Skip to main content

Mwanamke hupevuka kiakili mapema kuliko mwanaume

mtoto_bfcd4.jpg
imekuwa ni dhana ya muda mrefu miongoni mwa wanajamii katika Afrika kuwa msichana hawezi kuolewa na mwanamume waliyelingana umri kwa kuwa ni vigumu kuelewana na kuheshimiana. Dhana hiyo inajikita katika kuchambua tofauti ya ufahamu kati ya mwanamke na mwanamume wenye umri sawa. Mwanamke huwa na akili iliyokomaa zaidi kuliko mwanamume wa umri huo huo. Utafiti mpya umeipa uzito nadharia yao, baada ya kugundua kuwa ubongo wa msichana hukomaa haraka kuliko wa mvulana
Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Newcastle wamasema hii inaweza kusaidia kuelezea sababu za wasichana wadogo kuonekana kukua kwa kasi zaidi, kuliko wenzao wa kiume wenye umri sawa.
Wanasayansi walitumia kipimo maalumu kwa ajili ya kuchunguza ubongo kwa watu 121 waliokuwa na umri kuanzia miaka minne hadi 40. Matokeo ya utafiti huu yalionyesha kwamba mchakato wa kubalehe huanza kati ya miaka 10 kwa msichana, huku mvulana huchukua muda mrefu kuanzia miaka 11 mpaka 20.
Dk. Marcus Kaiser, ambaye nbi mtafiti, anasema: "Hii ni sehemu ya mchakato wa kawaida wa kujifunza ubongo kwa jumla.
"Msichana pia anawahi kupevuka ukilinganisha na mvulana, lakini akishabalehe tu ubongo wake hukomaa haraka na hapo ndipo maumbile yake yanapoanza kujitengeneza mapema kwa ajili ya mwili kujitayarisha kubeba ujauzito wakati wowote. Hata hivyo akili yake hukua kwa nafasi kubwa kipindi hiki, ukilinganisha na mwanamume ambaye ni hadi miaka 10 baadaye," anasema Edwin.
Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi katika Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Dk. Elifatio Towo anasema mtoto yeyote ana uwezo wa kukua kwa haraka zaidi, kutokana na namna mzazi anavyomlisha na haina tofauti na jinsi yake.
"Ikumbukwe kwamba mtoto yeyote anaweza kukua kwa haraka zaidi ikiwa mzazi atampa lishe bora na matunzo mazuri.
Kunyonyesha ndiyo sababu pekee inayowafanya watoto akili zao zikue kwa haraka zaidi. Lakini ikumbukwe kwamba watoto wa kike huwa na busara zaidi katika baadhi ya mambo na katika kufanya uamuzi ikilinganishwa na wa kiume," anasema na kuongeza:
"Huyu anaweza kufikiria makubwa zaidi ya umri alionao, lakini mara nyingi inatokana na maumbile kwamba yeye ni mwanamke hivyo kupevuka na anakuwa tayari kubeba ujauzito, mwili wake unajitengeneza wenyewe," anasema Dk. Towo.
Wasemavyo wazazi
Maimuna Jitegemee, mama mwenye watoto watatu, anasema "Binti yangu niliweza kumwachia nyumba akiwa na umri wa miaka 13 tu, niliweza kusafiri na kurudi. Hata hivyo hali imekuwa tofauti kwa mtoto wangu wa kiume, kwani licha ya kwamba dada yake yupo chuoni hivi sasa, siwezi kumwachia nyumba japokuwa ana umri wa miaka 15.(E.L)Source:www.mjengwablog.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...