Skip to main content

Wizara ya Viwanda na Biashara imesema kuwepo kwa viwanda vidogo (SIDO) kutakuza wingi wa ajira



WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema kuwa kuwepo kwa viwanda
vidogo (SIDO) katika maeneo mengi nchini kutasababisha uzali
shaji mkubwa wa ajira.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa wizara ya Viwanda na Biashara Inginia Stellah Manyanya alipofanya ziara ya kushitukiza katika ofisi ya SIDO mkoa wa Dar es Salaam iliyopo eneo Vingunguti jijini Dar es Salaam.


Amelitaka Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO) kuanziasha kliniki ya viwanda na biashara katika Ofisi za shirika hilo kote nchini.

Akizungumzia kuanzishwa kwa kliniki hiyo ambayo tayari Shirika hilo liliizinduwa wakati wa maonesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yaliyofikia kilele chake hivi karibuni uwepo wake katika ofisi za SIDO  utaongeza ufanisi.

“Hamna budi kuanzisha kliniki hapa SIDO na mikoani ambapo SIDO inafanya kazi kwakufanya hivyo mtakuwa mmeimarisha ubora wa bidhaa kabla ya kuingia sokoni.Alisema Ijinia Stellah.


Ijinia Stellah alisema kuwepo kwa viwanda vidogo kunasababisha
wingi wa ajira unaweza ukakuta kiwanda kikubwa kikawa akisasabishi ajira ya watu wengi lakini uwepo wa viwanda vidogo katika maeneo ya kila almashauri nchini itakuwa
ni kichocheo kikubwa cha ajira.



Alisema kuwa kliniki zitahusisha wataalamu wa maabara,TFDA na TBS  hivyo kurahisisha utendaji kazi kwakuwa watakuwa eneo la viwanda tofauti na sasa ambapo TBS na TFDA huwatembelea wasindikaji na wenye viwanda.

Naibu Waziri huyo alipotembelea  viwanda hivyo vidogo na karakana ya SIDO  alivutiwa na hali ya usafi nakuwaeleza watendaji wa SIDO na wasindikaji wa bidhaa mbalimbali kuwa wasafi zaidi nakuzingatia ufungashaji wenye mvuto.

“Ufunghashaji na uwandaaji wa lebo zitakazo vutia wateja na kuuzika kwa bidhaa zenu.Alisema Injinia Stellah.

Wakati huo huo Naibu Waziri huyo alimuagiza Meneja SIDO mkoa wa Dar es Salaam,Mackdonald Maganga kuwasiliana na Brela ili wapeleke wataalamu watakaofundisha wajasiriamali masuala mbalimbali ya usajili wa biashara zao.

Baadhi ya wajasiriamali walimueleza Naibu Waziri kuwa mitaji kwao bado ni kikwazo katika kuendeleza viwanda vyao na biashara kwa ujumla.

Naibu waziri aliwahakikishia kuwa mikopo itatolewa kwakipaumbele cha wajasiriamali waliopitia SIDO hivyo wasiwe na shaka.

Wakati huyo  Meneja wa SIDO Mkoa wa Dar es Salaam Mackdonald Maganga amemhakikishia Naibu Waziri kuendeleza na kuimarisha sekta ya biashara na viwanda kwakushirikiana na Taasisi za utafiti,TBS na TFDA.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...