Skip to main content

Sitti Mtemvu amejivua taji lake jana

Miss Tanzania Sitti Mtemvu, amejivua taji lake jana Jiji Dar es Salaam, kwa kuuandikia barua uongozi wa uandaaji wa mashindano hayo kampuni ya Lino International Agency, baada ya uvumi uliodai kuwa alidanganya umri wa kuzaliwa kwa kupeleka cheti kisicho sahihi na kudaiwa kuwa na mtoto.

Akizungumza na waandishi wa habari jana katika ukumbi wa Jb Belmont, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashimu Lundenga, alisema kuwa uwamuzi huo umefanywa baada ya Miss huyo kuwaandikia barua ya kujivua taji hilo kwa madai kuwa analinda heshima yake.

"Sitty ameamua kujivua taji hilo mwenyewe kwa madai kuwa analinda heshima yake kutokana na yale yaliyoongelewa siku mbili tatu za nyuma, na sisi hatuna budi kukubaliana na maamuzi yake kwani yeye ndiye muamuzi wa mwisho" alisema Lundenga.

Lundenga, alisema kuwa katika barua hiyo Sitty amewashukuru watu wote waliokuwa pamoja nae tangu hatua za awali hadi kufikia kuchukua taji la Miss Tanzani 2014.

"Sitty katika barua yake kawashukuru wale wote waliokuwa nae bega kwa bega tangu hatua za mwanzo hadi kuchukua taji lake, lakini pia katika barua hii kasema ingawa kalivua taji hilo lakini bado kabaki na taji lake lingine alilopewa na Mungu" alisema Lundenga.

Lundenga, baada ya kumaliza kusoma barua hiyo, alimtangaza rasmi Miss Mpya ambaye amechukua nafasi aliyokuwa Miss huyo na kusema kuwa kwanzia sasa Miss Tanzania ni yule aliyeshika namba mbili katika mashindano hayo lilian Deus (18), mwenye Cheti cha Udhamili alichokopata akiwa anasoma katika chuo kimoja cha Jijini Arusha.

"kutokana na sitti kujivua taji lake hivyo namtangaza rasmi Miss Tanzania 2014, ni Lilian Deus ambaye kataka mashindano hayo alishika nafasi ya pili, na Miss huyu ana umri wa miaka 18 na ametokea kanda ya Kaskazini" alisema Lundenga.

Sitti Mtemvu, kaamua kujivua taji lake baada ya kashfa ya kudaiwa kudanganya umri kwa pasipoti na leseni yake kutofautiana na umri wake huku kashfa nyingine akidaiwa kuwa na mtoto.



   



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...