Skip to main content

TFDA imefanikiwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea

MAMLAKA ya chakula na dawa (TFDA), imefanikiwa kufikia na kuvuka malengo iliyojiwekea katika udhibiti wa ubora, usalama na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi, vifaa tiba na vitendendanishi ili kulinda afya ya jamii.

TFDA imeweka mifumo na taratibu za ndani za utoaji huduma bora kwa kuzingatia viwango vya kimataifa vya ISO 9001:2015 kwa huduma za kawaida na ISO 17025:2005 kwa huduma za maabara.

Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TFDA Adam Mitangu wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi za udhibiti wa ubora,usalama na ufanisi wa bidhaa chini ya serikali ya awamu ya tano.

Alisema kuwa,mfumo wa usajili wa bidhaa umeendelea kuimarika mwaka hadi mwaka ambapo idadi ya bidhaa za chakula,dawa, vipodozi,vifaa tiba na vitendanishi imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka,katika kipindi cha 2015/2016 hadi17/18.

''TFDA imesajili jumla ya bidhaa 14,345 kutoka bidhaa 8,866 zilizokuwa zimesajiliwa mwaka 2015/16 ambapo ni sawa na ongezeko la asilimia 62, ambapo imetokana na kuongezeka kwa uelewa wa matakwa ya sheria miongoni mwa wafanyabiashara na kukua kwa biashara,''alisema Fimbo.

Alisema TFDA imeweka mifumo ya utoaji wa huduma kwa kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ambapo taarifa na takwimu TFDA zikiwemo za bidhaa na majengo yaliyosajiliwa na zile za wateja zimewekwa katika mfumo maalumu uitwao IMIS.

Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa,  mfumo wa IMIS kwa kiasi kikubwa umerahisisha utoaji huduma kwa wateja na kwa sasa wateja wanaweza kuleta maombi yao kwa mtandao bila kufika ofisi zao.

TFDA imeeleza kuwa mifumo mingine ambayo imewekwa na mamlaka hiyo ni pamoja na usimamizi wa rasilimali watu (HR-MIS), uhasibu (EPICOR) pamoja na mahudhurio kazini na mfumo  wa usimamizi wa taarifa za uchunguzi wa maabara(LIMS).

''Ukuaji wa viwanda vya ndani na uwezeshaji wa wasindikaji wa chakula katika jitihada za kujenga Tanzania ya viwanda ifikapo 2025, TFDA imekua mstari wa mbele katika kutoa msaada wa kiufundi na kuwajengea uwezo wenye viwanda vya dawa nchini na kushawishi wawekezaji kujenga viwanda vya dawa,''alisema Fimbo.

Vile vile kuhusiana na sampuli katika maabala ya TFDA imekuwa na jukumu la kufanya uchunguzi wa sampuli za chakula kwa lengo la kujiridhisha na ubora na usalama wake kabla ya kufanya maamuzi ya kiudhibiti ndani ya mamlaka hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.