Skip to main content

zamu ya Messi na Ronaldo kumpokeza Mbappe taji


Kylian MbappeHaki miliki ya pichaEPA
Beki wa zamani wa England na Manchester United Rio Ferdinand anaamini Lionel Messi na Cristiano Ronaldo wanakabidhi usukani 'taji lao la mchezaji bora zaidi duniani' kwa mfungaji chipukizi wa Ufaransa Kylian Mbappe.
Mbappe mwenye miaka 19 alifunga goli la nne la Ufaransa walipoichapa Croatia 4-2 fanali ya Kombe la Dunia Moscow, pamoja na kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora mwenye umri mdogo katika michuano hiyo.
"Ni mtu atakuwa akisimama kwenye jukwaa la kupokea Ballon d'Or miaka michache ijayo," alisema Rio Ferdinand, beki mstaafu wa Manchester United.
"Natumai klabu yangu ya zamani (Manchester United) itamkimbiza kumsajili. Ana ushirikiano mzuri na Paul Pogba."
Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain Mbappe ndiye mchezaji wa pili asiyetimiza miaka 20 kutikisa wavu kwenye fainali ya Kombe la Dunia tangu Pele mnamo 1958.
Ronaldo, 33, na Messi, 31, wametawala ulingo wa soka kwa miaka 10 sasa huku wakipokezana mataji 10 ya Ballon d'Or yaliyotangulia kati yao.
Mbappe amesajili magoli manne nhini Urusi huku mabingwa mara mbili wa Dunia Ufaransa wakiondoka na ushindi kwa mara ya kwanza tangu 1998 nchini Urusi.
Pele aliiwezesha Brazil kunyakua Kombe la Dunia 1958, 1962 na 1970.
MbappeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Mshambulizi wa zamani wa Ujerumani Jurgen Klinsmann, amemsifia Mbappe kuwa mchezo wake ulimfanya aonekana kama alikuwa akiichezea Ufaransa kwa miaka 10.
"Kuna mengi zaidi yatakayopatikana kutoka kwake na yaliyo njiani," alizidi Klinsmann.
.Haki miliki ya picha.
Image captionKylian Mbappe alifunga mabao manne Kombe la Dunia, moja dhidi ya Peru, mawili dhidi ya Argentina na moja dhidi ya Croatia
"Kwa kweli Mbappe amevuruga soko la wachezaji. Huku Ronaldo akitua Juventus na nyota wa Paris St-Germain Neymar akihusishwa na uhamisho hadi vilabu vingine, kinda huyu ataishia wapi?"
Mbali na Mbappe, nyota mwingine wa Ufaransa aliyejizolea sifa ni kiungo Paul Pogba.

'Mourinho aanze kumtumia vizuri Pogba'

Pogba atareja Manchester United bingwa wa dunia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi ya Premia kufunga goli fainali ya Kombe la Dunia tangu kiungo wa Arsenal Emmanuel Petit mnamo 1998.
Staa huyo mwenye miaka 25 alitua United kwa usajili wa pauni milioni £89m uliovunja rekodi wakati huo mnamo mwezi Agosti 2016 lakini alionekana kutapatapa msimu uliopita wa 2017-18.
Mourinho hakumshirikisha kwenye kikosi chake kilichovaana na Sevilla michuano ya mikondo miwili kombe la Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ambapo United ilitemwa kutoka shindano hilo.
"Pogba alionyesha mchezo mzuri - zaidi katika kipindi cha pili," alisema Ferdinand.
"Amekuwa na msimu mgumu kutoka waandishi wa habari na wachanganuzi wa soka ambao hawakumruhusu anawiri akiiwakilisha Manchester United," anasema Ferdinand.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...