Skip to main content

KBC Bank yaonesha mafanikio kwa wafanya biashara


Pichani  Mkurugenzi mtendaji wa benki ya KCB Cosmas Kimario.

WAFANYA biashara waelezwa jinsi ya kupata mafanikio zaidi
mara baada ya kupata mikopo katika mtazamo wa biashara zao.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi mtendaji wa benki ya KCB Cosmas Kimario
Dar es Salaam jana katika mkunano na wafanya biashara hao,ulioitwa
Biashara Club ukiwa na lengo la kuangalia changamoto wanazoku
tana nazo wafanya biashara na kuweza kupata ufumbuzi.




 Alisema benki hiyo imeandaa mkutano huo hili kuwakutanisha
wafanya biashara wa ndani na wanje hilikuweza kukutana
na kuongea mambo yao ya kibiashara ambapo imeimizwa pia
wanaopata mikopo wasiiende kutumia kinyume na matakwa ya
mikopo.

"Wafanyabiashara wanaoweka pesa zao katika benki ya KCB
tumeweza kuwakutanisha katika Biashara Club lengo ikiwa
ni kuwakutanisha na kufanya mazungumzo na kuibua changa
moto walizonazo na kuzizungumza hili kuleta maendeleao
yenye tija,"alisema Kimario.


Kimario alisema kuwa wafanya biashara nchini wanaoagiza
bidhaa zao kutoka nje ya nchini tumekuwa tukiwakutanisha
ambapo kwa mwaka jana waliweza kuwapeleka katika nchi
za China na Japani.


Alisema kumekuwa na manufaa kati ya wafanya biashara nchini katika mpango
wa kuwakutanisha na wafanya biashara wa nje,kwani wamekuwa wakiweza
kuonana moja kwa moja na kuzungumza mambo yao ya biashara na kuwa
kupitia mpango huo wanamatumaini ya kuwavutia wafanya biashara
wengine kujiunga katika benki hiyo.

Naye Charles Adofu ambaye ni mkufunzi wa ufuatiliaji wa kodi
katika biashara alisema kuwa moja ya changamoto wanazokutana
nazo wafanya biashara ni mfanyabiashara kuwa na elimu ndogo
katika kuanzisha biashara.

Alisema kutokana na elimu kuwa ndogo uweza kuanzisha biashara
katika maeneo bila kujua makato ya tozo za Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA).

Benki ya KCB imeeleza kuwa wameendelea kufungua matawi yao
katika mikoa mbali mbali nchini nakuwa imezidi kuweka
mashariti nafuu kwa wateja na pia wateja wenye smart Phone
wamekuwa wakipatiwa modern App hili kutumia huduma za kibenk
katika hali rahisi kabisa.








Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...