Skip to main content

Chadema ‘wamvaa’ Shibuda


BARAZA la Vijana la Chadema (Bavicha) limeeleza kushitushwa na kauli ya Mbunge wake wa Maswa Mashariki, John Shibuda kwamba atagombea urais mwaka 2015 kwa tiketi ya Chadema.

Akiwa kwenye semina ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyoandaliwa na Taasisi ya Kutathmini Utawala Bora Afrika (APRM) juzi Dodoma, Shibuda alisema atafanya hivyo na kumwomba Rais Jakaya Kikwete awe meneja wake. Kikwete atakuwa amemaliza muda wake wa uongozi.

Taarifa iliyotolewa jana na Bavicha ikiwa imesainiwa na John Heche ambaye ni Mwenyekiti wake, ilieleza kushangazwa na kutoa kauli hiyo katika kikao cha NEC ya CCM; kumtangaza Kikwete kuwa meneja wake wa kampeni na kusema hakuna chama kingine chenye uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya CCM, na kutoa kauli kwa niaba ya APRM.

“Mambo hayo manne ndiyo yametushtua na kutufedhehesha sana sisi vijana wa Chadema na ndiyo maana tumelazimika kutoa kauli kuhusu suala hili,” ilisema taarifa.

Ikifafanua kuhusu kauli yake, Bavicha ilisisitiza kwamba kamwe haitaruhusu mgombea urais wa Chadema awe na Meneja wa Kampeni ambaye ni Mwenyekiti wa CCM hata siku moja, “ kwani tunao watu wa kutosha na wenye uwezo wa kutosha kufanya kazi hiyo na hatuhitaji msaada huo.”
Taarifa pia ilisema haitaruhusu mgombea urais wa Chadema awe anatangaza nia kwenye vikao vya CCM, kwa kuwa chama hicho tawala hakina mamlaka ya kuteua mgombea wa Chadema. “Kama Shibuda alikuwa hajui hilo, anapaswa kulifahamu kuanzia sasa, kuwa vijana wa Chadema hatuchaguliwi mgombea na NEC ya CCM, kwani Chadema kuna vikao na taratibu zetu za kuteua wagombea,” ilisema taarifa.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...