Skip to main content

Mzee Liapinda amfagilia Profesa Tibaijuka

Mkazi  wa Mtaa wa Mamboleo B  wilayani Temeke,  Joseph Liapinda (84) amemsifu na kusimulia jinsi aliyekuwa Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi, ambaye kwa sasa ni Mbunge  Muleba Kusini  mkoani Kagera (CCM), Profesa  Anna Tibaijuka  alivyomsaidia kuokoa nyumba  yake iliyotaka kudhulumiwa.

 Profesa  Anna Tibaijuka 

Kauli imetolewa leo jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Karimjee alipokutana na Profesa Tibaijuka katika kuuaga Mwili wa aliyekuwa   Mbunge wa Korogwe Vijijini mkoani Tanga,Stephen Ngonyani ‘Profesa  Maji Marefu’ (CCM).

Liapinda amesema mwaka 2014 nyumba yake iliyoko Kata ya Sandali wilayani humo ilitaka kudhulumiwa na mtu aliyemruhusu kukaa bure kwa makubaliano ya kujenga choo akishirikiana na Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa huo.
Pichani Mzee Joseph Liapinda (84)
Amebainisha kuwa  mtu aliyekuwa akikaa kwenye nyumba yake hakujenga choo na mwenyekiti wa mtaa huo akishirikiana na mjumbe  wa nyumba kumi, Josephina Francis  walimpa namba feki ya nyumba iliyomwekeza kuwa sio yake.

Amesisitiza kuwa baada ya kufanyiwa kitendo hicho alianza kupigania haki yake kwa kwenda Makao makuu ya wizara husika ndipo alipokutana na Profesa Tibaijuka na kumueleza mkasa mzima ambapo Mbunge huyo alimpa barua yenye maelekezo iliyomtaka aende kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo ambaye  sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Galawa.

Amefafanua kuwa baada ya kwenda kwa mkuu wa wilaya huyo na kwamba yule aliekuwa amempa hifadhi katika nyumba yake alikamatwa na kuwekwa ndani na kurudishiwa nyumba hiyo katika himaya yake.

Amemshukuru Profesa Tibaijuka kwa kusema bila msaada wake nyumba yake asingeipata na kwamba anaishi na familia yake ya watoto sita pamoja na mkewe.

Kwa upande wake, Profesa Tibaijuka amempa shukrani mkazi huyo kwa kutambua mchango wake uliofanikisha kuokoa nyumba yake kwa wadhulumati na kumsisitiza aendelee kuishi kwa  amani.

Katika hatua nyingine, Profesa  Tibaijuka amesema ameupokea kwa masikitiko makubwa msiba wa Maji Marefu kwa kuwa alikuwa ni mtu msikivu, mwelewa na mjenga hoja bungeni.

“ Ni masikitiko makubwa Maji Marefu namfahamu  alikuwa mbunge mwelewa na mjenga hoja tulipokuwa bungeni, “ amesema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.