Skip to main content

TAHEA wajitolea kusaidia watoto Katika huduma ya elimu ya chakula na lishe

Na Martha Magessa
Ili kusaidia jamii kuondokana na adui umasiki shirika la kitaalamu na kisayansi katika nyanja za Kilimo, Elimu, Maendeleo ya jamii na Ustawi wa jamii{Tanzania Home Economics Association(TAHEA)}limesema liko tayari kumsaidia mtu binafsi, familia na jamii ya Tanzania kwa ujumla kijamii na kiuchumi kwa kutoa elimu ya fani mbalimbali.
Hayo yamesemwa na mratibu wa shilrika hilo Bw Peter Mapunda, wakati alipokuwa akizungumzia mipingo ya TAHEA, inayotekezwa kwa sasa ambao ni Mpango wa kuhudumia watoto waishio katika Mazingira hatarishi.
Mipango mingine ni Mradi wa kuhudumia watoto waishio katika Mazingira hatarishi ngazi ya jamii katika wilaya ya Iringa kwa hisani ya watu wa Marekani kupitia shirika la Africare pamoja na mpango wa Kujengea uwezo AZAKI zinazotekeleza Mpango wa Pamoja Tuwalee wa kusaidia watoto waishio katika Mazingira hatarishi ikishirikiana na shirika la Africare kwa hisani ya watu wa Marekani mikoa ya Iringa Njombe, Dodoma na Singida
Aidha Bw Mapunda amesema Katika huduma ya elimu ya chakula na lishe watoto 6418 kati yao wakike wakiwa 3105,walifikiwa kupitia walezi wao huku watoto 405 wakiume 205,na wakike 200 walisaidiwa chakula na watoto wengine 520,waliopo chini ya miaka mitano walihakikiwa kuangalia hali ya lishe.
Hata hivyo mratibu huyo ameongeza kuwa kwa mwaka 2013 walihamasisha uundwaji wa vikundi vya kuweka na kukopa na vile vya uzalishaji mali pampja na kutoa elimu ya chakula na lishe.
(MM)

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...