Skip to main content

SIMBA YAFUNGWA 'KIUME' NCHINI SUDAN



SIMBA SC imeshindwa kutimiza ndoto za kusonga mbele kwenye Kombe la Shirikisho la Soka Afrika, baada ya kutolewa kwa penalti 9-8 na Al Ahly Shandy ya Sudan kufuatia sare ya jumla ya tatu.

Katika mchezo huo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shandi, penalti za Shandy zilifungwa na Razak Yakubu, Orwa, Bashir, Saddam, Isaac Seun Malik, Faris Abdallah, Fareed Mohamed Zakaria Nasu na kipa Abdulrahman Ali. Waliofunga penalti za Simba ni Felix Sunzu, Salum Machaku, Emanuel Okwi, Shomari Kapombe, Kelvin Yondan, Victor Costa, Mwinyi Kazimoto na Amir Maftah.


Eltigani alikosa kwa upoande wa Shandy wakati Mafisango na Kaseja walikosa. Aliyeihakikishia Simba kutpolewa alikuwa ni Nahodha Kaseja, ambaye alikosa penalti ya 10. Shandy waliingia kwenye mchezo wa leo, wakiwa nyuma kwa 3-0 kutokana na ujshindi wa SImba kwenye mechi ya kwanza, Dar es Salaam. Hadi mapumziko, hakuna timu iliyokuwa imeona lango la mwenzake na hiyo ilijenga matumaini kwamba, SImba itasonga mbele, lakini kipindi cha pili mambo yalibadilika mno.
Mabao mawili ya Fareed Mohamed katika za 46 na 64 na lingine la Hamouda Bashir dakika ya 50, yaliisaidia Al Ahly Shandy kushinda 3-0 na kufanya sare ya jumla ya 3-3, baada ya dakika 180 za mechi mbili. Lawama zote zimuendee beki Victor Costa kwa kufungisha mabao mawili- hususan la pili na la tatu ambalo dhahiri yalitokana na ‘ubishoo’ wake usio na maana. Hii inahidhirisha mchezaji huyo aliyepangwa kwa dharula leo, kocha Milovan Cirkovick alikuwa hakosei kutompanga- kwani leo ameigharimu timu na haijulikani kwa nini apangwe yeye badala ya Obadia Mungusa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...