Skip to main content

Wazazi wametakiwa kuacha kuegemea kuchangia sherehe za harusi badala yake wajikite kutoa msaada wa kiuchumi kwa watoto

Jamii imeshauriwa kuacha utamaduni wa kuyakimbia majukumu ya malezi ya kiuchumi badala yake 
ijikite katika kutoa eliumu ya ujasiriamali kwa watoto itakayosaidia kuwakomboa kiuchumi 
pamoja na kuliingizia taifa kipato.

Wazazi wametakiwa kuacha kuegemea kuchangia sherehe za harusi badala yake wajikite 
kutoa msaada wa kiuchumi kwa watoto wao wanaoshiriki harusi hizo kuwakwamua kiuchumi.

Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Joseph
 Kakunda katika Maonesho ya Ujasiriamali kwa vijana yaliyoandaliwa na Taasisi ya Nama 
inayojishughulisha na masuala ya utoaji elimu ya ujasiriamali kwa vijana na kuwawezesha 
kupitia mikopo nafuu.

Amesema kuwa kuna utamaduni umejenga katika jamii ambapo wazazi hutumia fedha nyingi 
kwenye sherehe za harusi za watoto na kwamba baada ya harusi wanandoa huishi magumu 
kutokana kutowezeshwa kiuchumi.

" Jamii isikimbie malezi ya kiuchumi kwa watoto tuwape elimu ya ujasiriamali tusiishie 
katika kuchangia harusi baada ya harusi tukawaacha watoto kwenye hali ngumu," amesema 
waziri Kakunda.

Amebainisha kuwa vijana wamekuwa wakishindwa fursa za mikopo sababu ya kutopewa elimu
 sahihi ya njia za kupitia na kusisitiza wakati wengine hukwamishwa na watu wasiohusika 
nadni ya taasisi  husika.

Amesisitiza kuwa tayari ameshaiagiza Sido kutangaza fursa walizonazo ili vijana na watu
 wenye nia ya kupata mikopo wachangamkie fursa hiyo na kwa kila wilaya imetengwa sh 
bilioni 8 za mikopo kwa wahitaji

Kwa upande wake, Makamu Mkuu wa taasisi hiyo,Musa Msingwa amesema hadi sasa wameshawafikia 
vijana 130 ambao wamepewa elimu ya kutambua na kuchangamkia fursa zilizopo.

Amefafanua kuwa wana mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanawafikia vijana wengine katika
 mikoa mingine ukiwemo mkoa wa Mtwara.

Naye mshiriki wa maonesho hayo ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Matatu
 Enterprises, Hussein Abeid ameiomba Serikali kuendelea kutoa mitaji kwa wajasiriamali 
waweze kutafuta masoko ya uhakika na kujitangaza.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.