Skip to main content

MAGAZETI YETU NA MAMBO YETU


Jacqueline Wolper

Stori: Na Gladness Mallya
STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper (pichani) ameibuka na kumtambia mnyange anayetesa katika kiwanda hicho, Irene Uwoya akisema: “Uwoya haniwezi. Hakuna mtu anaweza kunitishia maisha.”
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Wolper alisema tangu amezaliwa hajawahi kupigwa hata na wazazi wake hivyo itakuwa jambo la aibu sana kwake kupigwa ukubwani.
“Hakuna mtu anayeweza kunifanyia lolote, mimi ninajiamini kuliko kawaida. Simuogopi mtu yeyote wala sihofii chochote kwa sababu sijamfanyia mtu ubaya wowote,” alisema Wolper na kuongeza:
“Kama Uwoya anaona nimekosea kweli na adhabu yangu ni kipigo, aje anipige, ingawa ninauhakika hawezi kufanya hivyo. Hapa amefika.”
KWA NINI YOTE HAYA?
Hivi karibuni gazeti damu moja na hili, Risasi Jumamosi liliripoti habari yenye kichwa kisemacho; ‘Msiba wa Kanumba… Uwoya: Lazima nimpige Wolper’.
Katika habari hiyo, Uwoya alieleza sababu tatu za kumpiga Wolper ikiwemo ile ya kusafiri na kuacha maziko ya marehemu Steven Kanumba yakiendelea wakati alikuwa ni mtu wa karibu sana na msanii huyo.
Irene Iwoya

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...