Skip to main content

SOKO la Ilala Boma Jijini Dar es Salaam laja na muoarobani wa wanaovamia soko hilo


SOKO la Ilala Boma Jijini Dar es Salaam linaendesha zoezi lakuwasajili wafanyabiashara wote sokoni hapo wanao miliki vizimba na meza nakuwarasimisha katika mfumo wa kanzi data, mfumo huo unatajwa kuwa muoarobani wa kuvamia soko hilo.
Mwandishi wa gazeti hili jana alishuhudia wafanyabiashara wakijisajili katika ofisi ya Ofisa Mkuu wa soko, kukamilika kwa kanzi data hiyo kutasaidia soko hilo kutoa huduma stahiki na kwa weledi wa hali ya juu na kusaidia katika tathimini ya ujenzi wa soko jipya.
Akizungumza katika soko hilo Ofisa Mkuu wa soko, Seleman Mfinanga alisema Uongozi wa soko pia umedhamiria kuboresha mazingira ya soko hilo kwa kugawa namba kwa ajili ya kuwatambua wafanyabiashara wa soko hilo.
Mfinanga alisema Uongozi wa soko hilo chini ya  Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala ipo katika mpango wakuboresha masoko yake  yote likiwemo la Ilala Bora.
Akijibu malalamiko hayo Mfinanga alikiri kuwepo kwa baadhi ya changamoto zilizoainishwa nakuzitolea ufafanuzi nanamna zitakavyotatuliwa hivi karibuni.
“Kwa uchakavu wa miundombinu ninakubaliana nalo, “nikweli mitaro ina kina kidogo , wakati wamvua huibua tafrani na mafuriko lakini wakati huu wa kiangazi mitaro hiyo huwa safi,”
Mfinanga alisema Kampuni iliyopewa zabuni yakukusanya taka na ushuru wa soko hilo inajitahidi kadri iwezavyo tofauti na kampuni iliyopita,kuhusu ushuru sheria inayoongoza soko hilo inaeleza bayana pasipo ujazo kuwa taka zitalipiwa ushuru wa sh500iwe gunia, kisafleti au tenga vyote ni sh500 tu.
Mfinanga aliongeza kuwa changamoto kubwa ya soko hilo nikukokosekana kwa ukuta kiasi kwamba wanashindwa kujua idadi kamili ya wafanyabiashara sokoni hapo kwakuwa huingia kiholela lakini ukuta utakapojengwa tatizo hilo litakwisha.

“Gari la usafi hukusanya taka kila siku saa nne asubuhi, kuna wafanyabiashara wa aina mbili kuna ambao wana meza na kuna ambao hupanga bidhaa chini, gari ya taka hifika saa 10.00 asubuhi kwa ajili ya kukusanya taka na wafanyabiashara walioweka bidhaa chini wanalipisha likiondoka wanarudi tena lazima kuwe na uchafu ukipita majira ya alasiri na jioni,”alisema
Malalamiko mengine yaliyo ainishwa na wafanyabiashara sokoni hapo kwa shariti la kutoandikwa majina yao ni pamoja na soko hilo kukosa uongozi wa mwenyekiti , katibu na mweka hazina wao kama ilivyo kwa masoko mengine.
Akijibu malalamiko hayo Mfinananga alisema rasimu imekwishaandaliwa na viongozi wa umoja wa wafanyabiashara wa vitengo mbalimbali sokoni hapo walishiriki katika rasimu hiyo ambayo hivi karibuni itakuwa moja ya sheria katika sheria ndogondogo za halmashauri.
“Tumewashirikisha viongozi wa vitengo na wenyewe wamependekeza kikomo cha uongozi wa uwenyekiti wa soko nikipindi cha miaka 3 na uwezekano wakuchaguliwa kuongoza kipindi kingine, rasimu hiyo imefuata michakato na miongozo yote ya sheria inayoongoza halmashaururi ya manispaa ya Ilala,”

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.