Skip to main content

TIC:kimezitaka taasisi za serikali na sekta binafsi kushirikiana kikamilifu


Pichani ni Mkurugenzi wa kituo cha uwekezajiji  (TIC) Geofrey Mwambe, akizungumza na waandishi wahabari pamoja na maafisa wa kituo hicho leo jijini Dar es slaam.

WATANZANIA wametakiwa waepukana na dhana ya kuwa wawekezaji
ni kutoka nje ya nchi pekee bali nao wanapaswa kuwekeza kwa kutumia
fursa zilizopo kwani mazingira ya uwekezaji ni mazuri.


Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimezitaka taasisi za Serikali na
sekta binafsi kushirikiana kikamilifu katika kukuza sekta ya uwekezaji
hapa nchini ili kusaidia kuondoa wimbi la ukosefu wa ajira kwa vijana.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam Wakati akitoa taarifa 
ya kituo hicho kutoka kuwa chini ya Usimamizi wa Wizara ya viwanda na kuwa Wizara
 ndani ya Ofisi ya Waziri Mkuu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Geofrey Mwambe amesema kuwa 
kwa sasa kazi yao kuu itakuwa ni kuratibu maswala mbalimbali ya kuboresha uwekezaji
 ndani na nje ya nchi.


“Umma wa watanzania unatakiwa kutambua kuwa Mheshimiwa Rais Magufuli anafanya kila 
jitihada kuhakikisha kuwa uwekezaji Tanzania unakua hivyo taasisi za serikali tunapaswa
 kumuunga mkono kwani kwa sasa ameshafanya vya kutosha imebakia sehemu yetu,"alisema Mwambe.

Bw. Mwambe alisema kuwa uwepo wa Wizara hiyo mpya ambayo tayari inawaziri
wake itasaidia upatikanaji wa masoko na uongezwaji thamani wa bidhaa ambapo
wawekezaji wa ndani na nje ya nchi wataendelea kuiamini Tanzania na uwekezaji
 wake kukua zaidi.

Aidha amesema kuwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza asisite kuzifuata Mamlaka
 mbalimbali ikiwemo za mkoa na Wilaya kwani zipo kisheria kwa lengo la 
kuwahudumia na kutatua kero zote wanazokumbana nazo katika shughili za uwekezaji.

TIC kilipoaanzishwa kinajipambanua kuwa,kilianzishwa kwa lengo la kuhamasisha,
kuwavutia na kuwezesha uwekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kukuza sekta 
binafsi na kuinua uchumi wa taifa lakini pia kuishauri serikali juu ya masuala 
ya uwekezaji nchini ambapo pia imeelezwa kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi 
kubwa na kwa sasa inashika nafasi ya tano kati ya mataifa 10 duniani yenye 
uchumi unaokuwa kwa kasi



Mkurugenzi Mwambe amesema ni vyema wawekezaji wa hapa nchini wakajenga uhusiano 
mzuri na wawekezaji kutoka nje ya nchi kwani ni jambo ambalo litasaidia kuendelea 
kukuza maendeleo ya uchumi wa viwanda


Hata hivyo ametoa wito kwa watanzania kuwa wazalendo na nchi yao kwa kuijengea 
sifa wawapo nje ya nchi ili kukuza Mahusiano mazuri ambayo yatawavutia wawekezaji
na kukuza uchumi wa Taifa.

Kituo cha uwekezaji Tanzania TIC kimewataka watanzania  kutumia fursa ya kujinufaisha 
na ujio wa wawekezaji kutoka nje ya nchi ili kwa pamoja waweze kujenga na kuimarusha 
uchumi wa nchi.

Ata hivyo imetaja  kuwa serikali haiwezi kufanikisha dira ya Uchumi wa Kati
wa Viwanda , kama Sekta binfsi haiko imara,hivyo kuimarisha  sekta binafsi  
ya Tanzania itasaidia zaidi kuchochea ukuaji wa uchumi.

Mkurugenzi huyo Mtendaji wa kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) alisema
wamekuwa na malengo mazuri ya kutangaza fursa ya uwekezaji,ili 
kushawishi na kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini pamoja na kushiriki 
kongamano ya  biashara na uwekezaji.


TIC imeongeza kuwa serikali inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa 
wawekezaji wa ndani na nje,pamoja na kutoa elimu kwa wajasiliamali 
wa  hapa nchini,ili watambue fursa zilizopo, ambapo hatua hiyo itasaidia 

kupata watanzania wengi mabilionea kwa siku zijazo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...