Skip to main content

zamu ya Messi na Ronaldo kumpokeza Mbappe taji


Kylian MbappeHaki miliki ya pichaEPA
Beki wa zamani wa England na Manchester United Rio Ferdinand anaamini Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wanakabidhi usukani 'taji lao la mchezaji bora zaidi duniani' kwa mfungaji chipukizi wa Ufaransa Kylian Mbappe.
Mbappe mwenye miaka 19 alifunga goli la nne la Ufaransa walipoichapa Croatia 4-2 fanali ya Kombe la Dunia Moscow, pamoja na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora mwenye umri mdogo katika michuano hiyo.
"Ni mtu atakuwa akisimama kwenye jukwaa la kupokea Ballon d'Or miaka michache ijayo," alisema Rio Ferdinand, beki mstaafu wa Manchester United.
"Natumai klabu yangu ya zamani (Manchester United) itamkimbiza kumsajili. Ana ushirikiano mzuri na Paul Pogba."
Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain Mbappe ndiye mchezaji wa pili asiyetimiza miaka 20 kutikisa wavu kwenye fainali ya Kombe la Dunia tangu Pele mnamo 1958.
Ronaldo, 33, na Messi, 31, wametawala ulingo wa soka kwa miaka 10 sasa huku wakipokezana mataji 10 ya Ballon d'Or yaliyotangulia kati yao.
Mbappe amesajili magoli manne nhini Urusi huku mabingwa mara mbili wa Dunia Ufaransa wakiondoka na ushindi kwa mara ya kwanza tangu 1998 nchini Urusi.
Pele aliiwezesha Brazil kunyakua Kombe la Dunia 1958, 1962 na 1970.
MbappeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Mshambulizi wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann, amemsifia Mbappe kuwa mchezo wake ulimfanya aonekana kama alikuwa akiichezea Ufaransa kwa miaka 10.
"Kuna mengi zaidi yatakayopatikana kutoka kwake na yaliyo njiani," alizidi Klinsmann.
.Haki miliki ya picha.
Image captionKylian Mbappe alifunga mabao manne Kombe la Dunia, moja dhidi ya Peru, mawili dhidi ya Argentina na moja dhidi ya Croatia
"Kwa kweli Mbappe amevuruga soko la wachezaji. Huku Ronaldo akitua Juventus na nyota wa Paris St-Germain Neymar akihusishwa na uhamisho hadi vilabu vingine, kinda huyu ataishia wapi?"
Mbali na Mbappe, nyota mwingine wa Ufaransa aliyejizolea sifa ni kiungo Paul Pogba.

'Mourinho aanze kumtumia vizuri Pogba'

Pogba atareja Manchester United bingwa wa dunia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi ya Premia kufunga goli fainali ya Kombe la Dunia tangu kiungo wa Arsenal Emmanuel Petit mnamo 1998.
Staa huyo mwenye miaka 25 alitua United kwa usajili wa pauni milioni £89m uliovunja rekodi wakati huo mnamo mwezi Agosti 2016 lakini alionekana kutapatapa msimu uliopita wa 2017-18.
Mourinho hakumshirikisha kwenye kikosi chake kilichovaana na Sevilla michuano ya mikondo miwili kombe la Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ambapo United ilitemwa kutoka shindano hilo.
"Pogba alionyesha mchezo mzuri - zaidi katika kipindi cha pili," alisema Ferdinand.
"Amekuwa na msimu mgumu kutoka waandishi wa habari na wachanganuzi wa soka ambao hawakumruhusu anawiri akiiwakilisha Manchester United," anasema Ferdinand.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...