Skip to main content

RAIS OBAMA AZURU AFGHANISTAN


Akihutubia raia wa Marekani kutoka kambi ya kijeshi nchini Afghanistan, rais wa Marekani Barack Obama ameahidi 'kukamilisha kazi' na kumaliza vita nchini humo.
Akizungumza mwaka mmoja baada ya kuuwawa kwa Osama Bin Laden, ameyapongeza majeshi ya Marekani na kuusifu mpango wa kumaliza mapigano.
Bwana Obama aliwasili nchini Afhganistan katika ziara ya ghafla kutia sahihi makubaliano ya siku za baadaye kati ya Afghanistan na Marekani na rais Hamid Karzai, kabla ya mkutano wa kilele wa muungano wa NATO.
Saa chache baada ya hotuba yake, mlipuko mkubwa uliripotiwa kutokea katika mji mkuu Kabul.
Walioshuhudia wanasema mlipuko huo ulitokea mashariki mwa mji huo, ripoti moja ikielezea kwamba ulitokea kwenye barabara ya Jalalabad, ambako kuna kambi kadhaa za kijeshi zinapatikana.

Ziara ya rais Obama na hotuba hiyo kupitia televisheni inakuja wakati waandishi wanasema raia wa nchi hiyo wameanza kukosa subira katika vita vinavyoendelea nchini Afghanistan.

Bwana Obama na Karzai walitia saini makubaliano ya ushirikiano wa miaka 10. Muungano wa NATO, tayari umejitolea kuwaondoa wanajeshi wake kufikia mwaka 2014.

Takriban wanajeshi elfu 23 miongoni mwa wanajeshi elfu 88 waliokuwa nchini humo wanatarajiwa kuondoka mwishoni mwa mwaka huu, huku wanajeshi wote wa Marekani na NATO wakiondoka kufikia mwaka 2014.BBC

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.