Skip to main content

Gabo Zigamba,Hashir Khalfan pamoja na Jennifer Temu wakutana na kutengeneza filamu kubwa


WADAU wa filamu nchini wameombwa kuupokea vyema ujio wa filamu ya
'Sumu' iliyoandaliwa kitaalam  ikiwa na lengo lake kuelimisha jamii .
Image result for Gabo Zigamba,
Ujio huo umeonekana kutengenezwa katika kiwango cha kimataifa na ni
mojaya sinema zenye kuleta ushindani.

Akizungumzia ujio huo jijini Dar es Salaam mtayarishaji mkuu wa filamu hiyo Hashir Khalfan
 ‘Kalembo’ameliambia gazeti hili kuwa filamu hiyo ilionyeshwa  kwa mara ya kwanza Julay 21.
mwaka huu Century Cinema, Mlimani City chini ya kampuni ya Third Eye Africa iliyoandaa uzinduzi huo.

Hashir alisema umekuwa ni utambulisho wa filamu mkubwa kwani  filamu hiyo imetengenezwa
Kimataifa imeonesha weledi wa hali ya juu katika utengenezaji wake lengo ikiwa kufikisha
ujumbe kwa jamii husika.

"Filamu ya Sumu imelenga kutoa hamasa kwa watanzania kuziona filamu
za kitanzania na zile zinazotumia Lugha ya  Kiswahili pekee ili kutoa fursa
 kwa vijana na jamii husika kwa ujumla kutumia njia rahisi na kurejea utamaduni
 wa kuangalia filamu katika majumba ya sinema (Theatre.) alisema Hashir .


Alisema baada ya kutapata hadithi ya filamu hiyo ilinichukua mudu sana kufanya
utafiti katika kupata Location sahihi kwa kazi husika,mavazi ubunifu
wa vitu mbalimbali umeifanya filamu kuwa ya kipekee na kuwa huo ni mwanzo tu
atafanya makubwa zaidi katika tasnia ya filamu

Aidha alisema kuwa  filamu hiyo imelenga ushindani katika fani ya uigizaji  inayotoa
nafasi kwa wasanii chipukizi kuonyesha uwezo katika sinema ya Sumu iliyotawaliwa na
Uhalisia kulingana na Hadithi.

Ujio huO umefanyika kwabajeti  kubwa kulingana na kila kilichotakiwa
kilitafutwa  kuanziz mavazi maalum,katika kuhakikisha sinema hiyo inaendana na
 uhalisia kwani pia ni njia mojawapo katika kuleta ushindani nje ya mipaka ya Tanzania kwa watengenezaji washindani na Bongo movie.

Pia filamu imeelezwa itatengeneza njia mpya ya usambazaji kupitia Runinga ya Azam Tv kwa malipo ya Tshs. 1,000/ (Pay per View) na baadae kampuni hiyo itaangalia njia sahihi ya usambazaji ambao kila mtu ataweza kufikiwa na huduma hiyo ili aweze kufaidi kazi bora yenye
viwango vya kimataifa.


“Filamu ya Sumu ina upekee wa aina yake kwani kuna Lugha nyingi zimetumika 
kama Lugha Mama ya Kiswahili na Kiarabu, ikiwa sambamba na kurekodiwa katika 
nchi mbalimbali kama Sudan, Tanzania na wasanii wakali ,” alisema Hashir.


Filamu ya Sumu imerekodiwa  katika nchi zifuatazo  Sudan, Mombasa,
Lamu nchini Kenya, kwa Tanzania ,sinema imererkodiwa Kisiwa cha Mafia, 
Arusha, Morogoro, Tanga na Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Third Eye africa Hashir ameeleza kuwa katika kuzingatia
maendeleo ya tasnia ya filamu ni lazima kuwe na njia rahisi kwa mtazamaji kufikiwa
alipo, mtu ataweza kuangalia sinema ya Sumu popote alipo kwa kutumia Azamtv
 kuangalia filamu ya Sumu na kuchangia kwa gharama ndogo tu Tshs. 1,000/ na 
kuona filamu yote.

Filamu ya  Sumu imeshirikisha wasanii wengi hasa wachanga wapatao mia
moja ambao wana vipaji wakiwa na wasanii nguli Salim Ahmed (Gabo Zigamba), 
Jennifer Temu, Hashir Khalfan na kuifanya sinema kuwa bora zaidi na imeongozwa 
na Patrick Komba ambaye pia ndio mwandishi wa filamu.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.