Skip to main content

TIC:kimezitaka taasisi za serikali na sekta binafsi kushirikiana kikamilifu


Pichani ni Mkurugenzi wa kituo cha uwekezajiji  (TIC) Geofrey Mwambe, akizungumza na waandishi wahabari pamoja na maafisa wa kituo hicho leo jijini Dar es slaam.

WATANZANIA wametakiwa waepukana na dhana ya kuwa wawekezaji
ni kutoka nje ya nchi pekee bali nao wanapaswa kuwekeza kwa kutumia
fursa zilizopo kwani mazingira ya uwekezaji ni mazuri.


Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimezitaka taasisi za Serikali na
sekta binafsi kushirikiana kikamilifu katika kukuza sekta ya uwekezaji
hapa nchini ili kusaidia kuondoa wimbi la ukosefu wa ajira kwa vijana.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jijini Dar es Salaam Wakati akitoa taarifa 
ya kituo hicho kutoka kuwa chini ya Usimamizi wa Wizara ya viwanda na kuwa Wizara
 ndani ya Ofisi ya Waziri Mkuu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Geofrey Mwambe amesema kuwa 
kwa sasa kazi yao kuu itakuwa ni kuratibu maswala mbalimbali ya kuboresha uwekezaji
 ndani na nje ya nchi.


“Umma wa watanzania unatakiwa kutambua kuwa Mheshimiwa Rais Magufuli anafanya kila 
jitihada kuhakikisha kuwa uwekezaji Tanzania unakua hivyo taasisi za serikali tunapaswa
 kumuunga mkono kwani kwa sasa ameshafanya vya kutosha imebakia sehemu yetu,"alisema Mwambe.

Bw. Mwambe alisema kuwa uwepo wa Wizara hiyo mpya ambayo tayari inawaziri
wake itasaidia upatikanaji wa masoko na uongezwaji thamani wa bidhaa ambapo
wawekezaji wa ndani na nje ya nchi wataendelea kuiamini Tanzania na uwekezaji
 wake kukua zaidi.

Aidha amesema kuwa mtu yeyote anayetaka kuwekeza asisite kuzifuata Mamlaka
 mbalimbali ikiwemo za mkoa na Wilaya kwani zipo kisheria kwa lengo la 
kuwahudumia na kutatua kero zote wanazokumbana nazo katika shughili za uwekezaji.

TIC kilipoaanzishwa kinajipambanua kuwa,kilianzishwa kwa lengo la kuhamasisha,
kuwavutia na kuwezesha uwekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kukuza sekta 
binafsi na kuinua uchumi wa taifa lakini pia kuishauri serikali juu ya masuala 
ya uwekezaji nchini ambapo pia imeelezwa kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi 
kubwa na kwa sasa inashika nafasi ya tano kati ya mataifa 10 duniani yenye 
uchumi unaokuwa kwa kasi



Mkurugenzi Mwambe amesema ni vyema wawekezaji wa hapa nchini wakajenga uhusiano 
mzuri na wawekezaji kutoka nje ya nchi kwani ni jambo ambalo litasaidia kuendelea 
kukuza maendeleo ya uchumi wa viwanda


Hata hivyo ametoa wito kwa watanzania kuwa wazalendo na nchi yao kwa kuijengea 
sifa wawapo nje ya nchi ili kukuza Mahusiano mazuri ambayo yatawavutia wawekezaji
na kukuza uchumi wa Taifa.

Kituo cha uwekezaji Tanzania TIC kimewataka watanzania  kutumia fursa ya kujinufaisha 
na ujio wa wawekezaji kutoka nje ya nchi ili kwa pamoja waweze kujenga na kuimarusha 
uchumi wa nchi.

Ata hivyo imetaja  kuwa serikali haiwezi kufanikisha dira ya Uchumi wa Kati
wa Viwanda , kama Sekta binfsi haiko imara,hivyo kuimarisha  sekta binafsi  
ya Tanzania itasaidia zaidi kuchochea ukuaji wa uchumi.

Mkurugenzi huyo Mtendaji wa kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) alisema
wamekuwa na malengo mazuri ya kutangaza fursa ya uwekezaji,ili 
kushawishi na kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza nchini pamoja na kushiriki 
kongamano ya  biashara na uwekezaji.


TIC imeongeza kuwa serikali inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa 
wawekezaji wa ndani na nje,pamoja na kutoa elimu kwa wajasiliamali 
wa  hapa nchini,ili watambue fursa zilizopo, ambapo hatua hiyo itasaidia 

kupata watanzania wengi mabilionea kwa siku zijazo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.