Skip to main content

Halotel yaingia makubaliano rasminna kampuni ya michezo ya kubahatisha na kubashiri ya Biko

KAMPUNI ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania,imeingia katika makubaliano rasminna kampuni ya michezo ya kubahatisha na kubashiri ya Biko Tanzania ilikuongeza msisimko na ushirikiano kwa wadau wa michezo hiyo nchini katika msimu huu wa siku kuu.

Tokeo la picha la halotel logo

Ushirikiano huo utawezesha wateja wanaotumia mtandao wa Halotel 
kupitia huduma ya kifedha ya Halo Pesa kupata fursa ya kuvuna 
mamilioni kutoka Biko Tanzania kwa kubahatisha na pia kubashiri 
matokeo ya michezo mbali mbali na Bikosports.

Akizungumza na waandhishi wa habari makao Makuu ya Ofisi za Halotel
Dar es Salaamleo , Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Halotel,Mhina
Semwenda amsema, ushirikiano huo baina ya kampuni yao na Biko unaweze
sha wateja wao kuweza kushiriki na kupata fursa ya kujishindia fedha
zitakazowezesha kujiongezea kipato na hivyo kuboresha maisha yao.

"Mtandao wetu na huduma ya Halopesa imeenea nchini nzima katika maeneo ya mjini na vijijini,jambo ambalosasa litatoa fursa mpya ya ushiriki
michezo kwa watejas wetun walioko nchi nzima,ambao kwa namna moja ama
nyingine walikuwa hawapati fursa hii ya kushiriki,tunaamini sasa wateja
wetu walioko nchi nzima w3ataweza kushiriki katika michezo ya kubashiri na kubahatisha kupitia Biko Tanzania,"Amesema Semwenda.

Semwenda amesema hiyo ni fursa kwa wateja wate wa Halotel mijini na 
vijijini kuweza kushiriki katika michezo ya kubahatisha na kubashiri kama vile mpira wa miguu,mpira wa kikapu,Rugby,Cricket,Tennis na
mingiuneyo ambapo hapo kabla hawakuweza kupata fursa kushiriki katika
michezo hiyo kwa kupitia mtandao wa Halotel(HaloPesa) kwa kutumia namba
USSD za Halopesa ambazo ni (*150*88#)wenye mawakala zaidi ya elfu 55,000.

Kampuni ya Halotel imesema kuwa wateja wao wanatakiwa kufanya miamala
kwenye simu za mkononi ambapo namba ya kampuni ni 505050 na kumbukumbu ni 2456 au sawa na neno biko kwa kupiga namba *150*88#,kuchagua lipa
bili na Halopesa,kisha chagua 4:Michezo ya kubahatisha ambapo namba
5 ni Biko(505050)kisha namba ya kumbukumbu ambayo ni 2456,kisha ataweka
kiasi pamoja na namba ya siri kukamilisha muamala.

Kwa upande wake Meneja Masoko wa Biko Goodhope Heaven amesema hiyo ni
nafasi ya muhimu kwao na kwa wateja wa kampuni ya simu ya Mkononi ya 
Halotel Tanzania kwa kupitia huduma yao HaloPesa.

"Kama mnavyojua ,Biko ni kampuni kubwa na madhubuti inayojihusisha na
michezo ya kubahatisha kwa kufanya miamala kwenye simu za mkononi ambapo namba yetu ya kampuni ni 505050 na kumbukumbu ni 2456 au sawa na neno biko mbali na hilo,pia tunaendesha mchezo wa kubashiri matokeo ya
michezo mbali mbali duniani ujulikanao kama bikosports,"alieoneza kusema.
Kampuni ya Biko ilinza mapema mwaka jana na imekuwa ikihusisha watu wenye umri kunzia miaka 18 na kuendelea.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.