Skip to main content

Wazazi wametakiwa kuacha kuegemea kuchangia sherehe za harusi badala yake wajikite kutoa msaada wa kiuchumi kwa watoto

Jamii imeshauriwa kuacha utamaduni wa kuyakimbia majukumu ya malezi ya kiuchumi badala yake 
ijikite katika kutoa eliumu ya ujasiriamali kwa watoto itakayosaidia kuwakomboa kiuchumi 
pamoja na kuliingizia taifa kipato.

Wazazi wametakiwa kuacha kuegemea kuchangia sherehe za harusi badala yake wajikite 
kutoa msaada wa kiuchumi kwa watoto wao wanaoshiriki harusi hizo kuwakwamua kiuchumi.

Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Joseph
 Kakunda katika Maonesho ya Ujasiriamali kwa vijana yaliyoandaliwa na Taasisi ya Nama 
inayojishughulisha na masuala ya utoaji elimu ya ujasiriamali kwa vijana na kuwawezesha 
kupitia mikopo nafuu.

Amesema kuwa kuna utamaduni umejenga katika jamii ambapo wazazi hutumia fedha nyingi 
kwenye sherehe za harusi za watoto na kwamba baada ya harusi wanandoa huishi magumu 
kutokana kutowezeshwa kiuchumi.

" Jamii isikimbie malezi ya kiuchumi kwa watoto tuwape elimu ya ujasiriamali tusiishie 
katika kuchangia harusi baada ya harusi tukawaacha watoto kwenye hali ngumu," amesema 
waziri Kakunda.

Amebainisha kuwa vijana wamekuwa wakishindwa fursa za mikopo sababu ya kutopewa elimu
 sahihi ya njia za kupitia na kusisitiza wakati wengine hukwamishwa na watu wasiohusika 
nadni ya taasisi  husika.

Amesisitiza kuwa tayari ameshaiagiza Sido kutangaza fursa walizonazo ili vijana na watu
 wenye nia ya kupata mikopo wachangamkie fursa hiyo na kwa kila wilaya imetengwa sh 
bilioni 8 za mikopo kwa wahitaji

Kwa upande wake, Makamu Mkuu wa taasisi hiyo,Musa Msingwa amesema hadi sasa wameshawafikia 
vijana 130 ambao wamepewa elimu ya kutambua na kuchangamkia fursa zilizopo.

Amefafanua kuwa wana mikakati madhubuti ya kuhakikisha wanawafikia vijana wengine katika
 mikoa mingine ukiwemo mkoa wa Mtwara.

Naye mshiriki wa maonesho hayo ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Matatu
 Enterprises, Hussein Abeid ameiomba Serikali kuendelea kutoa mitaji kwa wajasiriamali 
waweze kutafuta masoko ya uhakika na kujitangaza.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...