Skip to main content

Mkutano wa G8 waanza


U.S. President Barack Obama greets Germany's Chancellor Angela Merkel as she arrives at the G8 Summit at Camp David (eingestellt von: qu)
Rais Barack Obama ameufungua rasmi mkutano wa mataifa yenye utajiri mkubwa wa viwanda G8 na kuungana na rais mpya wa Ufaransa kwa kuhimiza kwanza ukuaji wa uchumi badala ya kubana matumizi.
Rais Barack Obama na viongozi wa mataifa mengine yenye utajiri mkubwa wa viwanda wameweka kando majadiliano juu ya matatizo ya kiuchumi ya mataifa ya Ulaya na Afghanistan hali ambayo itatamalaki mazungumzo ya mkutano huo wa wiki nzima na kuangalia njia za kuimarisha nguvu za mataifa ya dunia dhidi ya maendeleo kuhusu silaha za kinuklia za Iran na kuhimiza jibu la nguvu zaidi katika hali ya ghasia inayozidi kuporomoka nchini Syria.
U.S. President Barack Obama (R) listens as French President Francois Hollande speaks following their bilateral meeting in the Oval Office of the White House in Washington May 18, 2012. Hollande is in the United States to join other leaders of the major industrial economies and meet for a G8 Summit at Camp David this weekend to try to head off a full-blown financial crisis in Europe. REUTERS//Eric Feferberg/Pool(UNITED STATES - Tags: POLITICS BUSINESS)
Barack Obama na Francois Hollande
Obama atataka kusikilizwa na wahusika wakuu katika masuala yote katika mikutano ya G8 na jumuiya ya NATO. Majadiliano yatalengwa moja kwa moja au kwa kiasi fulani dhidi ya Urusi, ambayo inaonekana kuwa inazikingia kifua Iran na Syria na mkwamishaji mkubwa wa malengo ya Marekani kama vikwazo vya silaha dhidi ya Syria.
Madeni ya Ulaya
Mkusanyiko huo wa viongozi unakuja katika kivuli cha mzozo wa madeni wa mataifa ya eneo la euro na kuporomoka kwa uungwaji mkono wa umma katika vita vya Afghanistan. Mtafaruku wa kisiasa na kiuchumi nchini Ugiriki na Hispania unaelezea jinsi vipi uchumi wa mataifa ya Ulaya ulivyo tete baada ya kuzipiga chini serikali zinazoshabikia ubanaji wa matumizi.
Waziri wa fedha wa Ujerumani ametabiri siku ya Ijumaa kuwa mzozo huo unaweza kuwepo kwa muda wa miaka miwili mingine.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel atakabiliwa na msukumo kutoka kwa Obama na rais mpya wa Ufaransa Francois Hollande kuchukua hatua zaidi zenye lengo la kuchochea ukuaji wa uchumi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...