Skip to main content

TAHEA wajitolea kusaidia watoto Katika huduma ya elimu ya chakula na lishe

Na Martha Magessa
Ili kusaidia jamii kuondokana na adui umasiki shirika la kitaalamu na kisayansi katika nyanja za Kilimo, Elimu, Maendeleo ya jamii na Ustawi wa jamii{Tanzania Home Economics Association(TAHEA)}limesema liko tayari kumsaidia mtu binafsi, familia na jamii ya Tanzania kwa ujumla kijamii na kiuchumi kwa kutoa elimu ya fani mbalimbali.
Hayo yamesemwa na mratibu wa shilrika hilo Bw Peter Mapunda, wakati alipokuwa akizungumzia mipingo ya TAHEA, inayotekezwa kwa sasa ambao ni Mpango wa kuhudumia watoto waishio katika Mazingira hatarishi.
Mipango mingine ni Mradi wa kuhudumia watoto waishio katika Mazingira hatarishi ngazi ya jamii katika wilaya ya Iringa kwa hisani ya watu wa Marekani kupitia shirika la Africare pamoja na mpango wa Kujengea uwezo AZAKI zinazotekeleza Mpango wa Pamoja Tuwalee wa kusaidia watoto waishio katika Mazingira hatarishi ikishirikiana na shirika la Africare kwa hisani ya watu wa Marekani mikoa ya Iringa Njombe, Dodoma na Singida
Aidha Bw Mapunda amesema Katika huduma ya elimu ya chakula na lishe watoto 6418 kati yao wakike wakiwa 3105,walifikiwa kupitia walezi wao huku watoto 405 wakiume 205,na wakike 200 walisaidiwa chakula na watoto wengine 520,waliopo chini ya miaka mitano walihakikiwa kuangalia hali ya lishe.
Hata hivyo mratibu huyo ameongeza kuwa kwa mwaka 2013 walihamasisha uundwaji wa vikundi vya kuweka na kukopa na vile vya uzalishaji mali pampja na kutoa elimu ya chakula na lishe.
(MM)

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.