Skip to main content

Selikali yakabidhi magari 10 na pikipiki 35 mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma



01
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimua kizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi ndogo za wizara hiyo jijini Dar es salaam kabla ya kukabidhi Magari 10 kwa mikoa na Piki piki 35 ambazo zimekabidhiwa pia kwa Halmashauri  35, Magari  hayo pamoja na Pikipiki vimenunuliwa na serikali ili  kuhudumia katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu nchini na yamegawiwa katika mikoa ya  Pwani, Tabora, Rukwa, Songwe, Kilimanjaro, Kagera, Mtwara, Ruvuma,Lindi na mkoa Wa Ilala, kulia ni  Mkurugenzi wa Kinga Wizara ya Afya Dkt. Leonard Subi.
1
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimkabidhi funguo ya gari Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata , katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi ndogo ya wizara ya Afya jijini Dar es salaam leo kushoto ni Dkt. Mohamed Kodi Mratibu wa Kifua Kikuuu mkoa wa Mtwara.
2
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimpongeza Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata baada ya kumkaidhi  funguo ya gari leo kwa ajili ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu mkoani Kagera.
3
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akionyesha funguo  kabla ya kumkabidhi Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dkt Marco Mbata katika hafla iliyofanyika kwenye ofisi ndogo za wizara ya afya leo jijini Dar es salaam.
4
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwasha moja ya magari hayo kama ishara ya uzinduzi mara baada ya  kumkabidhikwa waganga wakuu wa Mikoa.
5
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akikabidhi funguo ya Pikipiki kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululi wakati wa makabidhiano hayo.
6
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimuakimpongeza Mganga Mkuu wa mkoa wa Rukwa Dkt. Boniface Kasululu kulia ni Mganga Mkuu wa mkoa wa Songwe Dkt. Kheri Kagya
7
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na waganga wakuu wa mikoa na waratibu wa ugonjwa wa Kifua Kikuu mara baada ya kukabidhi magari na pikipiki za kampeni ya kutokomeza kifua kikuu nchini.
89
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akiwa katika picha ya pamoja na waganga wakuu wa mikoa na waratibu wa ugonjwa wa kifua kikuu mbele ya magari yaliyokabidhiwa leo.
 index
Baadhi ya pikipiki na magari yaliyokabidhiwa kwa waratibu wa Kifua Kikuu katika halmashari za wilaya.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.