Skip to main content

menejimenti ya Benki ya Posta ya Kenya upo nchini kwa ziara ya siku tatu


UJUMBE wa maofisa wa benki 7 na menejimenti ya Benki ya Posta ya Kenya upo nchini kwa ziara ya siku tatu kwa ajili yakujifunza namna yakuendesha benki kibiashara.
Tokeo la picha la Benki ya Posta Tanzania (TPB)
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imekuwa kimbilio la mabenki ya serikali ya nchi za Afrika Mashariki na kusini mwa Afrika ambapo baadhi ya nchi hizo huja nchini kujifunza katika Benki hiyo.
Benki ya Posta Tanzania imejipambanua kuwa imerasimishwa kuwa benki ya Biashara miaka 3 iliyopita ikijiendesha kwa hisa za aslimia 86 kutoka serikalini wanahisa wa benki 8%, serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na asilimia 2 kutoka kwa wanahisa wa posta na simu Sacos.

Hayo yamezihirika jana ambapo licha ya ujumbe wa maofisa wa hao 7 awali benki nyingine iliyokuja kujifunza TPB ni Benki ya Posta ya Botswana iliyokuja mwaka jana.
Mwenyeji wa ujumbe huo ni Menejimenti ya Benki ya TPB ikiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Sabasaba Moshinge,ujumbe huo upo kwa dhumuni la kujifunza mambo mbalimbali yakibenki.
“Ujumbe wa Benki ya Posta ya Kenya ipo hapa kwa ajili ya kujifunza masuala ya kibenki, kwakuwa sisi tupo mbele yao kihuduma, tumekuwa benki ya Biashara na wao wanataka kuwa Benki ya Biashara lazima wajifunze kwetu na mwaka jana pia tulipokea ujumbe kama huo kutoka Botswana,”alisema
Moshinge alisema kuwa TPB inatoa huduma zote za kibenki ikiwemo mikopo wakati Benki ya Posta ya Kenya haitoi huduma ya mikopo zaidi yakuweka amana za wateja na kuzilinda.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kenya Anna Karanja, alisema Benki hiyo ina zaidi ya miaka 100 katika huduma za kibenki na sasa ipo katika mchakato wa kuwa benki ya Biashara, wamekuja Tanzania kujifunza kutoka kwa Benki Pacha ya Posta (TPB)
“Tupo hapa kujifunza kutoka kwa ndugu zetu wa TPB kwakuwa wao wametutangulia kuingia katika mfumo wakuendesha benki kibiashara hatunabudi kujifunza kutoka kwa watangulizi wetu ,”alisema
Anna alisema kuwa wamechagua TPB kwakuwa kwakipindi kifupi imejitwalia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za benki kibiashara hususani Biashara Mtandao.
Miongoni mwa mambo ambayo ujumbe huo utaangalia ni mfumo mzima wa menejimenti ulivyo, jinsi yakusimamia uendeshaji wenye tija na faida, bodi inavyoshughulika na shughuli za kila siku za kibenki na kufahamu umiliki wa hisa ukoje.
Hata hivyo Moshinge alisema Benki hiyo ina mahusiano ya karibu na Beki ya Posta ya Kenya ambapo zilianzishwa siku moja na mwaka mmoja kipindi cha iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla haijavunjika.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.