Skip to main content

Mkutano wa G8 waanza


U.S. President Barack Obama greets Germany's Chancellor Angela Merkel as she arrives at the G8 Summit at Camp David (eingestellt von: qu)
Rais Barack Obama ameufungua rasmi mkutano wa mataifa yenye utajiri mkubwa wa viwanda G8 na kuungana na rais mpya wa Ufaransa kwa kuhimiza kwanza ukuaji wa uchumi badala ya kubana matumizi.
Rais Barack Obama na viongozi wa mataifa mengine yenye utajiri mkubwa wa viwanda wameweka kando majadiliano juu ya matatizo ya kiuchumi ya mataifa ya Ulaya na Afghanistan hali ambayo itatamalaki mazungumzo ya mkutano huo wa wiki nzima na kuangalia njia za kuimarisha nguvu za mataifa ya dunia dhidi ya maendeleo kuhusu silaha za kinuklia za Iran na kuhimiza jibu la nguvu zaidi katika hali ya ghasia inayozidi kuporomoka nchini Syria.
U.S. President Barack Obama (R) listens as French President Francois Hollande speaks following their bilateral meeting in the Oval Office of the White House in Washington May 18, 2012. Hollande is in the United States to join other leaders of the major industrial economies and meet for a G8 Summit at Camp David this weekend to try to head off a full-blown financial crisis in Europe. REUTERS//Eric Feferberg/Pool(UNITED STATES - Tags: POLITICS BUSINESS)
Barack Obama na Francois Hollande
Obama atataka kusikilizwa na wahusika wakuu katika masuala yote katika mikutano ya G8 na jumuiya ya NATO. Majadiliano yatalengwa moja kwa moja au kwa kiasi fulani dhidi ya Urusi, ambayo inaonekana kuwa inazikingia kifua Iran na Syria na mkwamishaji mkubwa wa malengo ya Marekani kama vikwazo vya silaha dhidi ya Syria.
Madeni ya Ulaya
Mkusanyiko huo wa viongozi unakuja katika kivuli cha mzozo wa madeni wa mataifa ya eneo la euro na kuporomoka kwa uungwaji mkono wa umma katika vita vya Afghanistan. Mtafaruku wa kisiasa na kiuchumi nchini Ugiriki na Hispania unaelezea jinsi vipi uchumi wa mataifa ya Ulaya ulivyo tete baada ya kuzipiga chini serikali zinazoshabikia ubanaji wa matumizi.
Waziri wa fedha wa Ujerumani ametabiri siku ya Ijumaa kuwa mzozo huo unaweza kuwepo kwa muda wa miaka miwili mingine.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel atakabiliwa na msukumo kutoka kwa Obama na rais mpya wa Ufaransa Francois Hollande kuchukua hatua zaidi zenye lengo la kuchochea ukuaji wa uchumi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.