Skip to main content

Halotel yaingia makubaliano rasminna kampuni ya michezo ya kubahatisha na kubashiri ya Biko

KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania,imeingia katika makubaliano rasminna kampuni ya michezo ya kubahatisha na kubashiri ya Biko Tanzania ilikuongeza msisimko na ushirikiano kwa wadau wa michezo hiyo nchini katika msimu huu wa siku kuu.

Tokeo la picha la halotel logo

Ushirikiano huo utawezesha wateja wanaotumia mtandao wa Halotel 
kupitia huduma ya kifedha ya Halo Pesa kupata fursa ya kuvuna 
mamilioni kutoka Biko Tanzania kwa kubahatisha na pia kubashiri 
matokeo ya michezo mbali mbali na Bikosports.

Akizungumza na waandhishi wa habari makao Makuu ya Ofisi za Halotel
Dar es Salaamleo , Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Halotel,Mhina
Semwenda amsema, ushirikiano huo baina ya kampuni yao na Biko unaweze
sha wateja wao kuweza kushiriki na kupata fursa ya kujishindia fedha
zitakazowezesha kujiongezea kipato na hivyo kuboresha maisha yao.

"Mtandao wetu na huduma ya Halopesa imeenea nchini nzima katika maeneo ya mjini na vijijini,jambo ambalosasa litatoa fursa mpya ya ushiriki
michezo kwa watejas wetun walioko nchi nzima,ambao kwa namna moja ama
nyingine walikuwa hawapati fursa hii ya kushiriki,tunaamini sasa wateja
wetu walioko nchi nzima w3ataweza kushiriki katika michezo ya kubashiri na kubahatisha kupitia Biko Tanzania,"Amesema Semwenda.

Semwenda amesema hiyo ni fursa kwa wateja wate wa Halotel mijini na 
vijijini kuweza kushiriki katika michezo ya kubahatisha na kubashiri kama vile mpira wa miguu,mpira wa kikapu,Rugby,Cricket,Tennis na
mingiuneyo ambapo hapo kabla hawakuweza kupata fursa kushiriki katika
michezo hiyo kwa kupitia mtandao wa Halotel(HaloPesa) kwa kutumia namba
USSD za Halopesa ambazo ni (*150*88#)wenye mawakala zaidi ya elfu 55,000.

Kampuni ya Halotel imesema kuwa wateja wao wanatakiwa kufanya miamala
kwenye simu za mkononi ambapo namba ya kampuni ni 505050 na kumbukumbu ni 2456 au sawa na neno biko kwa kupiga namba *150*88#,kuchagua lipa
bili na Halopesa,kisha chagua 4:Michezo ya kubahatisha ambapo namba
5 ni Biko(505050)kisha namba ya kumbukumbu ambayo ni 2456,kisha ataweka
kiasi pamoja na namba ya siri kukamilisha muamala.

Kwa upande wake Meneja Masoko wa Biko Goodhope Heaven amesema hiyo ni
nafasi ya muhimu kwao na kwa wateja wa kampuni ya simu ya Mkononi ya 
Halotel Tanzania kwa kupitia huduma yao HaloPesa.

"Kama mnavyojua ,Biko ni kampuni kubwa na madhubuti inayojihusisha na
michezo ya kubahatisha kwa kufanya miamala kwenye simu za mkononi ambapo namba yetu ya kampuni ni 505050 na kumbukumbu ni 2456 au sawa na neno biko mbali na hilo,pia tunaendesha mchezo wa kubashiri matokeo ya
michezo mbali mbali duniani ujulikanao kama bikosports,"alieoneza kusema.
Kampuni ya Biko ilinza mapema mwaka jana na imekuwa ikihusisha watu wenye umri kunzia miaka 18 na kuendelea.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...