Skip to main content

Dr Edmund Mndolwa :Wizi ama ubadhilifu wa mali za chama katika uongozi wake kwa sasa litabaki historia

MWENYEKITI  wa Jumuia ya Wazazi Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dr Edmund Mndolwa amesema  utekelezaji 
wake katika majukumu ya uongozi suala la wizi ama ubadhilifu wa mali za chama katika uongozi wake kwa sasa litabaki historia.  
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Edmund Benard Mndolwa 

Kamati  iliyoundwa na Rais Magufuli kukagua mali za chama hicho, hivi karibuni ilifanyia kazi   kwa miezi mitano  na kufanikiwa kukusanya taafa za kuhakiki na kuchambua taarifa  na nyaraka zenye maelezo kuhusu idadi, aina na hali ya mali zinazomilikiwa na kusimamiwa na chama hicho.


Akizungumza Dar es Salaam mwenyekiti huyo msomi Dk.Mdolwa katika kikao cha utekelezaji cha jumuiya ya wazazi ambacho
kinadaiwa  kuwa cha dharula alisema kuwa anazifahamu changamoto zilizopo na kuwa uongozi wake huko imara.


"Kuhusiana na usimamizi wa mali za CCM  mali za chama zitasimamiwa barabara kwa maslahi ya chama yaye mambo ya ukosefu wa maadili au matumizi mabaya ya ofisi katika utawala wangu yatabaki kama ndoto kwani ni lazima nijitume na kuwatumikia watanzania ili kutimiza ilani ya chama tawala(CCM),"Alisema Dkt.Mndolwa.


Alisema baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)imesema kuwa Agosti 12 mwaka huu itakuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Buyungu na wa madiwani katika kata 79 
Tanzania Bara CCM tayari imejiandaa kushinda .


Dk.Mdolwa alichaguliwa kuwa mwenyekiti baada ya mwenyekiti wa zamani wa Jumuia hiyo,Alhaj Abdallah Bulembo ambaye kuelekea uchaguzi huo Desemba 2017 aliyeng'antuka baada ya kuongoza kwa miaka mitano.


Dkt.Mndolwa alisema wamejiandaa kushinda kwa kishindo kata zote 79 zinazotarajiwa kufanya  uchaguzi mdogo mapema  mwaka huu nakuwa wanajivunia maliasili watu katika ushindi huo.


Mwenyekiti huyo alisema  CCM ni chama kikubwa sana nakuwa kinauwezo katika rasilimalizake hata wapinzani wanatambua na sasa wao kama viongozi na wanachama kwa sasa wamejipanga vizuri sana na kuwa wanamikakati ya kutosha na rasilimali  watu .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.