Skip to main content

Simba SC kuwavaa Mbabane Swallows kesho jioni



KIKOSI cha Simba SC leo kinatarajiwa kufanya mazoezi yake ya mwisho Uwanja wa Mavuso mjini Manzini, Eswatini, zamani Swaziland kuelekea mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Mbabane Swallows kesho jioni.



Mchezo huo unatarajiwa kuanza Saa 9:30 kwa saa za huko na saa moja zaidi kwa saa za Afrika Mashariki na utachezeshwa na refa Nelson Emile Fred atakayesaidiwa na washika vibendera Hensley Danny Petrousse na Gerard Pool, wote wa Shelisheli.



Simba SC itakuwa na kazi nyepesi kesho ikihitaji hata sare kusogea mbele kwenye michuano hiyo baada ya ushindi wa mabao 4-1 kwenye mchezo wa kwanza Jumatano iliyopita Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.


Wachezaji wa Simba SC wakifanya mazoezi jana jioni mjini Manzini kujiandaa na mchezo wa kesho


Kocha wa Simba SC, Patrick Aussems akiwapa maelekezo wachezaji wake jana mjini Manzini 
















Ushindi huo uliotokana na mabao ya Nahodha John Bocco mawili na wageni, Mnyarwanda Meddie Kagere na Mzambia Clatous Chama unawapa mzigo wa kushinda 3-0 kesho Mbabane ndiyo wasonge mbele.

Jana kikosi cha Simba SC kilifanya mazoezi mepesi mjini humo baada ya kuwasili ili kuwaondolea uchovu wachezaji wake baada ya safari.
Tayari kocha Mbelgiji, Patrick J. Aussems amesema anatarajiwa mechi ya marudiano itakuwa ngumu Mbabane Swallows wakicheza kwao, lakini wamejipanga vizuri kuhakikisha wanapata matokeo mazuri na kusonga mbele.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.