Skip to main content

Dr Edmund Mndolwa :Wizi ama ubadhilifu wa mali za chama katika uongozi wake kwa sasa litabaki historia

MWENYEKITI  wa Jumuia ya Wazazi Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dr Edmund Mndolwa amesema  utekelezaji 
wake katika majukumu ya uongozi suala la wizi ama ubadhilifu wa mali za chama katika uongozi wake kwa sasa litabaki historia.  
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Edmund Benard Mndolwa 

Kamati  iliyoundwa na Rais Magufuli kukagua mali za chama hicho, hivi karibuni ilifanyia kazi   kwa miezi mitano  na kufanikiwa kukusanya taafa za kuhakiki na kuchambua taarifa  na nyaraka zenye maelezo kuhusu idadi, aina na hali ya mali zinazomilikiwa na kusimamiwa na chama hicho.


Akizungumza Dar es Salaam mwenyekiti huyo msomi Dk.Mdolwa katika kikao cha utekelezaji cha jumuiya ya wazazi ambacho
kinadaiwa  kuwa cha dharula alisema kuwa anazifahamu changamoto zilizopo na kuwa uongozi wake huko imara.


"Kuhusiana na usimamizi wa mali za CCM  mali za chama zitasimamiwa barabara kwa maslahi ya chama yaye mambo ya ukosefu wa maadili au matumizi mabaya ya ofisi katika utawala wangu yatabaki kama ndoto kwani ni lazima nijitume na kuwatumikia watanzania ili kutimiza ilani ya chama tawala(CCM),"Alisema Dkt.Mndolwa.


Alisema baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)imesema kuwa Agosti 12 mwaka huu itakuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Buyungu na wa madiwani katika kata 79 
Tanzania Bara CCM tayari imejiandaa kushinda .


Dk.Mdolwa alichaguliwa kuwa mwenyekiti baada ya mwenyekiti wa zamani wa Jumuia hiyo,Alhaj Abdallah Bulembo ambaye kuelekea uchaguzi huo Desemba 2017 aliyeng'antuka baada ya kuongoza kwa miaka mitano.


Dkt.Mndolwa alisema wamejiandaa kushinda kwa kishindo kata zote 79 zinazotarajiwa kufanya  uchaguzi mdogo mapema  mwaka huu nakuwa wanajivunia maliasili watu katika ushindi huo.


Mwenyekiti huyo alisema  CCM ni chama kikubwa sana nakuwa kinauwezo katika rasilimalizake hata wapinzani wanatambua na sasa wao kama viongozi na wanachama kwa sasa wamejipanga vizuri sana na kuwa wanamikakati ya kutosha na rasilimali  watu .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...