Skip to main content

Serikali ya Somalia, ASWJ walumbana juu ya ujumuishwaji wa wanamgambo kwenye SNA


Na Hamdi Salad, Mogadishu
Serikali ya Somalia inakabiliwa na upinzani kutoka Ahlu Suna wal Jamaa (ASWJ) baada ya pande hizo mbili kutokufikia makubaliano juu ya kuviunganisha vikosi vyao kwenye kampeni ya kijeshi inayoendelea sasa dhidi ya al-Shabaab mkoani Galgadud.
Wanajeshi wa Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) wakiwa wamekaa kwenye lori mjini Qoryooley baada ya operesheni iliyofanikiwa kwenye Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia kuukomboa mji huo kutoka kwa wanamgambo wa al-Shabaab siku ya tarehe 22 Machi 2014. [PICHA YA AFP / AU UN IST / TOBIN JONES]
Uhusiano kati ya serikali na wanamgambo hao wanaoshirikiana na serikali yalianza kuzorota mwishoni mwa mwaka jana juu ya ahadi ambazo hazikutekelezwa, naibu mwenyekiti wa kamati tendaji ya ASWJ, Sheikh Ahmed Abdullahi Ilkaase, aliiambia Sabahi.
Wakati operesheni ya jeshi la serikali ilipokaribia kwenye maeneo yanayodhibitiwa na ASWJ, serikali ilituma ujumbe mjini Dhusamareb, mji mkuu wa mkoa wa Galgadud, mnamo tarehe 19 Machi kuwaomba ASWJ kupigana chini ya Jeshi la Taifa la Somalia sambamba na Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini humo (AMISOM).
Lakini ujumbe huo, akiwemo Waziri wa Ulinzi Mohamed Sheikh Hassan Hamud, Wazri wa Usalama wa Taifa Abdikarim Hussein Guled, Waziri wa Habari Mustafa Ali Duhulow, na Waziri wa Mambo ya Ndani na Masuala ya Shirikisho Abdullahi Godar Barre ulikumbana na upinzani kutoka upande wa ASWJ, ambao unahisi ulikosewa kwenye makubaliano ya usalama yaliyopita.
"[Mawaziri hao] walitwambia tuachane na jina na uongozi wetu na wapiganaji wetu wapigane chini ya serikali ingawa bado hawajatekeleza makubaliano ya awali yaliyofikiwa Abudwaq kati yetu na serikali," Ilkaase alisema. "Kwa hivyo, tuliyakataa."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...