Skip to main content

CCM Dar Kukutana Tamashani Viwanja leaders Club Julai 21


WAKATI tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)Agosti 12 ikiwa imetangaza kuwa  

mwaka huu itakuwa ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la 

Buyungu na wa madiwani katika kata 79 Tanzania Bara.
Jijini Dar es Slaam Katibu mwenezi wa Chama Cha MapinduziSimon 

Mwakifwamba amesema jana kuwa (CCM)Mkoa wa Dar es Salaam
hupo katika maandalizi ya onesho kubwa litakarofanyika kwenye
viwanja vya jijini hapa.

Mwakifwamba alisema kuwa hali ya maandali hayo inaendelea vizuri na 

tayari onesho hilo limepangwa kufanyika Julai 21 mwaka huu katika 

viwanja hivyo na kikubwa ni kuwa bendi mbali mbali pamoja na wasanii 

nyota akiwemo Nguza Viking 'Babu Seya' na Papii Kocha watatumbuiza.

"Lengo la siku hiyo ni kuwa wadau wote wa CCM watapata kukutana kwa
pamoja na kufahamiana kwa ukaribu hali itakayofanya waweze kubadilishana
mawazo kisiasa,"alisema Mwakifwamba .


Mwakifwamba alisema kuwa kumekuwa na namna nyingi za kufikishiana ujumbe
katika ngazi za uongozi CCM kuanzia ngazi ya  kata hadi kitaifa sasa 

tnaomba wanaumoja wote wakutane itakuwa vema sana kama kila mmoja akija
amempatia taarifa sahihi za kufika katika onesho hiulo  mwenzake wa 
karibu.


Aidha alisema kuwa CCM imekuwa katika mipango mizuri kiongozi na 
uchapakazi wa kila mmoja unazaa malengo bora kwa taifa sasa ni bora
wakutane kwa pamoja kuamsha hisia njema za chama .

Pia aliwataja wasanii wengine watakao sherehesha siku hiyo kuwa ni
Juma Nature,Sharo Mwamba Dula Makabila,Segere Stars pamoja na wasanii
wengine  nyota kama Christian Bella na Afande Sele kuota Morogoro.


Katika mchakato wa kunogesha onesho hilo bendi mahiri ya muziki wa Dansi
nchini Twanga Pepeta imepangwa kuburudisha onesho hilo sambamba na 

Vijana Jazz ambapo milango ya kuingia katika onesho hilo imetanjwa kuwa
itakuawa wazi kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa 06:00 usiku huku kiingilio 
kikiwa bure.

Nyama choma na bia zitauzwa kwa gharama nafuu kabisa kama bei ya 
uswahili kawaida.





Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...