPD for the North-Rhine Westphalian federal state elections, talks in front of party leader Sigmar Gabriel, left, on the last day of the election campaign rally in Muelheim, Germany, Saturday, May 12, 2012. Germany's most populous federal state will go to the polls on Sunday. A bad European week for Chancellor Angela Merkel looks likely to end with more electoral woes _ this time, the likely re-election of a center-left government in Germany's most populous state, which Merkel has sought to portray as irresponsibly addicted to debt. (Foto:Martin Meissner/AP/dapd)
Waziri mkuu wa jimbo la NRW 
Hannelore Kraft
Kiasi ya wapiga kura milioni 13.2 , ikiwa ni sehemu ya tano ya wapiga kura wote kitaifa , wanachagua bunge jipya la jimbo, katika jimbo hilo la magharibi ya Ujerumani ambalo lina viwanda vingi.
NRW ushawishi kitaifa
Jimbo hilo kihistoria linanafasi kubwa katika siasa za shirikisho, ambapo mwaka 2005 , chama cha kansela wa wakati huo Gerhard Schroeder kilipoteza uchaguzi na kumlazimisha kuitisha uchaguzi wa shirikisho wa mapema na ndipo kansela Angela Merkel akaingia madarakani.
Chama cha kihafidhina cha kansela Angela Merkel cha Christian Democratic Union, CDU, kinapambana kukamata jimbo hilo kutoka kwa muungano unaoundwa na vyama vya mrengo wa shoto vya Social Democratic SPD na kile cha kijani.
Uchunguzi wa maoni
Licha ya uchunguzi wa maoni ya wapiga kura kuwa unaonyesha mara kwa mara kuwa chama cha Merkel kinaungwa mkono na wapiga kura wengi kwa msimamo wake wa kubana matumzi katika bara la Ulaya , chama cha CDU kiko nyuma ya SPD kwa alama sita hadi saba katika maoni ya wapiga kura katika jimbo la NRW.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...