Skip to main content

Dk.Mnzava:Kume kuwa na hitaji kubwa na pengo katika mtaala unaofundisha masomo ya hifadhi ya jamii

CHUO cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeliomba Baraza la Taifa la elimu ya ufundi (NACTE) kuharakisha utoaji wa ithibati ya rasimu mpya ya mtaala wakufundishia Astashahada na Shahada ya uzamili ya mafunzo ya utawala katika hifadhi ya jamii.


Makamu Mkuu wa Chuo hicho Dk. Emanuel Mnzava ametoa ombi  hilo leo wakati wa makabidhiano ya rasimu ya mtaala mpya wa masomo ya hifadhi ya jamii kutoka kwa kamati iliyoandaa rasimu hiyo.

“Kumekuwa na hitaji kubwa na pengo katika mtaala unaofundisha masomo ya hifadhi ya jamii kwa sasa, kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vipengele havisawiri mazingira ya Tanzania,”amesema.

Dk. Mnzava amesema kuharakishwa kwa mtaala huo kutasaidia kutatua baadhi ya changamoto zilizopo katika sekta ya mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kwakuwa itazalisha wataalamu wabobevu watakaoshiriki kutatua changamoto za sekta hiyo.

“Niwapongeze timu kwa kazi nzuri mliyoifanya japo mmechukuwa mda mrefu lakini mmeleta rasimu nzuri na bora iliyozingatia nguzo zote nne za taaluma ya hifadhi ya jamii na bahati nzuri mimi nimeshiriki sana katika uandaaji wa mitaala nimeipitia haraka naona inakidhi,”amesema.

Kwaupande wake Kiongozi wa kamati (timu) ambaye  ni Kamishina wa Mamlaka ya Bima Dk. Baghayo Saqware amesema kuwa kuna uhitaji wakufanyiwa marekebisho ya mtaala uliopo ili uwakisi mahitahi ya soko kidunia.

“Lengo la huu mtaala nikuongeza rasilimali watu watakaosoma masomo ya hifadhi ya jamii na mchakato wote umehusisha wadau mbalimbali na wanataaluma wabobevu kutoka vyuo saba nchini na vyuo vya nje ya nchi,"amesema.

Aidha Dk Saqware amesema mwisho wa programu hiyo itapelekwa NACTE kwa ajili yakufanyiwa tathimini itakayosaidia NACTE kutoa ithibati itakayo waruhusu IFM kudahiri wanafunzi.

Hata hivyo Dk. Saqware amesema kuna umuhimu wakufanya tafiti zakutosha ili kupata hadidu za rejea zitakazosaidia katika ufundishaji ili ziendane na mazingira ya nchi na kikanda.

Naye mmoja wawashirikki wa kamati hiyo Dk. Aley Soud wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) alisema timu yao ilikuwa makini kwenye kutizama mahitaji ya msingi ya mtaala huo nakutoa mapendekezo yao ya nini kifanyike.

“Sisi washiriki kutoka vyuo vikuu tunashukuru kushirikshwa katika mchakato huu natutaendelea kushirikiana na IFM pale mtakapotuhitaji,”amesema.

Aidha Dk. Soud amesema mtaala huo utasaidia sana nautatoa wigo mpana kwa mtu yeyote kusoma taaluma hiyo hata kwa ngazi ya cheti tofauti na sasa.

Rasimu hiyo ilianza kuandaliwa mwaka 2016 na timu ya wataalamu kutoka vyuo saba nchini ikiongozwa na Dk. Baghayo Saqware Mkurugenzi Mkuu wawakala wa Bima, Profesa Godfrey Sansa (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Aley Soud Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA)
Wengine ni Tumaini Yarumba (Chuo cha Ushirika Moshi),Dk. K.Mashaushi, Athur Ngasani, Frank Kitende wote wa IFM.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.