Skip to main content

Sitti Mtemvu amejivua taji lake jana

Miss Tanzania Sitti Mtemvu, amejivua taji lake jana Jiji Dar es Salaam, kwa kuuandikia barua uongozi wa uandaaji wa mashindano hayo kampuni ya Lino International Agency, baada ya uvumi uliodai kuwa alidanganya umri wa kuzaliwa kwa kupeleka cheti kisicho sahihi na kudaiwa kuwa na mtoto.

Akizungumza na waandishi wa habari jana katika ukumbi wa Jb Belmont, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashimu Lundenga, alisema kuwa uwamuzi huo umefanywa baada ya Miss huyo kuwaandikia barua ya kujivua taji hilo kwa madai kuwa analinda heshima yake.

"Sitty ameamua kujivua taji hilo mwenyewe kwa madai kuwa analinda heshima yake kutokana na yale yaliyoongelewa siku mbili tatu za nyuma, na sisi hatuna budi kukubaliana na maamuzi yake kwani yeye ndiye muamuzi wa mwisho" alisema Lundenga.

Lundenga, alisema kuwa katika barua hiyo Sitty amewashukuru watu wote waliokuwa pamoja nae tangu hatua za awali hadi kufikia kuchukua taji la Miss Tanzani 2014.

"Sitty katika barua yake kawashukuru wale wote waliokuwa nae bega kwa bega tangu hatua za mwanzo hadi kuchukua taji lake, lakini pia katika barua hii kasema ingawa kalivua taji hilo lakini bado kabaki na taji lake lingine alilopewa na Mungu" alisema Lundenga.

Lundenga, baada ya kumaliza kusoma barua hiyo, alimtangaza rasmi Miss Mpya ambaye amechukua nafasi aliyokuwa Miss huyo na kusema kuwa kwanzia sasa Miss Tanzania ni yule aliyeshika namba mbili katika mashindano hayo lilian Deus (18), mwenye Cheti cha Udhamili alichokopata akiwa anasoma katika chuo kimoja cha Jijini Arusha.

"kutokana na sitti kujivua taji lake hivyo namtangaza rasmi Miss Tanzania 2014, ni Lilian Deus ambaye kataka mashindano hayo alishika nafasi ya pili, na Miss huyu ana umri wa miaka 18 na ametokea kanda ya Kaskazini" alisema Lundenga.

Sitti Mtemvu, kaamua kujivua taji lake baada ya kashfa ya kudaiwa kudanganya umri kwa pasipoti na leseni yake kutofautiana na umri wake huku kashfa nyingine akidaiwa kuwa na mtoto.



   



Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.