Skip to main content

TFDA imefanikiwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea

MAMLAKA ya chakula na dawa (TFDA), imefanikiwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea katika udhibiti wa ubora, usalama na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendendanishi ili kulinda afya ya jamii.

TFDA imeweka mifumo na taratibu za ndani za utoaji huduma bora kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya ISO 9001:2015 kwa huduma za kawaida na ISO 17025:2005 kwa huduma za maabara.

Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Adam Mitangu wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi za udhibiti wa ubora,usalama na ufanisi wa bidhaa chini ya serikali ya awamu ya tano.

Alisema kuwa,mfumo wa usajili wa bidhaa umeendelea kuimarika mwaka hadi mwaka ambapo idadi ya bidhaa za chakula,dawa, vipodozi,vifaa tiba na vitendanishi imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka,katika kipindi cha 2015/2016 hadi17/18.

''TFDA imesajili jumla ya bidhaa 14,345 kutoka bidhaa 8,866 zilizokuwa zimesajiliwa mwaka 2015/16 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 62, ambapo imetokana na kuongezeka kwa uelewa wa matakwa ya sheria miongoni mwa wafanyabiashara na kukua kwa biashara,''alisema Fimbo.

Alisema TFDA imeweka mifumo ya utoaji wa huduma kwa kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ambapo taarifa na takwimu TFDA zikiwemo za bidhaa na majengo yaliyosajiliwa na zile za wateja zimewekwa katika mfumo maalumu uitwao IMIS.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa,  mfumo wa IMIS kwa kiasi kikubwa umerahisisha utoaji huduma kwa wateja na kwa sasa wateja wanaweza kuleta maombi yao kwa mtandao bila kufika ofisi zao.

TFDA imeeleza kuwa mifumo mingine ambayo imewekwa na mamlaka hiyo ni pamoja na usimamizi wa rasilimali watu (HR-MIS), uhasibu (EPICOR) pamoja na mahudhurio kazini na mfumo  wa usimamizi wa taarifa za uchunguzi wa maabara(LIMS).

''Ukuaji wa viwanda vya ndani na uwezeshaji wa wasindikaji wa chakula katika jitihada za kujenga Tanzania ya viwanda ifikapo 2025, TFDA imekua mstari wa mbele katika kutoa msaada wa kiufundi na kuwajengea uwezo wenye viwanda vya dawa nchini na kushawishi wawekezaji kujenga viwanda vya dawa,''alisema Fimbo.

Vile vile kuhusiana na sampuli katika maabala ya TFDA imekuwa na jukumu la kufanya uchunguzi wa sampuli za chakula kwa lengo la kujiridhisha na ubora na usalama wake kabla ya kufanya maamuzi ya kiudhibiti ndani ya mamlaka hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...