Skip to main content

Kesi ya Viongozi Chadema yasogezwa mbele

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri anatarajia kutoa uamuzi katika kesi inayowakabili viongozi 9 wa Chadema, July  10,2018 kama ajitoe kusikiliza kesi hiyo ama lah.
Hatua hiyo inatokana na viongozi akiwemo Mwenyekiti Freeman Mbowe kuwasilisha hoja za kutaka Hakimu huyo ajitoe kwa sababu hawana imani naye.
Miongini mwa hoja ya Mbowe amedai ni adhabu tosha kwa upande wao kuripoti kituo cha Polisi cha Kati kila Ijumaa.

"Kwa miezi 3 kila siku ya Ijumaa tunakwenda kuripoti hiyo ni adhabu tosha ukizingatia sisi ni viongozi wa umma,"amedai.
Amedai kuwa kundi lao wote ni viongozi na wanatokea sehemu mbalimbali na wanamajukumu katika maeneo wanayitokea.
Pia amedai kuwa wanakosa haki za msingi kwa sababu mawakili wao wamekuwa wakipingwa wazi wazi pindi wanapowasilisha pingamizi zao.
Akifafanua zaidi, Mbowe alidai mwenendo wa hakimu wa kutokuthamini haki za msingi za watuhumiwa, kwamba aliuguliwa na kufiwa lakini hakuruhusiwa ombi la kumaliza msiba aliamriwa kurudi kusikiliza kesi na aliacha kumaliza msiba, anaonyesha ukali na hasira mawakili wa utetezi  wanapowasilisha hoja zao.  
Kutokana na hoja hizo, Hakimu Mashauri ameahirisha kesi hiyo hadi July 5,2018 ili kutoa hatma yake kama aendelee kusikiliza kesi hiyo ama lah.
Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent Mashinji, Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika.
Pia wengine ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe Halima Mdee,   Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya na Mbunge wa Tarime mjini, Esther Matiko.
Inadaiwa kuwa washitakiwa walitenda makosa hayo Februari 16, mwaka huu katika maeneo ya Viwanja vya Buibui, Mwananyamala na  barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni.
Wanadaiwa kuwa Februari 16,mwaka huu katika barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni washitakiwa hao wakiwa na wenzao 12 ambao hawapo mahakamani walikiuka tamko la kuwataka kutawanyika la Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Gerald Ngiichi kwa kugoma kutawanyika na kupelekea uvunjifu wa amani.
Inadaiwa kitendo cha kugoma  kulisababisha hofu iliyochangia  kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline na majeruhi kwa askari wawili ambao ni  H.7856 PC Fikiri na E.6976 CPL Rahim Msangi.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...