Skip to main content

Wizara ya Afya:Yahimiza kuhamasisha na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto

AZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu amesema kesho Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto.
Image result for ummy mwalimu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu

Akizungumza na  waandishi wa habari Dar es Salaam jana Ummy leo alisema Kila mwaka kuanzia Augosti mosi maadhimisho hayo yamekua yakifanyika na
kupewa kaulimbiu maalum zinazolenga  kuhamasisha na kuongeza uelewa
wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto na taratibu sahihi
za ulishaji.

Alisema siku 100 za mwanzo wa uhai wa matoto ni kipindi muhimu cha kujenga msingi wa maisha ya mtoto hususani maendeleo ya ukuaji wake
kimwili na kiakili.

"Siku hizo mtoto huanza kuhesabiwa tangu pale mimba inapotungwa hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili nakuwa mtoto anapohitaji kunyonyeshwa anyonyeshwe wakati anapoitaji iwe usiku ama mchana,"alisema Ummy .


Waziri Ummy alisema kuwa katika hatua ya ujauzito mtoto ana tegemea chakula anachopata  mama yake ambapo mama akipata chakula sahihi vivyo hivyo mtoto atapata virutubisho sahihi.

Alisema iwapo mama mjamzito mlo ambao ni duni hali hiyo pia itamkumba mtoto aliye tumboni,mtoto akisha zaliwa chakula chake  cha awali na cha msingi ni maziwa ya mama yake pekee.


Ummy alieleza kuwa tendo la kunyonyesha humsaidia mama kupangilia uzazi,kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya matiti na via vya uzazi na kuzuia upotevu wa kiwango kikubwa cha damu baada ya kujifungua.

Wizara ya afya inaeleza kuwa maziwa ya mama humpatia mtoto kinga ya
mwili zinazosaidia kupambana na maambukizo ya magonjwa kupunguza kasi
ya kuugua mara kwa mara hususani ugonjwa wakuharisha,maambukizi kwenye
mapafu pamoja na masikio.


Wizara hiyo pamoja na Taasisi ya Chakula na Lishe na UNISEFU zimesisitiza kuwa mzazi asimpe mtoto maji au chakula kingine kile ndani ya miezi sita na kuwa ikumbukwe maziwa ya mama yana 
virutubishi vinavyohitajika kwa ukuaji wa mtoto.

Wkati siku leo Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto imebainika kuwa asilimia 100 ya watoto nchini asilimia 30 ya watoto imedumaa.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetaja
kuwa mikoa inyoongoza kwa kuwa na wingi wa watoto wenye udumavu
kuwa ni Mkoa wa Rukwa ukiwa na asilimia 50 huku Geita ukiwa na asilimia
40 na Mkoa wa Kagera na Iringa ukiwa umetajwa kuwa na asilimia 41.


"Jambo la ajabu kuona mikoa iliyotajwa kuongoza kwa udumavu ndio inayokuwa na mvua nyingi na rutuba kuliko ata mikoa yenye ukame,"alisema Ummy.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.