Skip to main content

Jafo atembelea soko la kisutu aagiza ujenzi uanze




Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo ameitaka Manispaa ya Ilala kusimamia vema zoezi la kuwahamisha wafanyabiashara wa soko la Kisutu kupisha ujenzi wa soko la kisasa linalotarajiwa kuanza kujengwa Mwezi huu.
 Akizungumza na  wafanyabiashara wa soko hilo Jafo ameipongeza Manispaa ya Ilala kukamilisha kwa wakati ujenzi wa soko la muda litalotumiwa na wafanyabiashara wanaopisha ujenzi wa soko jipya.

Jafo pia ameitaka Manispaa hiyo kuhakikisha wafanyabiashara wote wasoko hilo kuandikishwa ili Kuzuia udanganyifu wa kuingiza wafanyabiashara wapya nakuwakosesha maeneo ambao wapo sasa.

"Katika Manispaa zote zenye miradi ya mpango mkakati nilizopita Ilala mme kuwa wakwanza kutekeleza kwa vitendo maandalizi na ujenzi wa soko, ila nisema jambo hili, hakikisheni wafanyabishara waliopo humu wanapewa kipaumbele watakapo Panga wote  nafasi zitakazo baki a ndo wapewe Wafanya biashara wapya"alisema

Aidha ameagiza  Mamalishe kupewa maeneo maalumu ya kufanya biashara zao ili wasisumbuliwe,huku akiagana apewe orodha ya Wafanyabiasha waliopo sasa ili aweze kufuatilia watakapo kuwa wa narudi sokojipya .

Pamoja na hayo Jafo amitaka manispaa ya Ilala kuweka sakafu katika Soko la muda, kuweka umeme na kujenga meza ili wafanyabishara wafanye biashara zao katika mazingira safi.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema amemkikishia Mhe. Waziri kuwa zoezi hilo litafanyika kwa haki na kwamba yeye mwenyewe atasimamia ili kuhakikisha hakuna anaye one wa na kupoteza haki yake.

"Baada ya wiki mbili nita rudi tena hapa ili tuanze kuwapanga katika meza kila mmoja atapata eneo kutokana na nafasi iliyopo" alisema.

Kwaupande wao wafanyabiashara wa soko hilo wameshukuru Waziri Jafo kwa kufuatilia ujenzi huo na kupongeza Manispaa ya Ilala kwa mpango mzuri wa kuhakikisha wanafanya fanya biashara wote wenye maeneo katika Soko la Kisutu wa narudi katika maeneo yao baada ya ujenzi wa Soko.

Soko la kisasa  la Kisutu litakuwa maghorofa nne na ujenzi unatarajiwa kuanza Mwezi huu, ambapo ujenzi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 18, na litajengwa kwa thamani ya shilingi billion 13 na kampuni ya ujenzi ya Mohamedi Builders.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...