Skip to main content

Wizara ya Viwanda na Biashara imesema kuwepo kwa viwanda vidogo (SIDO) kutakuza wingi wa ajira



WIZARA ya Viwanda na Biashara imesema kuwa kuwepo kwa viwanda
vidogo (SIDO) katika maeneo mengi nchini kutasababisha uzali
shaji mkubwa wa ajira.

Hayo yameelezwa jana na Naibu Waziri wa wizara ya Viwanda na Biashara Inginia Stellah Manyanya alipofanya ziara ya kushitukiza katika ofisi ya SIDO mkoa wa Dar es Salaam iliyopo eneo Vingunguti jijini Dar es Salaam.


Amelitaka Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO) kuanziasha kliniki ya viwanda na biashara katika Ofisi za shirika hilo kote nchini.

Akizungumzia kuanzishwa kwa kliniki hiyo ambayo tayari Shirika hilo liliizinduwa wakati wa maonesho ya 42 ya kimataifa ya biashara yaliyofikia kilele chake hivi karibuni uwepo wake katika ofisi za SIDO  utaongeza ufanisi.

“Hamna budi kuanzisha kliniki hapa SIDO na mikoani ambapo SIDO inafanya kazi kwakufanya hivyo mtakuwa mmeimarisha ubora wa bidhaa kabla ya kuingia sokoni.Alisema Ijinia Stellah.


Ijinia Stellah alisema kuwepo kwa viwanda vidogo kunasababisha
wingi wa ajira unaweza ukakuta kiwanda kikubwa kikawa akisasabishi ajira ya watu wengi lakini uwepo wa viwanda vidogo katika maeneo ya kila almashauri nchini itakuwa
ni kichocheo kikubwa cha ajira.



Alisema kuwa kliniki zitahusisha wataalamu wa maabara,TFDA na TBS  hivyo kurahisisha utendaji kazi kwakuwa watakuwa eneo la viwanda tofauti na sasa ambapo TBS na TFDA huwatembelea wasindikaji na wenye viwanda.

Naibu Waziri huyo alipotembelea  viwanda hivyo vidogo na karakana ya SIDO  alivutiwa na hali ya usafi nakuwaeleza watendaji wa SIDO na wasindikaji wa bidhaa mbalimbali kuwa wasafi zaidi nakuzingatia ufungashaji wenye mvuto.

“Ufunghashaji na uwandaaji wa lebo zitakazo vutia wateja na kuuzika kwa bidhaa zenu.Alisema Injinia Stellah.

Wakati huo huo Naibu Waziri huyo alimuagiza Meneja SIDO mkoa wa Dar es Salaam,Mackdonald Maganga kuwasiliana na Brela ili wapeleke wataalamu watakaofundisha wajasiriamali masuala mbalimbali ya usajili wa biashara zao.

Baadhi ya wajasiriamali walimueleza Naibu Waziri kuwa mitaji kwao bado ni kikwazo katika kuendeleza viwanda vyao na biashara kwa ujumla.

Naibu waziri aliwahakikishia kuwa mikopo itatolewa kwakipaumbele cha wajasiriamali waliopitia SIDO hivyo wasiwe na shaka.

Wakati huyo  Meneja wa SIDO Mkoa wa Dar es Salaam Mackdonald Maganga amemhakikishia Naibu Waziri kuendeleza na kuimarisha sekta ya biashara na viwanda kwakushirikiana na Taasisi za utafiti,TBS na TFDA.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...