Skip to main content

Dk.Jim Yonazi :TEHAMA imesaidia kutatua matatizo mengi ya kijamii na kiuchumi.

WAKATI jamii mbali mbali duniani wakiendelea kutumia mfumo wa teknolojia (TEHAMA) imeelezwa kuwa maarifa zaidi yataendelea kuongezeka kutokana na kuutumia mfumo huo.
Image result for Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)
WANAFUNZI WA CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) WAKIFATILIA UZINDUZI WA ASASI YA HIFADHI YA JAMII ULIODHAMINIWA NA PSPF. NI MOJA YA TUKIO LA ZAMANI.

Yapo mafanikio na moja ya mifano ya mafanikio ya Tehama ni kubuniwa kwa mfumo wakufuatilia madereva wanaoendesha mwendo wa haraka ambapo mfumo huo umesaidia kupunguza ajali ikilinganishwa na kipindi cha nyuma.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasialiano) Dk.Jim Yonazi amesema Tehama imesaidia kutatua matatizo mengi ya kijamii na kiuchumi.

Dk. Yonazi aliyasema hayo juzi wakati wa semina ya siku mbili juu ya umuhimu wa Tehama katika kujiletea maendeleo iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere Dar es Salaam.

“Tehama ina mchango mkubwa sana katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla hivyo hatunabudi kuhimiza wananchi kutumia Tehama ili kujiletea maendeleo na kutatua changamoto mbalimbali,”amesema


Dk. Yonazi alisema Tehama ikitumiwa vizuri inaweza okoa maisha ya mama mja mzito kwakufuatilia programu mbalimbali za lishe na malezi bora kupitia simu ya kiganjani.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Profesa Tadeo Satta alisema  tehama ikitumiwa vzuri huongeza ubunifu na maarifa hivyo aliwataka wananchi kutumia Tehama kujiletea maendeleo.

“Tehama hadi sasa inaendelea kusaidia kuongeza ubunifu na maarifa ambapo wengi wamenufaika ili kufanikisha hilo IFM tumeandaa washa ya siku mbili kwa watumishi na wanafunzi wa IFM kama sehemu yakujuzana umuhimu wa Tehama,”amesema

Profesa Satta alisema semina hiyo itawajengea uwezo watumishi wa IFM ikizingatiwa kuwa muongoza mada katika washa hiyo ni mbobevu katika masuala ya Tehama ambaye ni Profesa Henk Sol wa Chuo Kikuu cha Groningen cha nchini Uholanzi.

“Tumekuwa tukibadirishana uzoefu na vyuo vya kimataifa ili kuweza kuleta maendeleo katika Taifa letu kwakuwa ukiwajengea uwezo wanataaluma umeelimisha Taifa zima hususani katika mmatumizi bora ya teknolojia katika kuboresha huduma na ufanisi,”

Naye Muongozaji wa mada mbalimbali zihusuzo Tehama katika washa hiyo Profesa Sol amesema nchi za magaharibi ikiwemo Uholanzi zimepiga hatua kubwa sana kutokana na matumizi ya Tehama.

"ugunduzi wa Tehama ulianzia katika nchi za mabara ya Ulaya na Marekani lakini lakini umekuwepo ukweli kwa watu wake ambao wamechangamkia fursa na wameweza kujiletea maendeleo kikubwa nikuwa wabunifu nakuitumia Tehama kama injini yakujiletea maendeleo."

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...