Skip to main content

Jafo atembelea soko la kisutu aagiza ujenzi uanze




Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI Suleiman Jafo ameitaka Manispaa ya Ilala kusimamia vema zoezi la kuwahamisha wafanyabiashara wa soko la Kisutu kupisha ujenzi wa soko la kisasa linalotarajiwa kuanza kujengwa Mwezi huu.
 Akizungumza na  wafanyabiashara wa soko hilo Jafo ameipongeza Manispaa ya Ilala kukamilisha kwa wakati ujenzi wa soko la muda litalotumiwa na wafanyabiashara wanaopisha ujenzi wa soko jipya.

Jafo pia ameitaka Manispaa hiyo kuhakikisha wafanyabiashara wote wasoko hilo kuandikishwa ili Kuzuia udanganyifu wa kuingiza wafanyabiashara wapya nakuwakosesha maeneo ambao wapo sasa.

"Katika Manispaa zote zenye miradi ya mpango mkakati nilizopita Ilala mme kuwa wakwanza kutekeleza kwa vitendo maandalizi na ujenzi wa soko, ila nisema jambo hili, hakikisheni wafanyabishara waliopo humu wanapewa kipaumbele watakapo Panga wote  nafasi zitakazo baki a ndo wapewe Wafanya biashara wapya"alisema

Aidha ameagiza  Mamalishe kupewa maeneo maalumu ya kufanya biashara zao ili wasisumbuliwe,huku akiagana apewe orodha ya Wafanyabiasha waliopo sasa ili aweze kufuatilia watakapo kuwa wa narudi sokojipya .

Pamoja na hayo Jafo amitaka manispaa ya Ilala kuweka sakafu katika Soko la muda, kuweka umeme na kujenga meza ili wafanyabishara wafanye biashara zao katika mazingira safi.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema amemkikishia Mhe. Waziri kuwa zoezi hilo litafanyika kwa haki na kwamba yeye mwenyewe atasimamia ili kuhakikisha hakuna anaye one wa na kupoteza haki yake.

"Baada ya wiki mbili nita rudi tena hapa ili tuanze kuwapanga katika meza kila mmoja atapata eneo kutokana na nafasi iliyopo" alisema.

Kwaupande wao wafanyabiashara wa soko hilo wameshukuru Waziri Jafo kwa kufuatilia ujenzi huo na kupongeza Manispaa ya Ilala kwa mpango mzuri wa kuhakikisha wanafanya fanya biashara wote wenye maeneo katika Soko la Kisutu wa narudi katika maeneo yao baada ya ujenzi wa Soko.

Soko la kisasa  la Kisutu litakuwa maghorofa nne na ujenzi unatarajiwa kuanza Mwezi huu, ambapo ujenzi huo unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 18, na litajengwa kwa thamani ya shilingi billion 13 na kampuni ya ujenzi ya Mohamedi Builders.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...