Skip to main content

TAG imetoa mifuko 500 ya saruji ili kusaidia ujenzi wa madarasa katika shule za secondari

Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) limetoa mifuko 500 ya saruji ili kusaidia ujenzi wa madarasa katika shule za secondari  zenye uhaba wa madarasa licha ya kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza mkoani Arusha.

Askofu Mkuu wa Kanisa hilo Dr. Barnabas Mtokambali  amekabidhi mifuko hiyo kwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ikiwa ni kuunga mkono jitihada za serikali katika kuziba pengo la upungufu wa madarasa,ambapo amesema kuwa kanisa hilo limeaona lishiriki katika maendeleo ya jamii kwa kusaidia ujenzi wa madarasa.

Alisema kuwa kanisa linatambua juhudi zinazofanywa na serikali katika kutoa elimu kwa Watanzania hivyo wameamua kuungana na serikali kwa kutoa mifuko hiyo kama chachu ya maendeleo ya elimu katika mkoa wa Arusha.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa kanisa la TAG limekua la kwanza katika kutoa msaada kwa serikali na kuwezesha ujenzi wa madarasa kwani ufaulu umeongezeka kwa kiasi kikubwa huku madarasa yakiwa machache.

Gambo alisema kuwa serikali inatambua mchango wa taasisi za dini katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla hivyo wataendelea kushirikiana katika kuwahudumia Watanzania.

“Taasisi za dini ni wadau wakubwa wa maendeleo ambao licha ya miradi ya kuhudumia wananchi bado wanaliombea taifa amani ambayo ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya taifa” Alisema Gambo

Muumini wa Kanisahilo Danford Massawe alisema kuwa makanisa yanapaswa kuiga mfano wa kanisa la TAG katika kushirikiana na serikali katika masuala ya maendeleo ili kuharakisha maendeleo.
0
Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Dr.Barnabas Mtokambali akikabidhi mifuko 500 ya saruji kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo katika halfa fupi iliyofanyika jana jijini  Arusha.Picha na Mahmoud Ahmed Arusha

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...