Skip to main content

Shirika la Posta nchini lawataka wafanyabiashara nchini kutangaza bidhaa zao kiteknolojia

WAFANYABIASHARA wa Kilimo nchini wametakiwa Shirika la Posta nchiniya Shirika la Posta nchini katika kutangaza bidhaa zao pamoja 
na kuuza.
Image result for Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye
Hayo yamesemwa na  Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi 
Atashasta Nditiye  alipofungua mkutano wa 16 wa 
Mashirika ya Posta yaliyopo Nchi zilizo kusini mwa Afrika (SADEC), huku 
akisisitiza kwa kufanya hivyo wafanyabiashara hao wataweza kuuza bidhaa 
zao Dunia nzima.

''Unajua Shirika la Posta sasa hivi, linajulikana Dunia nzima, hivyo 
wafanyabiashara kama watatumia website hii watapata fulsa ya kuonekana
 dunia nzima, hali itakayopelekea kupata masoko makubwa ya Kimataifa'', alisema.


Alisema alisema kuwa, Shirika la Posta hivi sasa limehimarika linajiaendesha 
kwa faida, hivyo lina uwezo wa kusafirisha vifurushi popote Duniani  na mzigo 
wako ukafika salama na pesa yako ukaipata bila matatizo.

 Naibu huyo amezitaka taasisi zote za Serikali kulitumia Shirika hilo, katika
 kusafirisha vifurushi ili kuliongezea uwezo liweze kuendelea kujiendesha kwa
 faida ili liweze kutoa gawiwo kwa Serikali kila mwaka.

Nditiye aliongeza kuwa, wanatarajia kurekebisha baadhi ya sheria zilizokuwa 
zikionekana kuwabana wateja, ili kwenda na wakati kwani mambo ya teknolojia
 yamekuwa kwa kasi.

Aidha  alisema kuwa, katika kuboresha huduma zao, Shirika la Posta 
limeanzisha huduma ya Posta mlangoni ambayo tayari imeshaanza katika Mikoa 
ya Dar es Salaam, Arusha  na Dodoma.

Pia alisema shirika la Posta Tanzania tangu lizinduwe  huduma 
mpya POSTA MLANGONI limeendelea kuimalisha huduma hiyo katika jiji 
la Dar es Salaam ambapo kila mwananchi atapelekewa kufurushi, 
taarifa au bidhaa zilizotumwa kwa kupitia Ofisi za Posta kwa sasa
wameshatoa taarifa kwa madiwani,wawasiliane na watendaji wa Serikali
za mitaa,ili wapeleke majina ya mitaa yao Makao Makuu ya Posta,ili 
zoezi hilo likamilike wananchi waweze kupelekewa barua au vifurushi
vyao mpaka mlangoni mwao.

''Lengo la Posta Mlangoni ni kuenea Tanzania nzima, isipokuwa kwa sasa 
tumeanza na hii Mikoa mitatu, hivyo wananachi wasubiri wapatatiwa huduma 
hiyo kwa kufuatwa majumbani mwao'', alisema.

Mkutano huo wa 16, una lengo la kujadili mambo mbali mbali yahusuyo Posta, 
pamoja na kujadilianani jinsi gani wataweza kuimarisha huduma zao ili ziweze 
kufanyika kwa ufanisi mkubwa.



Naye mwenyekiti wa bodi  ya Wakurugenzi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), 
Luteni Kanali mstaafu, Dk. Haroun Kondo alisema kuwa mkutano huo kufanyika
hapa nchini unaweza  kutafuta pia fursa za kuboresha huduma kama mambo ya 
kiteknolojia.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...