Skip to main content

Shirika la Posta nchini lawataka wafanyabiashara nchini kutangaza bidhaa zao kiteknolojia

WAFANYABIASHARA wa Kilimo nchini wametakiwa Shirika la Posta nchiniya Shirika la Posta nchini katika kutangaza bidhaa zao pamoja 
na kuuza.
Image result for Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye
Hayo yamesemwa na  Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi 
Atashasta Nditiye  alipofungua mkutano wa 16 wa 
Mashirika ya Posta yaliyopo Nchi zilizo kusini mwa Afrika (SADEC), huku 
akisisitiza kwa kufanya hivyo wafanyabiashara hao wataweza kuuza bidhaa 
zao Dunia nzima.

''Unajua Shirika la Posta sasa hivi, linajulikana Dunia nzima, hivyo 
wafanyabiashara kama watatumia website hii watapata fulsa ya kuonekana
 dunia nzima, hali itakayopelekea kupata masoko makubwa ya Kimataifa'', alisema.


Alisema alisema kuwa, Shirika la Posta hivi sasa limehimarika linajiaendesha 
kwa faida, hivyo lina uwezo wa kusafirisha vifurushi popote Duniani  na mzigo 
wako ukafika salama na pesa yako ukaipata bila matatizo.

 Naibu huyo amezitaka taasisi zote za Serikali kulitumia Shirika hilo, katika
 kusafirisha vifurushi ili kuliongezea uwezo liweze kuendelea kujiendesha kwa
 faida ili liweze kutoa gawiwo kwa Serikali kila mwaka.

Nditiye aliongeza kuwa, wanatarajia kurekebisha baadhi ya sheria zilizokuwa 
zikionekana kuwabana wateja, ili kwenda na wakati kwani mambo ya teknolojia
 yamekuwa kwa kasi.

Aidha  alisema kuwa, katika kuboresha huduma zao, Shirika la Posta 
limeanzisha huduma ya Posta mlangoni ambayo tayari imeshaanza katika Mikoa 
ya Dar es Salaam, Arusha  na Dodoma.

Pia alisema shirika la Posta Tanzania tangu lizinduwe  huduma 
mpya POSTA MLANGONI limeendelea kuimalisha huduma hiyo katika jiji 
la Dar es Salaam ambapo kila mwananchi atapelekewa kufurushi, 
taarifa au bidhaa zilizotumwa kwa kupitia Ofisi za Posta kwa sasa
wameshatoa taarifa kwa madiwani,wawasiliane na watendaji wa Serikali
za mitaa,ili wapeleke majina ya mitaa yao Makao Makuu ya Posta,ili 
zoezi hilo likamilike wananchi waweze kupelekewa barua au vifurushi
vyao mpaka mlangoni mwao.

''Lengo la Posta Mlangoni ni kuenea Tanzania nzima, isipokuwa kwa sasa 
tumeanza na hii Mikoa mitatu, hivyo wananachi wasubiri wapatatiwa huduma 
hiyo kwa kufuatwa majumbani mwao'', alisema.

Mkutano huo wa 16, una lengo la kujadili mambo mbali mbali yahusuyo Posta, 
pamoja na kujadilianani jinsi gani wataweza kuimarisha huduma zao ili ziweze 
kufanyika kwa ufanisi mkubwa.



Naye mwenyekiti wa bodi  ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), 
Luteni Kanali mstaafu, Dk. Haroun Kondo alisema kuwa mkutano huo kufanyika
hapa nchini unaweza  kutafuta pia fursa za kuboresha huduma kama mambo ya 
kiteknolojia.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...