Skip to main content

Similes Dental Clinic yafungua tawi jipya Mtaa wa Jamhuri Dar es Salam


Pichani wapili kutoka kushoto Dkt.Ambege Mwakatobe akikata utepe katika ufunguzi wa Similes Dental Clinic iliyopo mtaa wa Jamuhuri Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam katika Mtaa wa Jamhuri wakati wa uzinduzi
wa Kliniki mpya ya Similes Dental itakayokuwa inatibu ugonjwa huo wa
kinywa Dkt. Ambege Mwakatobe alisema kuwa asilimia 80 ya watu wazima
duniani wanasumbuliwa na ugonjwa wa kuumwa fizi.




Alibainisha kuwa wamejipanga vema kutoa huduma ya tiba ya wagonjwa
ya meno ambapo gharama yao ni nafuu  watu wenye matatizo ya meno wasisite
kufika kliniki hiyo na kwamba wapo mbioni kuanza kutoa huduma hiyo ya
tiba kwa watu wenye bima za afya.


Alieleza kuwa tatizo la ugonjwa wa meno linachangiwa  pia na sababu ya
vyakula vyenye mafuta ama vitu vyenye mafuta kwa mtumiaji wa vitu hivyo,
pamoja na upande mwingine wa utumiaji wa vitu kama sukari.

Aidha alisema kuwa magonjwa ya saratani ya meno husababishwa na utumiaji
wa tumbaku na kuongeza kuwa magonjwa ya kinywa ni hatari kwa mama mjamzito
kwani endapo ataumwa fizi ni rahisi kupata ugonjwa wa moyo.
"Nawashauri watu kuchunguza afya zao za kinywa angalau mara moja
kwa mwaka hili kugundua matatizo yanayoweza kujitokeza siku za mbeleni,"
alisema Dkt.Mwakatobe .
Alisisitiza kuwa kwa sasa madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
wametaja kuwa asilimia 50 ya watoto wenye rika la kwenda shule ndio
hasa waanga wa ugonjwa wa meno.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...