Skip to main content

SOKO la Ilala Boma Jijini Dar es Salaam laja na muoarobani wa wanaovamia soko hilo


SOKO la Ilala Boma Jijini Dar es Salaam linaendesha zoezi lakuwasajili wafanyabiashara wote sokoni hapo wanao miliki vizimba na meza nakuwarasimisha katika mfumo wa kanzi data, mfumo huo unatajwa kuwa muoarobani wa kuvamia soko hilo.
Mwandishi wa gazeti hili jana alishuhudia wafanyabiashara wakijisajili katika ofisi ya Ofisa Mkuu wa soko, kukamilika kwa kanzi data hiyo kutasaidia soko hilo kutoa huduma stahiki na kwa weledi wa hali ya juu na kusaidia katika tathimini ya ujenzi wa soko jipya.
Akizungumza katika soko hilo Ofisa Mkuu wa soko, Seleman Mfinanga alisema Uongozi wa soko pia umedhamiria kuboresha mazingira ya soko hilo kwa kugawa namba kwa ajili ya kuwatambua wafanyabiashara wa soko hilo.
Mfinanga alisema Uongozi wa soko hilo chini ya  Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala ipo katika mpango wakuboresha masoko yake  yote likiwemo la Ilala Bora.
Akijibu malalamiko hayo Mfinanga alikiri kuwepo kwa baadhi ya changamoto zilizoainishwa nakuzitolea ufafanuzi nanamna zitakavyotatuliwa hivi karibuni.
“Kwa uchakavu wa miundombinu ninakubaliana nalo, “nikweli mitaro ina kina kidogo , wakati wamvua huibua tafrani na mafuriko lakini wakati huu wa kiangazi mitaro hiyo huwa safi,”
Mfinanga alisema Kampuni iliyopewa zabuni yakukusanya taka na ushuru wa soko hilo inajitahidi kadri iwezavyo tofauti na kampuni iliyopita,kuhusu ushuru sheria inayoongoza soko hilo inaeleza bayana pasipo ujazo kuwa taka zitalipiwa ushuru wa sh500iwe gunia, kisafleti au tenga vyote ni sh500 tu.
Mfinanga aliongeza kuwa changamoto kubwa ya soko hilo nikukokosekana kwa ukuta kiasi kwamba wanashindwa kujua idadi kamili ya wafanyabiashara sokoni hapo kwakuwa huingia kiholela lakini ukuta utakapojengwa tatizo hilo litakwisha.

“Gari la usafi hukusanya taka kila siku saa nne asubuhi, kuna wafanyabiashara wa aina mbili kuna ambao wana meza na kuna ambao hupanga bidhaa chini, gari ya taka hifika saa 10.00 asubuhi kwa ajili ya kukusanya taka na wafanyabiashara walioweka bidhaa chini wanalipisha likiondoka wanarudi tena lazima kuwe na uchafu ukipita majira ya alasiri na jioni,”alisema
Malalamiko mengine yaliyo ainishwa na wafanyabiashara sokoni hapo kwa shariti la kutoandikwa majina yao ni pamoja na soko hilo kukosa uongozi wa mwenyekiti , katibu na mweka hazina wao kama ilivyo kwa masoko mengine.
Akijibu malalamiko hayo Mfinananga alisema rasimu imekwishaandaliwa na viongozi wa umoja wa wafanyabiashara wa vitengo mbalimbali sokoni hapo walishiriki katika rasimu hiyo ambayo hivi karibuni itakuwa moja ya sheria katika sheria ndogondogo za halmashauri.
“Tumewashirikisha viongozi wa vitengo na wenyewe wamependekeza kikomo cha uongozi wa uwenyekiti wa soko nikipindi cha miaka 3 na uwezekano wakuchaguliwa kuongoza kipindi kingine, rasimu hiyo imefuata michakato na miongozo yote ya sheria inayoongoza halmashaururi ya manispaa ya Ilala,”

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...