Skip to main content

CCM Dar Kukutana Tamashani Viwanja leaders Club Julai 21


WAKATI tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)Agosti 12 ikiwa imetangaza kuwa  

mwaka huu itakuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la 

Buyungu na wa madiwani katika kata 79 Tanzania Bara.
Jijini Dar es Slaam Katibu mwenezi wa Chama Cha MapinduziSimon 

Mwakifwamba amesema jana kuwa (CCM)Mkoa wa Dar es Salaam
hupo katika maandalizi ya onesho kubwa litakarofanyika kwenye
viwanja vya jijini hapa.

Mwakifwamba alisema kuwa hali ya maandali hayo inaendelea vizuri na 

tayari onesho hilo limepangwa kufanyika Julai 21 mwaka huu katika 

viwanja hivyo na kikubwa ni kuwa bendi mbali mbali pamoja na wasanii 

nyota akiwemo Nguza Viking 'Babu Seya' na Papii Kocha watatumbuiza.

"Lengo la siku hiyo ni kuwa wadau wote wa CCM watapata kukutana kwa
pamoja na kufahamiana kwa ukaribu hali itakayofanya waweze kubadilishana
mawazo kisiasa,"alisema Mwakifwamba .


Mwakifwamba alisema kuwa kumekuwa na namna nyingi za kufikishiana ujumbe
katika ngazi za uongozi CCM kuanzia ngazi ya  kata hadi kitaifa sasa 

tnaomba wanaumoja wote wakutane itakuwa vema sana kama kila mmoja akija
amempatia taarifa sahihi za kufika katika onesho hiulo  mwenzake wa 
karibu.


Aidha alisema kuwa CCM imekuwa katika mipango mizuri kiongozi na 
uchapakazi wa kila mmoja unazaa malengo bora kwa taifa sasa ni bora
wakutane kwa pamoja kuamsha hisia njema za chama .

Pia aliwataja wasanii wengine watakao sherehesha siku hiyo kuwa ni
Juma Nature,Sharo Mwamba Dula Makabila,Segere Stars pamoja na wasanii
wengine  nyota kama Christian Bella na Afande Sele kuota Morogoro.


Katika mchakato wa kunogesha onesho hilo bendi mahiri ya muziki wa Dansi
nchini Twanga Pepeta imepangwa kuburudisha onesho hilo sambamba na 

Vijana Jazz ambapo milango ya kuingia katika onesho hilo imetanjwa kuwa
itakuawa wazi kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa 06:00 usiku huku kiingilio 
kikiwa bure.

Nyama choma na bia zitauzwa kwa gharama nafuu kabisa kama bei ya 
uswahili kawaida.





Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.