Skip to main content

Wizara ya Afya:Yahimiza kuhamasisha na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto

AZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu amesema kesho Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto.
Image result for ummy mwalimu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu

Akizungumza na  waandishi wa habari Dar es Salaam jana Ummy leo alisema Kila mwaka kuanzia Augosti mosi maadhimisho hayo yamekua yakifanyika na
kupewa kaulimbiu maalum zinazolenga  kuhamasisha na kuongeza uelewa
wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto na taratibu sahihi
za ulishaji.

Alisema siku 100 za mwanzo wa uhai wa matoto ni kipindi muhimu cha kujenga msingi wa maisha ya mtoto hususani maendeleo ya ukuaji wake
kimwili na kiakili.

"Siku hizo mtoto huanza kuhesabiwa tangu pale mimba inapotungwa hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili nakuwa mtoto anapohitaji kunyonyeshwa anyonyeshwe wakati anapoitaji iwe usiku ama mchana,"alisema Ummy .


Waziri Ummy alisema kuwa katika hatua ya ujauzito mtoto ana tegemea chakula anachopata  mama yake ambapo mama akipata chakula sahihi vivyo hivyo mtoto atapata virutubisho sahihi.

Alisema iwapo mama mjamzito mlo ambao ni duni hali hiyo pia itamkumba mtoto aliye tumboni,mtoto akisha zaliwa chakula chake  cha awali na cha msingi ni maziwa ya mama yake pekee.


Ummy alieleza kuwa tendo la kunyonyesha humsaidia mama kupangilia uzazi,kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya matiti na via vya uzazi na kuzuia upotevu wa kiwango kikubwa cha damu baada ya kujifungua.

Wizara ya afya inaeleza kuwa maziwa ya mama humpatia mtoto kinga ya
mwili zinazosaidia kupambana na maambukizo ya magonjwa kupunguza kasi
ya kuugua mara kwa mara hususani ugonjwa wakuharisha,maambukizi kwenye
mapafu pamoja na masikio.


Wizara hiyo pamoja na Taasisi ya Chakula na Lishe na UNISEFU zimesisitiza kuwa mzazi asimpe mtoto maji au chakula kingine kile ndani ya miezi sita na kuwa ikumbukwe maziwa ya mama yana 
virutubishi vinavyohitajika kwa ukuaji wa mtoto.

Wkati siku leo Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto imebainika kuwa asilimia 100 ya watoto nchini asilimia 30 ya watoto imedumaa.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetaja
kuwa mikoa inyoongoza kwa kuwa na wingi wa watoto wenye udumavu
kuwa ni Mkoa wa Rukwa ukiwa na asilimia 50 huku Geita ukiwa na asilimia
40 na Mkoa wa Kagera na Iringa ukiwa umetajwa kuwa na asilimia 41.


"Jambo la ajabu kuona mikoa iliyotajwa kuongoza kwa udumavu ndio inayokuwa na mvua nyingi na rutuba kuliko ata mikoa yenye ukame,"alisema Ummy.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...