Skip to main content

Gabo Zigamba,Hashir Khalfan pamoja na Jennifer Temu wakutana na kutengeneza filamu kubwa


WADAU wa filamu nchini wameombwa kuupokea vyema ujio wa filamu ya
'Sumu' iliyoandaliwa kitaalam  ikiwa na lengo lake kuelimisha jamii .
Image result for Gabo Zigamba,
Ujio huo umeonekana kutengenezwa katika kiwango cha kimataifa na ni
mojaya sinema zenye kuleta ushindani.

Akizungumzia ujio huo jijini Dar es Salaam mtayarishaji mkuu wa filamu hiyo Hashir Khalfan
 ‘Kalembo’ameliambia gazeti hili kuwa filamu hiyo ilionyeshwa  kwa mara ya kwanza Julay 21.
mwaka huu Century Cinema, Mlimani City chini ya kampuni ya Third Eye Africa iliyoandaa uzinduzi huo.

Hashir alisema umekuwa ni utambulisho wa filamu mkubwa kwani  filamu hiyo imetengenezwa
Kimataifa imeonesha weledi wa hali ya juu katika utengenezaji wake lengo ikiwa kufikisha
ujumbe kwa jamii husika.

"Filamu ya Sumu imelenga kutoa hamasa kwa watanzania kuziona filamu
za kitanzania na zile zinazotumia Lugha ya  Kiswahili pekee ili kutoa fursa
 kwa vijana na jamii husika kwa ujumla kutumia njia rahisi na kurejea utamaduni
 wa kuangalia filamu katika majumba ya sinema (Theatre.) alisema Hashir .


Alisema baada ya kutapata hadithi ya filamu hiyo ilinichukua mudu sana kufanya
utafiti katika kupata Location sahihi kwa kazi husika,mavazi ubunifu
wa vitu mbalimbali umeifanya filamu kuwa ya kipekee na kuwa huo ni mwanzo tu
atafanya makubwa zaidi katika tasnia ya filamu

Aidha alisema kuwa  filamu hiyo imelenga ushindani katika fani ya uigizaji  inayotoa
nafasi kwa wasanii chipukizi kuonyesha uwezo katika sinema ya Sumu iliyotawaliwa na
Uhalisia kulingana na Hadithi.

Ujio huO umefanyika kwabajeti  kubwa kulingana na kila kilichotakiwa
kilitafutwa  kuanziz mavazi maalum,katika kuhakikisha sinema hiyo inaendana na
 uhalisia kwani pia ni njia mojawapo katika kuleta ushindani nje ya mipaka ya Tanzania kwa watengenezaji washindani na Bongo movie.

Pia filamu imeelezwa itatengeneza njia mpya ya usambazaji kupitia Runinga ya Azam Tv kwa malipo ya Tshs. 1,000/ (Pay per View) na baadae kampuni hiyo itaangalia njia sahihi ya usambazaji ambao kila mtu ataweza kufikiwa na huduma hiyo ili aweze kufaidi kazi bora yenye
viwango vya kimataifa.


“Filamu ya Sumu ina upekee wa aina yake kwani kuna Lugha nyingi zimetumika 
kama Lugha Mama ya Kiswahili na Kiarabu, ikiwa sambamba na kurekodiwa katika 
nchi mbalimbali kama Sudan, Tanzania na wasanii wakali ,” alisema Hashir.


Filamu ya Sumu imerekodiwa  katika nchi zifuatazo  Sudan, Mombasa,
Lamu nchini Kenya, kwa Tanzania ,sinema imererkodiwa Kisiwa cha Mafia, 
Arusha, Morogoro, Tanga na Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Third Eye africa Hashir ameeleza kuwa katika kuzingatia
maendeleo ya tasnia ya filamu ni lazima kuwe na njia rahisi kwa mtazamaji kufikiwa
alipo, mtu ataweza kuangalia sinema ya Sumu popote alipo kwa kutumia Azamtv
 kuangalia filamu ya Sumu na kuchangia kwa gharama ndogo tu Tshs. 1,000/ na 
kuona filamu yote.

Filamu ya  Sumu imeshirikisha wasanii wengi hasa wachanga wapatao mia
moja ambao wana vipaji wakiwa na wasanii nguli Salim Ahmed (Gabo Zigamba), 
Jennifer Temu, Hashir Khalfan na kuifanya sinema kuwa bora zaidi na imeongozwa 
na Patrick Komba ambaye pia ndio mwandishi wa filamu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...