Skip to main content

Chadema ‘wamvaa’ Shibuda


BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha) limeeleza kushitushwa na kauli ya Mbunge wake wa Maswa Mashariki, John Shibuda kwamba atagombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya Chadema.

Akiwa kwenye semina ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyoandaliwa na Taasisi ya Kutathmini Utawala Bora Afrika (APRM) juzi Dodoma, Shibuda alisema atafanya hivyo na kumwomba Rais Jakaya Kikwete awe meneja wake. Kikwete atakuwa amemaliza muda wake wa uongozi.

Taarifa iliyotolewa jana na Bavicha ikiwa imesainiwa na John Heche ambaye ni Mwenyekiti wake, ilieleza kushangazwa na kutoa kauli hiyo katika kikao cha NEC ya CCM; kumtangaza Kikwete kuwa meneja wake wa kampeni na kusema hakuna chama kingine chenye uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya CCM, na kutoa kauli kwa niaba ya APRM.

“Mambo hayo manne ndiyo yametushtua na kutufedhehesha sana sisi vijana wa Chadema na ndiyo maana tumelazimika kutoa kauli kuhusu suala hili,” ilisema taarifa.

Ikifafanua kuhusu kauli yake, Bavicha ilisisitiza kwamba kamwe haitaruhusu mgombea urais wa Chadema awe na Meneja wa Kampeni ambaye ni Mwenyekiti wa CCM hata siku moja, “ kwani tunao watu wa kutosha na wenye uwezo wa kutosha kufanya kazi hiyo na hatuhitaji msaada huo.”
Taarifa pia ilisema haitaruhusu mgombea urais wa Chadema awe anatangaza nia kwenye vikao vya CCM, kwa kuwa chama hicho tawala hakina mamlaka ya kuteua mgombea wa Chadema. “Kama Shibuda alikuwa hajui hilo, anapaswa kulifahamu kuanzia sasa, kuwa vijana wa Chadema hatuchaguliwi mgombea na NEC ya CCM, kwani Chadema kuna vikao na taratibu zetu za kuteua wagombea,” ilisema taarifa.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.