Skip to main content

Wizara ya Afya:Yahimiza kuhamasisha na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto

AZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu amesema kesho Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto.
Image result for ummy mwalimu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy  Mwalimu

Akizungumza na  waandishi wa habari Dar es Salaam jana Ummy leo alisema Kila mwaka kuanzia Augosti mosi maadhimisho hayo yamekua yakifanyika na
kupewa kaulimbiu maalum zinazolenga  kuhamasisha na kuongeza uelewa
wa jamii kuhusu humuhimu wa lishe bora kwa watoto na taratibu sahihi
za ulishaji.

Alisema siku 100 za mwanzo wa uhai wa matoto ni kipindi muhimu cha kujenga msingi wa maisha ya mtoto hususani maendeleo ya ukuaji wake
kimwili na kiakili.

"Siku hizo mtoto huanza kuhesabiwa tangu pale mimba inapotungwa hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili nakuwa mtoto anapohitaji kunyonyeshwa anyonyeshwe wakati anapoitaji iwe usiku ama mchana,"alisema Ummy .


Waziri Ummy alisema kuwa katika hatua ya ujauzito mtoto ana tegemea chakula anachopata  mama yake ambapo mama akipata chakula sahihi vivyo hivyo mtoto atapata virutubisho sahihi.

Alisema iwapo mama mjamzito mlo ambao ni duni hali hiyo pia itamkumba mtoto aliye tumboni,mtoto akisha zaliwa chakula chake  cha awali na cha msingi ni maziwa ya mama yake pekee.


Ummy alieleza kuwa tendo la kunyonyesha humsaidia mama kupangilia uzazi,kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya matiti na via vya uzazi na kuzuia upotevu wa kiwango kikubwa cha damu baada ya kujifungua.

Wizara ya afya inaeleza kuwa maziwa ya mama humpatia mtoto kinga ya
mwili zinazosaidia kupambana na maambukizo ya magonjwa kupunguza kasi
ya kuugua mara kwa mara hususani ugonjwa wakuharisha,maambukizi kwenye
mapafu pamoja na masikio.


Wizara hiyo pamoja na Taasisi ya Chakula na Lishe na UNISEFU zimesisitiza kuwa mzazi asimpe mtoto maji au chakula kingine kile ndani ya miezi sita na kuwa ikumbukwe maziwa ya mama yana 
virutubishi vinavyohitajika kwa ukuaji wa mtoto.

Wkati siku leo Tanzania inaungangana na nchi zingine duniani kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji wa maziwa ya mtoto imebainika kuwa asilimia 100 ya watoto nchini asilimia 30 ya watoto imedumaa.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetaja
kuwa mikoa inyoongoza kwa kuwa na wingi wa watoto wenye udumavu
kuwa ni Mkoa wa Rukwa ukiwa na asilimia 50 huku Geita ukiwa na asilimia
40 na Mkoa wa Kagera na Iringa ukiwa umetajwa kuwa na asilimia 41.


"Jambo la ajabu kuona mikoa iliyotajwa kuongoza kwa udumavu ndio inayokuwa na mvua nyingi na rutuba kuliko ata mikoa yenye ukame,"alisema Ummy.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...