Skip to main content

Watanzania wataka nchi ikumbukwe duniani

as_03af5.jpg
Washington. Ujumbe wa Tanzania katika mikutano muhimu inayofanyika Marekani wameipigia debe nchi yao wakitaka ikumbukwe.
Katika mkutano wa 45 wa Kamisheni ya Takwimu ya Umoja wa Mataifa (UN) na mkutano wa wazi wa tisa wa kikosi kazi kuhusu mapendekezo ya ajenda za malengo mpya ya maendeleo endelevu baada ya 2015 (SDGs), wamekuwa wakitetea masilahi ya nchi kwa kushiriki na kuchangia majadiliano ya mada mbalimbali zinazohusiana na mikutano hiyo
.
Akichangia katika mada iliyohusu Technolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT), Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk. Albina Chuwa alisema mwaka hadi mwaka Tanzania na Afrika imeendelea kupiga hatua katika teknolojia ya habari na mawasiliano licha ya changamoto mbalimbali.
Alizitaja baadhi ya changamoto hizo kuwa ni kutokuwapo kwa uratibu kati ya wazalishaji wa takwimu za ICT na watumiaji na kati ya wazalishaji na watoaji wa takwimu ambao ni chanzo muhimu cha taarifa.
Alisema tatizo hili kama halitarekebishwa, linaweza kusababisha uchapishaji usio sahihi wa takwimu kuhusu ICT, jambo ambalo linaweza kusababisha utoaji uamuzi wenye makosa.
Alisema uboreshaji na uratibu kati ya wazalishaji, wauzaji na watumiaji wa takwimu, utaepusha kujirudia kwa makosa yakiwamo ya matumizi ya rasilimali fedha na watu, rasilimali ambazo ni haba katika Afrika.
''Kipengele cha takwimu za ICT kinapaswa kuingizwa katika mikakati ya kitaifa kwa ajili ya maendeleo ya takwimu na katika mipango ya kazi ya kikanda, '' alisema.
Dk. Chuwa alisema ukusanywaji wa takwimu katika ngazi za kitaifa lazima uimarishwe kwa kuweka utaratibu kati ya taasisi husika pamoja na Ofisi za Taifa za Takwimu.
Kuhusu uwezeshaji, alisema Afrika inahitaji kuimarisha uwezo wake wa kutafuta rasilimali ndani ya Afrika ili hatimaye Afrika ijijengee uwezo wa kuboresha ukusanyaji, uchambuzi na usambazaji wa viashiria vya msingi vya ICT katika Afrika.
Alisema Tanzania ingependa kuona wataalamu walioandaa mfumo huo, wanakuja na mkakati wa utoaji mafunzo na uwezeshaji kwa nchi zinazoendelea ikiwamo Tanzania(E.L).source http://www.mjengwablog.com/

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...