Skip to main content

Serikali:Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka (Hoima) Uganda hadi Mkoani Tanga haujasimama

Serikali imesema utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka (Hoima) Uganda hadi Mkoani Tanga haujasimama na kwamba hatua za utekelezaji wa mradi huo zinaendelea .

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani baada ya kumalizika Mkutano wa majadiliano ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa bomba hilo uliomkutanisha na Waziri wa Nishati na Madini wa Uganda, Irene Muloni.

Amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo uko katika hatua nzuri na kwamba pande zote mbili wamejadiliana na kukubaliana kuhakikisha unakamilika kwa wakati uliopangwa pamoja na hatua za utkelezaji za mradi.
“ Mradi haujasimama tunaendelea na utekelezaji tumekubaliana tukamilishe ndani ya waakati tuliokubaliana pande zote mbili,” amesema Dkt. Kalemani.
Amebainisha kuwa katika upande wa Tanzania tayari wamekamilisha tafiti ya tathmini ya mazingira, ustawi wa jamii pamoja ulipaji fidia mkoani Tanga.
Dkt. Kalemani amesema malengo ya majadiliano ya mkuano huo ni hatua za utekelezaji wake ikiwemo usafirishaji wa mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga na kuyauza nje za nje.
Ameongeza kuwa mradi huo utakuwa manufaa kwa jamii na makampuni ya ndani na kusisitiza bomba lina urefu kilometa 1435 huku kilometa 1115 zikiwa sehemu ya Tanzania.
Kwa upande Waziri Muloni amesema watahakikisha watafikia makubaliano na makampuni ili yaweze kusaini utekekezaji wa mradi ukamilike mwaka 2020 ilivyopangwa.
Amefafanua kuwa ifikapo Januari 14 mwakani mkutano mwingine utafanyika nchini Uganda lengo likiwa kujadiliana mambo yaliyobaki makampuni yaanze utekelezaji. 



Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...