Skip to main content

Selikali yakabidhi magari 10 na pikipiki 35 mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma



01
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimua kizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi ndogo za wizara hiyo jijini Dar es salaam kabla ya kukabidhi Magari 10 kwa mikoa na Piki piki 35 ambazo zimekabidhiwa pia kwa Halmashauri  35, Magari  hayo pamoja na Pikipiki vimenunuliwa na serikali ili  kuhudumia katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu nchini na yamegawiwa katika mikoa ya  Pwani, Tabora, Rukwa, Songwe, Kilimanjaro, Kagera, Mtwara, Ruvuma,Lindi na mkoa Wa Ilala, kulia ni  Mkurugenzi wa Kinga Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi.
1
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimkabidhi funguo ya gari Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata , katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi ndogo ya wizara ya Afya jijini Dar es salaam leo kushoto ni Dkt. Mohamed Kodi Mratibu wa Kifua Kikuuu mkoa wa Mtwara.
2
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimpongeza Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata baada ya kumkaidhi  funguo ya gari leo kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu mkoani Kagera.
3
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akionyesha funguo  kabla ya kumkabidhi Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi ndogo za wizara ya afya leo jijini Dar es salaam.
4
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwasha moja ya magari hayo kama ishara ya uzinduzi mara baada ya  kumkabidhikwa waganga wakuu wa Mikoa.
5
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akikabidhi funguo ya Pikipiki kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululi wakati wa makabidhiano hayo.
6
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimpongeza Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu kulia ni Mganga Mkuu wa mkoa wa Songwe Dkt. Kheri Kagya
7
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na waganga wakuu wa mikoa na waratibu wa ugonjwa wa Kifua Kikuu mara baada ya kukabidhi magari na pikipiki za kampeni ya kutokomeza kifua kikuu nchini.
89
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na waganga wakuu wa mikoa na waratibu wa ugonjwa wa kifua kikuu mbele ya magari yaliyokabidhiwa leo.
 index
Baadhi ya pikipiki na magari yaliyokabidhiwa kwa waratibu wa Kifua Kikuu katika halmashari za wilaya.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...