Skip to main content

CCM Dar Kukutana Tamashani Viwanja leaders Club Julai 21


WAKATI tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)Agosti 12 ikiwa imetangaza kuwa  

mwaka huu itakuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la 

Buyungu na wa madiwani katika kata 79 Tanzania Bara.
Jijini Dar es Slaam Katibu mwenezi wa Chama Cha MapinduziSimon 

Mwakifwamba amesema jana kuwa (CCM)Mkoa wa Dar es Salaam
hupo katika maandalizi ya onesho kubwa litakarofanyika kwenye
viwanja vya jijini hapa.

Mwakifwamba alisema kuwa hali ya maandali hayo inaendelea vizuri na 

tayari onesho hilo limepangwa kufanyika Julai 21 mwaka huu katika 

viwanja hivyo na kikubwa ni kuwa bendi mbali mbali pamoja na wasanii 

nyota akiwemo Nguza Viking 'Babu Seya' na Papii Kocha watatumbuiza.

"Lengo la siku hiyo ni kuwa wadau wote wa CCM watapata kukutana kwa
pamoja na kufahamiana kwa ukaribu hali itakayofanya waweze kubadilishana
mawazo kisiasa,"alisema Mwakifwamba .


Mwakifwamba alisema kuwa kumekuwa na namna nyingi za kufikishiana ujumbe
katika ngazi za uongozi CCM kuanzia ngazi ya  kata hadi kitaifa sasa 

tnaomba wanaumoja wote wakutane itakuwa vema sana kama kila mmoja akija
amempatia taarifa sahihi za kufika katika onesho hiulo  mwenzake wa 
karibu.


Aidha alisema kuwa CCM imekuwa katika mipango mizuri kiongozi na 
uchapakazi wa kila mmoja unazaa malengo bora kwa taifa sasa ni bora
wakutane kwa pamoja kuamsha hisia njema za chama .

Pia aliwataja wasanii wengine watakao sherehesha siku hiyo kuwa ni
Juma Nature,Sharo Mwamba Dula Makabila,Segere Stars pamoja na wasanii
wengine  nyota kama Christian Bella na Afande Sele kuota Morogoro.


Katika mchakato wa kunogesha onesho hilo bendi mahiri ya muziki wa Dansi
nchini Twanga Pepeta imepangwa kuburudisha onesho hilo sambamba na 

Vijana Jazz ambapo milango ya kuingia katika onesho hilo imetanjwa kuwa
itakuawa wazi kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa 06:00 usiku huku kiingilio 
kikiwa bure.

Nyama choma na bia zitauzwa kwa gharama nafuu kabisa kama bei ya 
uswahili kawaida.





Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...