Skip to main content

Mbappe, Hazard, Higuain, Coutinho, Rodriguez na wengine sokoni

Mchezaji  wa West Ham Andy Carroll, mwenye umri wa miaka 30, ameibuka na kuwashangaza wengi kwa kupigiwa upatu kuichukua nafasi ya mshambulizi wa Tottenham kutokana na kujeruhiwa kwa wachezaji wa timu hiyo.’ (Sun)
Eden Hazard hatojiunga na Real Madrid mwezi huu lakini mchezaji huyo wa miaka 28 anataka kukataa maombi mengine yoyote na ahamie katika klabu hiyo bingwa wa Uhispania mwishoni mwa msimu. (Marca, kupitia Mirror)
Chelsea inatarajiwa kukamilisha usajili kwa mkopo wa mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain, mwenye umri wa miaka 31, huku naye mlinzi Emerson Palmieri, mwenye miaka 24, huenda akavuka upande wa pili kwa thamani ya £15m. (Star)


Ganzalo Higuan anatarajiwa kuwasili London kesho Jumanne kukamilisha uhamisho wake kutoka Juventus kwenda Chelsea
Higuain anatarajiwa kuwasili London kesho Jumanne kukamilisha uhamisho wake kutoka Juventus kwenda Chelsea.(Express)
Kocha wa Milan Gennaro Gattuso, aliyetarajia kuwa na Higuain kwa mkopo msimu huu, anasema anakubali uamuzi wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina kuondoka. (Marca)
Juventus inakaribia kufikia makubaliano ya uhamisho kwa mkopo kwa mlinzi wa Manchester United Matteo Darmian, mwenye umri wa miaka 29. (Guardian)
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa timu ya taifa ya Colombia James Rodriguez, mwenye umri wa miaka 27, anatarajiwa kukataa nafasi ya uhamisho kwenda Arsenal na atasalia kwa mkopo Bayern Munich hadi ‘angalau’mwisho wa msimu. (ESPN)
Chelsea imewasilisha ombi la kuchelewa kwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Barcelona Ilaix Moriba, aliye na miaka 16, ambaye pia Manchester City inamtaka. (Sport)

Mkuu wa Monaco, Thierry Henry anamuwania winga wa Atletico Madrid Gelson Martins
Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp ameashiria kwamba huenda hatosajili wachezaji wowote mwezi huu, licha ya wachezaji wa kiungo cha ulinzi kujeruhiwa. (Liverpool Echo)
Mkuu wa Monaco, Thierry Henry huenda akakabiliana na iliyokuwa klabu yake Arsenal, kumwania winga wa Atletico Madrid Gelson Martins, mwenye umri wa miaka 23. (O Jogo, kupitia Express)
Mchezaji wa kiungo cha kati wa Leicester Adrien Silva, aliye na miaka 29, anasubiria meneja Claude Puel kuidhinisha uhamisho kwa mkopo kwa timu ya Ufaransa Bordeaux. (L’Equipe, kupitia Leicester Mercury)

Jonathan Kodjia anatakiwa na klabu aliyokuwa akiichezea Angers
Mlinzi wa Porto Eder Militao, ambaye amehusishwa na uhamisho kwenda Manchester United, hatoondoka Ureno mwezi huu na maajenti wa mchezaji huyo mwenye miaka 21 wameashiria uwezekano wa uhamisho kwenda Uhispania katika msimu wa joto. (Manchester Evening News)
Mchezaji wa kiungo cha mbele wa Aston Villa Jonathan Kodjia anatakiwa na klabu aliyokuwa akiichezea Angers, lakini hakuna ombi lililowasilishwa kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 29. (Birmingham Mail)
Aliyekuwa naibu kocha wa Jurgen Klopp, Zeljko Buvac amoendoka rasmi Liverpool baada ya kuafikiwa makubaliano ya mkataba wake. (Liverpool Echo)

Chelsea imewauliza mabingwa wa la Liga Barcelona kuhusu kumnunua mchezaji wao anayedaiwa kuwa na thamani ya £100m kutoka Brazil Philippe Coutinho, 26. (Sunday Express).
Uhamisho wa mkopo wa mshambuliaji wa Juventus Gonzalo Higuain kuelekea Chelsea utamweka raia huyo wa Argentina kuwa miongoni mwa wachezaji wanaolipwa kitita kikubwa katika klabu hiyo cha £270,000 kwa wiki.
Manchester City huenda ikamnunua kwa mkopo kiungo wa kati wa Schalke Sebastian Rudy ,28, (Sun on Sunday).
Mchezaji wa zamani wa Man United Paul Scholes anatarajiwa kuwa mkufunzi mpya wa klabu ya Oldham (telegraph).Mshambuliaji wa Stoke na Uhispania Bojan Krkic, 28, ameanza mazungumzo ya kutaka kuhamia katika ligi ya Marekani ya MLS ambapo atajiunga na klabu ya New England Revolution, ambayo hufunzwa na aliyekuwa kocha wa Blackburn Brad Friedel. (Sun on Sunday).
Mshambuliaji wa Paris St Germain na Ufaransa Kylian Mbappe, 20, anasema kuwa huenda akavutiwa na uhamisho wa kuelekea Real Madrid katika siku za usoni. (AS)
Mkufunzi wa klabu ya Tottenham Mauricio Pochettino anasema kuwa klabu hiyo huenda ikampata mchezaji atakayeziba pengo lililowachwa na mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane katika taasisi yake ya mafunzo ya soka kupitia dirisha la uhamisho. (London Evening Standard)
Mkufunzi wa Arsenal Unai Emery anatumaini ya kufanya usajili wiki hii huku kukiwa na ripoti zinazomuhusisha kiungo wa kati wa Barcelona Denis Suare 25. (Daily Star Sunday)
Chanzo BBC.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...