Skip to main content

zamu ya Messi na Ronaldo kumpokeza Mbappe taji


Kylian MbappeHaki miliki ya pichaEPA
Beki wa zamani wa England na Manchester United Rio Ferdinand anaamini Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wanakabidhi usukani 'taji lao la mchezaji bora zaidi duniani' kwa mfungaji chipukizi wa Ufaransa Kylian Mbappe.
Mbappe mwenye miaka 19 alifunga goli la nne la Ufaransa walipoichapa Croatia 4-2 fanali ya Kombe la Dunia Moscow, pamoja na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora mwenye umri mdogo katika michuano hiyo.
"Ni mtu atakuwa akisimama kwenye jukwaa la kupokea Ballon d'Or miaka michache ijayo," alisema Rio Ferdinand, beki mstaafu wa Manchester United.
"Natumai klabu yangu ya zamani (Manchester United) itamkimbiza kumsajili. Ana ushirikiano mzuri na Paul Pogba."
Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain Mbappe ndiye mchezaji wa pili asiyetimiza miaka 20 kutikisa wavu kwenye fainali ya Kombe la Dunia tangu Pele mnamo 1958.
Ronaldo, 33, na Messi, 31, wametawala ulingo wa soka kwa miaka 10 sasa huku wakipokezana mataji 10 ya Ballon d'Or yaliyotangulia kati yao.
Mbappe amesajili magoli manne nhini Urusi huku mabingwa mara mbili wa Dunia Ufaransa wakiondoka na ushindi kwa mara ya kwanza tangu 1998 nchini Urusi.
Pele aliiwezesha Brazil kunyakua Kombe la Dunia 1958, 1962 na 1970.
MbappeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Mshambulizi wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann, amemsifia Mbappe kuwa mchezo wake ulimfanya aonekana kama alikuwa akiichezea Ufaransa kwa miaka 10.
"Kuna mengi zaidi yatakayopatikana kutoka kwake na yaliyo njiani," alizidi Klinsmann.
.Haki miliki ya picha.
Image captionKylian Mbappe alifunga mabao manne Kombe la Dunia, moja dhidi ya Peru, mawili dhidi ya Argentina na moja dhidi ya Croatia
"Kwa kweli Mbappe amevuruga soko la wachezaji. Huku Ronaldo akitua Juventus na nyota wa Paris St-Germain Neymar akihusishwa na uhamisho hadi vilabu vingine, kinda huyu ataishia wapi?"
Mbali na Mbappe, nyota mwingine wa Ufaransa aliyejizolea sifa ni kiungo Paul Pogba.

'Mourinho aanze kumtumia vizuri Pogba'

Pogba atareja Manchester United bingwa wa dunia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi ya Premia kufunga goli fainali ya Kombe la Dunia tangu kiungo wa Arsenal Emmanuel Petit mnamo 1998.
Staa huyo mwenye miaka 25 alitua United kwa usajili wa pauni milioni £89m uliovunja rekodi wakati huo mnamo mwezi Agosti 2016 lakini alionekana kutapatapa msimu uliopita wa 2017-18.
Mourinho hakumshirikisha kwenye kikosi chake kilichovaana na Sevilla michuano ya mikondo miwili kombe la Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ambapo United ilitemwa kutoka shindano hilo.
"Pogba alionyesha mchezo mzuri - zaidi katika kipindi cha pili," alisema Ferdinand.
"Amekuwa na msimu mgumu kutoka waandishi wa habari na wachanganuzi wa soka ambao hawakumruhusu anawiri akiiwakilisha Manchester United," anasema Ferdinand.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.