Skip to main content

zamu ya Messi na Ronaldo kumpokeza Mbappe taji


Kylian MbappeHaki miliki ya pichaEPA
Beki wa zamani wa England na Manchester United Rio Ferdinand anaamini Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wanakabidhi usukani 'taji lao la mchezaji bora zaidi duniani' kwa mfungaji chipukizi wa Ufaransa Kylian Mbappe.
Mbappe mwenye miaka 19 alifunga goli la nne la Ufaransa walipoichapa Croatia 4-2 fanali ya Kombe la Dunia Moscow, pamoja na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora mwenye umri mdogo katika michuano hiyo.
"Ni mtu atakuwa akisimama kwenye jukwaa la kupokea Ballon d'Or miaka michache ijayo," alisema Rio Ferdinand, beki mstaafu wa Manchester United.
"Natumai klabu yangu ya zamani (Manchester United) itamkimbiza kumsajili. Ana ushirikiano mzuri na Paul Pogba."
Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain Mbappe ndiye mchezaji wa pili asiyetimiza miaka 20 kutikisa wavu kwenye fainali ya Kombe la Dunia tangu Pele mnamo 1958.
Ronaldo, 33, na Messi, 31, wametawala ulingo wa soka kwa miaka 10 sasa huku wakipokezana mataji 10 ya Ballon d'Or yaliyotangulia kati yao.
Mbappe amesajili magoli manne nhini Urusi huku mabingwa mara mbili wa Dunia Ufaransa wakiondoka na ushindi kwa mara ya kwanza tangu 1998 nchini Urusi.
Pele aliiwezesha Brazil kunyakua Kombe la Dunia 1958, 1962 na 1970.
MbappeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Mshambulizi wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann, amemsifia Mbappe kuwa mchezo wake ulimfanya aonekana kama alikuwa akiichezea Ufaransa kwa miaka 10.
"Kuna mengi zaidi yatakayopatikana kutoka kwake na yaliyo njiani," alizidi Klinsmann.
.Haki miliki ya picha.
Image captionKylian Mbappe alifunga mabao manne Kombe la Dunia, moja dhidi ya Peru, mawili dhidi ya Argentina na moja dhidi ya Croatia
"Kwa kweli Mbappe amevuruga soko la wachezaji. Huku Ronaldo akitua Juventus na nyota wa Paris St-Germain Neymar akihusishwa na uhamisho hadi vilabu vingine, kinda huyu ataishia wapi?"
Mbali na Mbappe, nyota mwingine wa Ufaransa aliyejizolea sifa ni kiungo Paul Pogba.

'Mourinho aanze kumtumia vizuri Pogba'

Pogba atareja Manchester United bingwa wa dunia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi ya Premia kufunga goli fainali ya Kombe la Dunia tangu kiungo wa Arsenal Emmanuel Petit mnamo 1998.
Staa huyo mwenye miaka 25 alitua United kwa usajili wa pauni milioni £89m uliovunja rekodi wakati huo mnamo mwezi Agosti 2016 lakini alionekana kutapatapa msimu uliopita wa 2017-18.
Mourinho hakumshirikisha kwenye kikosi chake kilichovaana na Sevilla michuano ya mikondo miwili kombe la Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ambapo United ilitemwa kutoka shindano hilo.
"Pogba alionyesha mchezo mzuri - zaidi katika kipindi cha pili," alisema Ferdinand.
"Amekuwa na msimu mgumu kutoka waandishi wa habari na wachanganuzi wa soka ambao hawakumruhusu anawiri akiiwakilisha Manchester United," anasema Ferdinand.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...