Skip to main content

TRA:Kuwasamehe wafanya biashara wenye malimbikizo makubwa

MAMLAKA ya Mapato nchini(TRA) imesema kuwa imewasamee  kodi wafanya
biashara  wenye malimbikizo makubwa ya madeni ya kodi za nyuma
yakijumuisha riba na adhabu .

Picha inayohusiana
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefanya marekebisho 
kupitia sheria yafedha  ya mwaka 2018 na sheria ya usimamizi wa
Kodi ya  MWAKA 2015.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana Kamishna Mkuu
Mamlaka ya Mapato Tanzanai Charles Kichere alisema katika marekebisho 
hayo Waziri mwenyedhamana  ya fedha na mipango  amepewa mamlaka ya
kutoa utaratibu maalum wa kuwezesha Kamisna Mkuu kutoa msamaha
riba  na adhabu  wa  hadi asilimia mia moja riba na adhabu kwenye
malimbikizo ya madeni ya kodi kwa asilimia mia moja tofauti  na
aslimia  moja tofauti na asilimia 50 ya hapo awali.

Alisema lengo kuu la msamaha huo ni kutoa unafuu kwa walipapa kodi
wenye malimbikizo ya madeni ya riba na adhabu kwa kuwapa  fursa ya kulipa
malimbikizo ya madeni  ya msingi  kwa awamu  ndani ya mwaka wa fedha
2018 hadi mwakani 2019 ili kuwapa motisha ya kulipa kodi kwa hiyari na
wakati.

"Msamaha wa riba na adhabu utahusu kodi zote zinazotozwa  kwa mujibu wa sheria
zinazosimamiwa na mamlaka ya mapato Tanzania,isipokuwa,ushuru wa forodha
unaosimamiwa chini ya sheria ya ushuru wa forodha ya jumuiya ya Afrika
Mashariki ya mwaka 2004,"alisema  Kichere.


Kichere alisema katika makato mengine  yasiyo ya kodo ambayo TRA imepewa jukumu
la kisheria la kuyakusanya mapato hayo ni kama vile kodi za majengo na ada za
matangazo ambapo walipa kodi watakaonufaika na utaratibu huu watatakiwa kuwa na
sifa  zifuatazo wawe  wamewasilisha  ritani za kodi lakini bado wanadaiwa
kodi yote au sehemuya kodi zitokanazo na ritani hizo.

Aidha alisema hata hivyo msamaha utatolewa kwa maombi yatakayokidhi mashart
na kukubaliwa na Mamlaka ya Mapato ambapo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania na Mlipakodi husika watasaini mkataba wa makubaliano utakaoainisha
deni lote la kodi.

Pia riba na adhabu inayosamehewa  pamoja na kodi iyoyo na riba wala adhabu
itakayopaswa kulipwa kabla ya tarehe 30 juni 2019.

TRA inawahimiza walipakodi wote kutumia fursa hiyo adhimu kwa kushiriki
kikamilifu katika zoezi hili maalum la utoaji wa msamaha wa riba na adhabu
ambnapo utoaji wa taarifa sisizo sahihi ni kosa kisheria na kuwa endapo
itabainika hivyo itapelekea muombaji kupoteza sifa ya kufaidika
na msamaha huo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...