Skip to main content

menejimenti ya Benki ya Posta ya Kenya upo nchini kwa ziara ya siku tatu


UJUMBE wa maofisa wa benki 7 na menejimenti ya Benki ya Posta ya Kenya upo nchini kwa ziara ya siku tatu kwa ajili yakujifunza namna yakuendesha benki kibiashara.
Tokeo la picha la Benki ya Posta Tanzania (TPB)
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imekuwa kimbilio la mabenki ya serikali ya nchi za Afrika Mashariki na kusini mwa Afrika ambapo baadhi ya nchi hizo huja nchini kujifunza katika Benki hiyo.
Benki ya Posta Tanzania imejipambanua kuwa imerasimishwa kuwa benki ya Biashara miaka 3 iliyopita ikijiendesha kwa hisa za aslimia 86 kutoka serikalini wanahisa wa benki 8%, serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na asilimia 2 kutoka kwa wanahisa wa posta na simu Sacos.

Hayo yamezihirika jana ambapo licha ya ujumbe wa maofisa wa hao 7 awali benki nyingine iliyokuja kujifunza TPB ni Benki ya Posta ya Botswana iliyokuja mwaka jana.
Mwenyeji wa ujumbe huo ni Menejimenti ya Benki ya TPB ikiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Sabasaba Moshinge,ujumbe huo upo kwa dhumuni la kujifunza mambo mbalimbali yakibenki.
“Ujumbe wa Benki ya Posta ya Kenya ipo hapa kwa ajili ya kujifunza masuala ya kibenki, kwakuwa sisi tupo mbele yao kihuduma, tumekuwa benki ya Biashara na wao wanataka kuwa Benki ya Biashara lazima wajifunze kwetu na mwaka jana pia tulipokea ujumbe kama huo kutoka Botswana,”alisema
Moshinge alisema kuwa TPB inatoa huduma zote za kibenki ikiwemo mikopo wakati Benki ya Posta ya Kenya haitoi huduma ya mikopo zaidi yakuweka amana za wateja na kuzilinda.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kenya Anna Karanja, alisema Benki hiyo ina zaidi ya miaka 100 katika huduma za kibenki na sasa ipo katika mchakato wa kuwa benki ya Biashara, wamekuja Tanzania kujifunza kutoka kwa Benki Pacha ya Posta (TPB)
“Tupo hapa kujifunza kutoka kwa ndugu zetu wa TPB kwakuwa wao wametutangulia kuingia katika mfumo wakuendesha benki kibiashara hatunabudi kujifunza kutoka kwa watangulizi wetu ,”alisema
Anna alisema kuwa wamechagua TPB kwakuwa kwakipindi kifupi imejitwalia mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za benki kibiashara hususani Biashara Mtandao.
Miongoni mwa mambo ambayo ujumbe huo utaangalia ni mfumo mzima wa menejimenti ulivyo, jinsi yakusimamia uendeshaji wenye tija na faida, bodi inavyoshughulika na shughuli za kila siku za kibenki na kufahamu umiliki wa hisa ukoje.
Hata hivyo Moshinge alisema Benki hiyo ina mahusiano ya karibu na Beki ya Posta ya Kenya ambapo zilianzishwa siku moja na mwaka mmoja kipindi cha iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla haijavunjika.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...