Skip to main content

Dk.Jim Yonazi :TEHAMA imesaidia kutatua matatizo mengi ya kijamii na kiuchumi.

WAKATI jamii mbali mbali duniani wakiendelea kutumia mfumo wa teknolojia (TEHAMA) imeelezwa kuwa maarifa zaidi yataendelea kuongezeka kutokana na kuutumia mfumo huo.
Image result for Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)
WANAFUNZI WA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) WAKIFATILIA UZINDUZI WA ASASI YA HIFADHI YA JAMII ULIODHAMINIWA NA PSPF. NI MOJA YA TUKIO LA ZAMANI.

Yapo mafanikio na moja ya mifano ya mafanikio ya Tehama ni kubuniwa kwa mfumo wakufuatilia madereva wanaoendesha mwendo wa haraka ambapo mfumo huo umesaidia kupunguza ajali ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasialiano) Dk.Jim Yonazi amesema Tehama imesaidia kutatua matatizo mengi ya kijamii na kiuchumi.

Dk. Yonazi aliyasema hayo juzi wakati wa semina ya siku mbili juu ya umuhimu wa Tehama katika kujiletea maendeleo iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.

“Tehama ina mchango mkubwa sana katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla hivyo hatunabudi kuhimiza wananchi kutumia Tehama ili kujiletea maendeleo na kutatua changamoto mbalimbali,”amesema


Dk. Yonazi alisema Tehama ikitumiwa vizuri inaweza okoa maisha ya mama mja mzito kwakufuatilia programu mbalimbali za lishe na malezi bora kupitia simu ya kiganjani.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Profesa Tadeo Satta alisema  tehama ikitumiwa vzuri huongeza ubunifu na maarifa hivyo aliwataka wananchi kutumia Tehama kujiletea maendeleo.

“Tehama hadi sasa inaendelea kusaidia kuongeza ubunifu na maarifa ambapo wengi wamenufaika ili kufanikisha hilo IFM tumeandaa washa ya siku mbili kwa watumishi na wanafunzi wa IFM kama sehemu yakujuzana umuhimu wa Tehama,”amesema

Profesa Satta alisema semina hiyo itawajengea uwezo watumishi wa IFM ikizingatiwa kuwa muongoza mada katika washa hiyo ni mbobevu katika masuala ya Tehama ambaye ni Profesa Henk Sol wa Chuo Kikuu cha Groningen cha nchini Uholanzi.

“Tumekuwa tukibadirishana uzoefu na vyuo vya kimataifa ili kuweza kuleta maendeleo katika Taifa letu kwakuwa ukiwajengea uwezo wanataaluma umeelimisha Taifa zima hususani katika mmatumizi bora ya teknolojia katika kuboresha huduma na ufanisi,”

Naye Muongozaji wa mada mbalimbali zihusuzo Tehama katika washa hiyo Profesa Sol amesema nchi za magaharibi ikiwemo Uholanzi zimepiga hatua kubwa sana kutokana na matumizi ya Tehama.

"ugunduzi wa Tehama ulianzia katika nchi za mabara ya Ulaya na Marekani lakini lakini umekuwepo ukweli kwa watu wake ambao wamechangamkia fursa na wameweza kujiletea maendeleo kikubwa nikuwa wabunifu nakuitumia Tehama kama injini yakujiletea maendeleo."

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.