Skip to main content

TRA YAKUSANYA TRILIONI 7.99

Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi Bw. Richard Kayombo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Waandishi  wa habari wakiwa katika mkutano wa Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi Bw. Richard Kayombo leo jijini Dar es Salaam.

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya shilingi trilioni 7.99 katika kipindi cha miezi sita ya mwaka wa fedha 20I8/20I9  kuanzia Julai hadi Desemba mwaka wa jana.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi Bw. Richard Kayombo, amesema kuwa makusanyo hayo ni sawa na ukuaji wa asilimia 2.0I ukitofautisha na ukusanyaji wa kipindi hicho kwa mwaka wa fedha wa 20I7/I8.

Bw. Kayombo amesema kuwa katika makusanyo hayo mwezi Desemba mwaka wa jana makusanyo yaliongezeka kuzidi makusanyo ya miezi yote iliyopita kwa mwaka huo, kwani TRA  ilikusanya trillioni I.63, huku mwezi novemba  trilioni I.2I, oktoba I.29.

"TRA inawashukuru walipakodi wote kwa kuendelea kulipa kodi kwa hiari na wakati " amesema Bw. Kayombo.

Katika hatua nyengine Bw. Kayombo ameeleza kuwa katika kutatua kero pamoja na malalamiko ya walipakodi TRA imeweka utaratibu kwa kila siku ya Alhamisi itakuwa ni siku kwa ajili ya mameneja wa mikoa, wilaya kusikiliza na kutatua changamoto za walipakodi.

Amesema kuwa licha ya kutenga siku ya Alhamisi kila kusikiliza kero za walipa kodi, TRA tayari imeanzisha kituo cha ushauri kwa walipakodi kwa mkoa wa Dar es Salaam kwa lengo la kuongeza ufanisi pamoja na kuwa karibu na walipakodi.

"Tutaendelea kufungua vituo katika mikoa mikoa mingine  ili kuongeza ufanisi katika utendaji" amesema Bw. Kayombo.

Amefafanua kuwa TRA inaendelea kuongeza wigo wa walipakodi kwa kuanza kampeni ya Usajili wa walipakodi wapya kwa kuwapatia namba ya utambulisho ya mlipakodi (TIN) bure katika maeneo yanayofanyika biashara.

Bw. Kayombo amesema kuwa kwa Wafanyabiashara wadogo wadogo wanatakiwa kuchangamkia fursa ya vitambulisho vya (wamachinga) ambayo vinapatikana nchi nzima katika Ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya kwa shilingi 20,000.

"Vitambulisho vya wamachinga ni maalum kwa wale ambao mauzo yao ghafi hayazidi shilingi 4,000,000 kwa mwaka" amesema Bw. Kayombo.

Hata hivyo Bw. Kayombo wito kwa walipakodi na wananchi kuendelea kulipa kodi kwa hiari kwa ajili ya maendelea ya nchi yetu.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...