Skip to main content

Serikali ya Somalia, ASWJ walumbana juu ya ujumuishwaji wa wanamgambo kwenye SNA


Na Hamdi Salad, Mogadishu
Serikali ya Somalia inakabiliwa na upinzani kutoka Ahlu Suna wal Jamaa (ASWJ) baada ya pande hizo mbili kutokufikia makubaliano juu ya kuviunganisha vikosi vyao kwenye kampeni ya kijeshi inayoendelea sasa dhidi ya al-Shabaab mkoani Galgadud.
Wanajeshi wa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) wakiwa wamekaa kwenye lori mjini Qoryooley baada ya operesheni iliyofanikiwa kwenye Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia kuukomboa mji huo kutoka kwa wanamgambo wa al-Shabaab siku ya tarehe 22 Machi 2014. [PICHA YA AFP / AU UN IST / TOBIN JONES]
Uhusiano kati ya serikali na wanamgambo hao wanaoshirikiana na serikali yalianza kuzorota mwishoni mwa mwaka jana juu ya ahadi ambazo hazikutekelezwa, naibu mwenyekiti wa kamati tendaji ya ASWJ, Sheikh Ahmed Abdullahi Ilkaase, aliiambia Sabahi.
Wakati operesheni ya jeshi la serikali ilipokaribia kwenye maeneo yanayodhibitiwa na ASWJ, serikali ilituma ujumbe mjini Dhusamareb, mji mkuu wa mkoa wa Galgadud, mnamo tarehe 19 Machi kuwaomba ASWJ kupigana chini ya Jeshi la Taifa la Somalia sambamba na Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini humo (AMISOM).
Lakini ujumbe huo, akiwemo Waziri wa Ulinzi Mohamed Sheikh Hassan Hamud, Wazri wa Usalama wa Taifa Abdikarim Hussein Guled, Waziri wa Habari Mustafa Ali Duhulow, na Waziri wa Mambo ya Ndani na Masuala ya Shirikisho Abdullahi Godar Barre ulikumbana na upinzani kutoka upande wa ASWJ, ambao unahisi ulikosewa kwenye makubaliano ya usalama yaliyopita.
"[Mawaziri hao] walitwambia tuachane na jina na uongozi wetu na wapiganaji wetu wapigane chini ya serikali ingawa bado hawajatekeleza makubaliano ya awali yaliyofikiwa Abudwaq kati yetu na serikali," Ilkaase alisema. "Kwa hivyo, tuliyakataa."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.