Skip to main content

Dk.Mnzava:Kume kuwa na hitaji kubwa na pengo katika mtaala unaofundisha masomo ya hifadhi ya jamii

CHUO cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeliomba Baraza la Taifa la elimu ya ufundi (NACTE) kuharakisha utoaji wa ithibati ya rasimu mpya ya mtaala wakufundishia Astashahada na Shahada ya uzamili ya mafunzo ya utawala katika hifadhi ya jamii.


Makamu Mkuu wa Chuo hicho Dk. Emanuel Mnzava ametoa ombi  hilo leo wakati wa makabidhiano ya rasimu ya mtaala mpya wa masomo ya hifadhi ya jamii kutoka kwa kamati iliyoandaa rasimu hiyo.

“Kumekuwa na hitaji kubwa na pengo katika mtaala unaofundisha masomo ya hifadhi ya jamii kwa sasa, kutokana na ukweli kwamba baadhi ya vipengele havisawiri mazingira ya Tanzania,”amesema.

Dk. Mnzava amesema kuharakishwa kwa mtaala huo kutasaidia kutatua baadhi ya changamoto zilizopo katika sekta ya mifuko ya hifadhi ya jamii nchini kwakuwa itazalisha wataalamu wabobevu watakaoshiriki kutatua changamoto za sekta hiyo.

“Niwapongeze timu kwa kazi nzuri mliyoifanya japo mmechukuwa mda mrefu lakini mmeleta rasimu nzuri na bora iliyozingatia nguzo zote nne za taaluma ya hifadhi ya jamii na bahati nzuri mimi nimeshiriki sana katika uandaaji wa mitaala nimeipitia haraka naona inakidhi,”amesema.

Kwaupande wake Kiongozi wa kamati (timu) ambaye  ni Kamishina wa Mamlaka ya Bima Dk. Baghayo Saqware amesema kuwa kuna uhitaji wakufanyiwa marekebisho ya mtaala uliopo ili uwakisi mahitahi ya soko kidunia.

“Lengo la huu mtaala nikuongeza rasilimali watu watakaosoma masomo ya hifadhi ya jamii na mchakato wote umehusisha wadau mbalimbali na wanataaluma wabobevu kutoka vyuo saba nchini na vyuo vya nje ya nchi,"amesema.

Aidha Dk Saqware amesema mwisho wa programu hiyo itapelekwa NACTE kwa ajili yakufanyiwa tathimini itakayosaidia NACTE kutoa ithibati itakayo waruhusu IFM kudahiri wanafunzi.

Hata hivyo Dk. Saqware amesema kuna umuhimu wakufanya tafiti zakutosha ili kupata hadidu za rejea zitakazosaidia katika ufundishaji ili ziendane na mazingira ya nchi na kikanda.

Naye mmoja wawashirikki wa kamati hiyo Dk. Aley Soud wa Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) alisema timu yao ilikuwa makini kwenye kutizama mahitaji ya msingi ya mtaala huo nakutoa mapendekezo yao ya nini kifanyike.

“Sisi washiriki kutoka vyuo vikuu tunashukuru kushirikshwa katika mchakato huu natutaendelea kushirikiana na IFM pale mtakapotuhitaji,”amesema.

Aidha Dk. Soud amesema mtaala huo utasaidia sana nautatoa wigo mpana kwa mtu yeyote kusoma taaluma hiyo hata kwa ngazi ya cheti tofauti na sasa.

Rasimu hiyo ilianza kuandaliwa mwaka 2016 na timu ya wataalamu kutoka vyuo saba nchini ikiongozwa na Dk. Baghayo Saqware Mkurugenzi Mkuu wawakala wa Bima, Profesa Godfrey Sansa (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Aley Soud Chuo Kikuu Zanzibar (SUZA)
Wengine ni Tumaini Yarumba (Chuo cha Ushirika Moshi),Dk. K.Mashaushi, Athur Ngasani, Frank Kitende wote wa IFM.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...