Skip to main content

TRA:Kuwasamehe wafanya biashara wenye malimbikizo makubwa

MAMLAKA ya Mapato nchini(TRA) imesema kuwa imewasamee  kodi wafanya
biashara  wenye malimbikizo makubwa ya madeni ya kodi za nyuma
yakijumuisha riba na adhabu .

Picha inayohusiana
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefanya marekebisho 
kupitia sheria yafedha  ya mwaka 2018 na sheria ya usimamizi wa
Kodi ya  MWAKA 2015.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana Kamishna Mkuu
Mamlaka ya Mapato Tanzanai Charles Kichere alisema katika marekebisho 
hayo Waziri mwenyedhamana  ya fedha na mipango  amepewa mamlaka ya
kutoa utaratibu maalum wa kuwezesha Kamisna Mkuu kutoa msamaha
riba  na adhabu  wa  hadi asilimia mia moja riba na adhabu kwenye
malimbikizo ya madeni ya kodi kwa asilimia mia moja tofauti  na
aslimia  moja tofauti na asilimia 50 ya hapo awali.

Alisema lengo kuu la msamaha huo ni kutoa unafuu kwa walipapa kodi
wenye malimbikizo ya madeni ya riba na adhabu kwa kuwapa  fursa ya kulipa
malimbikizo ya madeni  ya msingi  kwa awamu  ndani ya mwaka wa fedha
2018 hadi mwakani 2019 ili kuwapa motisha ya kulipa kodi kwa hiyari na
wakati.

"Msamaha wa riba na adhabu utahusu kodi zote zinazotozwa  kwa mujibu wa sheria
zinazosimamiwa na mamlaka ya mapato Tanzania,isipokuwa,ushuru wa forodha
unaosimamiwa chini ya sheria ya ushuru wa forodha ya jumuiya ya Afrika
Mashariki ya mwaka 2004,"alisema  Kichere.


Kichere alisema katika makato mengine  yasiyo ya kodo ambayo TRA imepewa jukumu
la kisheria la kuyakusanya mapato hayo ni kama vile kodi za majengo na ada za
matangazo ambapo walipa kodi watakaonufaika na utaratibu huu watatakiwa kuwa na
sifa  zifuatazo wawe  wamewasilisha  ritani za kodi lakini bado wanadaiwa
kodi yote au sehemuya kodi zitokanazo na ritani hizo.

Aidha alisema hata hivyo msamaha utatolewa kwa maombi yatakayokidhi mashart
na kukubaliwa na Mamlaka ya Mapato ambapo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania na Mlipakodi husika watasaini mkataba wa makubaliano utakaoainisha
deni lote la kodi.

Pia riba na adhabu inayosamehewa  pamoja na kodi iyoyo na riba wala adhabu
itakayopaswa kulipwa kabla ya tarehe 30 juni 2019.

TRA inawahimiza walipakodi wote kutumia fursa hiyo adhimu kwa kushiriki
kikamilifu katika zoezi hili maalum la utoaji wa msamaha wa riba na adhabu
ambnapo utoaji wa taarifa sisizo sahihi ni kosa kisheria na kuwa endapo
itabainika hivyo itapelekea muombaji kupoteza sifa ya kufaidika
na msamaha huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...