Skip to main content

Msome Okwi kuhusu Mbeya City



Na Emmanuel Ndege
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi, amesema anakunwa na kiwango cha juu cha soka kinachoonyeshwa na timu ya Mbeya City katika michuano ya ligi kuu ya Tanzania Bara.

Akizungumza na Burudani makao makuu ya klabu hiyo, mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam juzi, Okwi alisema Mbeya City imeleta changamoto mpya katika ligi kuu msimu huu.

Okwi alisema timu hiyo yenye makao makuu yake mjini Mbeya, haijayumba kisoka tangu ligi kuu ilipoanza na wachezaji wake wanacheza kwa kujiamini na bila kukata tamaa.

"Iwapo wataendelea hivi msimu ujao, haitakuwa ajabu kwa Mbeya City kutwaa ubingwa,"alisema mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uganda.

Okwi amekiri kuwa, ligi ya msimu huu ni ngumu na yenye ushindani mkali na hakuna timu yenye uwezo wa kutangaza ubingwa mapema.

"Nimeichezea Simba kwa miaka zaidi ya miwili. Huko nyuma timu zilikuwa na uwezo wa kutangaza ubingwa zikiwa zimesalia mechi mbili au tatu, lakini msimu huu ni vigumu,"alisema Okwi.

"Yanga, Azam na Mbeya City kila moja ina uwezo wa kutwaa ubingwa, hali hii imesababisha kuwepo kwa ushindani mkali. Ni vigumu kutabiri bingwa mapema,"aliongeza.

Hata hivyo, Okwi alisema licha ya kuzidiwa kwa pointi na Azam, Yanga bado inayo nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa ligi hiyo, iwapo wachezaji wake wataendelea kucheza kwa kujituma.

Alisema atahakikisha anasaidiana vyema na wachezaji wenzake kuiwakilisha vizuri timu hiyo ili itwae ubingwa na kupata nafasi nyingine ya kushiriki michuano ya klabu bingwa Afrika mwakani.

Akizungumzia jinamizi lililoikumba timu hiyo hivi karibuni la kupoteza penalti katika mechi muhimu, Okwi alisema, adhabu hiyo haina ufundi na kwamba mchezaji yeyote anaweza kupoteza.

"Penalti ni sawa na mchezo wa bahati nasibu, unaweza kupata au kukosa, hazina ufundi,"alisisitiza nyota huyo wa zamani wa Simba.

Wakati huo huo, klabu ya Yanga imesema, itakata rufani kwenye Mahakama ya Rufani Tanzania kupinga hukumu ya Makahama Kuu Divisheni ya Kazi ya kuitaka timu hiyo iwalipe wachezaji Wisdom Ndlovu na Stephen Marashi sh. milioni 106.

Katibu Mkuu wa Yanga, Ben Njovu, alisema mjini Dar es Salaam jana kuwa, wamepokea nakala ya hukumu ya kesi hiyo iliyofungiwa na wachezaji hao ya kupinga kukatishiwa mikataba yao.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.