Skip to main content

Jafo atembelea soko la kisutu aagiza ujenzi uanze




Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo ameitaka Manispaa ya Ilala kusimamia vema zoezi la kuwahamisha wafanyabiashara wa soko la Kisutu kupisha ujenzi wa soko la kisasa linalotarajiwa kuanza kujengwa Mwezi huu.
 Akizungumza na  wafanyabiashara wa soko hilo Jafo ameipongeza Manispaa ya Ilala kukamilisha kwa wakati ujenzi wa soko la muda litalotumiwa na wafanyabiashara wanaopisha ujenzi wa soko jipya.

Jafo pia ameitaka Manispaa hiyo kuhakikisha wafanyabiashara wote wasoko hilo kuandikishwa ili Kuzuia udanganyifu wa kuingiza wafanyabiashara wapya nakuwakosesha maeneo ambao wapo sasa.

"Katika Manispaa zote zenye miradi ya mpango mkakati nilizopita Ilala mme kuwa wakwanza kutekeleza kwa vitendo maandalizi na ujenzi wa soko, ila nisema jambo hili, hakikisheni wafanyabishara waliopo humu wanapewa kipaumbele watakapo Panga wote  nafasi zitakazo baki a ndo wapewe Wafanya biashara wapya"alisema

Aidha ameagiza  Mamalishe kupewa maeneo maalumu ya kufanya biashara zao ili wasisumbuliwe,huku akiagana apewe orodha ya Wafanyabiasha waliopo sasa ili aweze kufuatilia watakapo kuwa wa narudi sokojipya .

Pamoja na hayo Jafo amitaka manispaa ya Ilala kuweka sakafu katika Soko la muda, kuweka umeme na kujenga meza ili wafanyabishara wafanye biashara zao katika mazingira safi.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema amemkikishia Mhe. Waziri kuwa zoezi hilo litafanyika kwa haki na kwamba yeye mwenyewe atasimamia ili kuhakikisha hakuna anaye one wa na kupoteza haki yake.

"Baada ya wiki mbili nita rudi tena hapa ili tuanze kuwapanga katika meza kila mmoja atapata eneo kutokana na nafasi iliyopo" alisema.

Kwaupande wao wafanyabiashara wa soko hilo wameshukuru Waziri Jafo kwa kufuatilia ujenzi huo na kupongeza Manispaa ya Ilala kwa mpango mzuri wa kuhakikisha wanafanya fanya biashara wote wenye maeneo katika Soko la Kisutu wa narudi katika maeneo yao baada ya ujenzi wa Soko.

Soko la kisasa  la Kisutu litakuwa maghorofa nne na ujenzi unatarajiwa kuanza Mwezi huu, ambapo ujenzi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 18, na litajengwa kwa thamani ya shilingi billion 13 na kampuni ya ujenzi ya Mohamedi Builders.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.