Skip to main content

Wizara ya Viwanda na Biashara imesema kuwepo kwa viwanda vidogo (SIDO) kutakuza wingi wa ajira



WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema kuwa kuwepo kwa viwanda
vidogo (SIDO) katika maeneo mengi nchini kutasababisha uzali
shaji mkubwa wa ajira.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa wizara ya Viwanda na Biashara Inginia Stellah Manyanya alipofanya ziara ya kushitukiza katika ofisi ya SIDO mkoa wa Dar es Salaam iliyopo eneo Vingunguti jijini Dar es Salaam.


Amelitaka Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO) kuanziasha kliniki ya viwanda na biashara katika Ofisi za shirika hilo kote nchini.

Akizungumzia kuanzishwa kwa kliniki hiyo ambayo tayari Shirika hilo liliizinduwa wakati wa maonesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yaliyofikia kilele chake hivi karibuni uwepo wake katika ofisi za SIDO  utaongeza ufanisi.

“Hamna budi kuanzisha kliniki hapa SIDO na mikoani ambapo SIDO inafanya kazi kwakufanya hivyo mtakuwa mmeimarisha ubora wa bidhaa kabla ya kuingia sokoni.Alisema Ijinia Stellah.


Ijinia Stellah alisema kuwepo kwa viwanda vidogo kunasababisha
wingi wa ajira unaweza ukakuta kiwanda kikubwa kikawa akisasabishi ajira ya watu wengi lakini uwepo wa viwanda vidogo katika maeneo ya kila almashauri nchini itakuwa
ni kichocheo kikubwa cha ajira.



Alisema kuwa kliniki zitahusisha wataalamu wa maabara,TFDA na TBS  hivyo kurahisisha utendaji kazi kwakuwa watakuwa eneo la viwanda tofauti na sasa ambapo TBS na TFDA huwatembelea wasindikaji na wenye viwanda.

Naibu Waziri huyo alipotembelea  viwanda hivyo vidogo na karakana ya SIDO  alivutiwa na hali ya usafi nakuwaeleza watendaji wa SIDO na wasindikaji wa bidhaa mbalimbali kuwa wasafi zaidi nakuzingatia ufungashaji wenye mvuto.

“Ufunghashaji na uwandaaji wa lebo zitakazo vutia wateja na kuuzika kwa bidhaa zenu.Alisema Injinia Stellah.

Wakati huo huo Naibu Waziri huyo alimuagiza Meneja SIDO mkoa wa Dar es Salaam,Mackdonald Maganga kuwasiliana na Brela ili wapeleke wataalamu watakaofundisha wajasiriamali masuala mbalimbali ya usajili wa biashara zao.

Baadhi ya wajasiriamali walimueleza Naibu Waziri kuwa mitaji kwao bado ni kikwazo katika kuendeleza viwanda vyao na biashara kwa ujumla.

Naibu waziri aliwahakikishia kuwa mikopo itatolewa kwakipaumbele cha wajasiriamali waliopitia SIDO hivyo wasiwe na shaka.

Wakati huyo  Meneja wa SIDO Mkoa wa Dar es Salaam Mackdonald Maganga amemhakikishia Naibu Waziri kuendeleza na kuimarisha sekta ya biashara na viwanda kwakushirikiana na Taasisi za utafiti,TBS na TFDA.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.