Skip to main content

TIC yampongeza JPM kuionya TRA kuacha Uonevu wa Ukusanyaji na ukadiriaji viwango vya kodi wafanyabiashara na wawekezaji


Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kutoa tamko linaoitaka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kutoza na kufanya ukadiriaji wa makusanyo ya kodi bila uonevu na kuiagiza kutenda haki na kufuata taratibu ili kuendelea kuwavutia na kuwatengezea mazingira rafiki wawekezaji wa ndani nje kuendelea kuwekeza nchini.

TIC imesema  tamko la onyo hilo litasaidia wawekezaji wa ndani na nje kuamini Serikali ya Awamu ya Tano haina ukandimizi kwao bali ina dhamira ya dhati kuwakaribisha kuwekeza katika sekta mbalimbali.

Pongezi hizo zimekuja siku moja baada ya Rais Magufuli kuionya mamlaka hiyo akiwa kwenye ziara ya Uzinduzi  wa uwekaji jiwe la msingi la Mradi wa Maji wilayani Arumeru mjini Arusha ambapo aliwaonya baadhi ya watendaji kuachakuwakadiria wafanyabiashara viwango vikubwa vya kodi hali inayowafanya wakwepe kulipa.

Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Geoffrey Mwambe katika Kongamano lililowakutanisha wawekezaji wa ndani na kutoka China ambapo limejadili ushirikiano wa uwekezaji na kibiashara baina ya nchi hizo.

Amesema kuwa tamko hilo litasaidia wawekezaji wengi kuchangamkia fursa za uwekezaji zililopo nchini huku na kusisitiza hata wafanyabiashara wamelipokea  kwa furaha kwani litawaondolea adha na kuwakatisha tama ya kufunga biashara zao.

“ Tunafurahi na tumelipokea tamko la Rais Magufuli kwa TRA litatengeneza mahausiano mema kati ya wafanyabiashara, wawekezaji na Serikali  itafungua fursa za uwekezaji nchini,” amesema.

Amebainisha kuwa tamko la kuitaka TRA kuweka utaratibu mzuri  wa wawekezaji na wafanyabiashara kufanya malipo ya kodi utasaidia kuliongeza taifa mapato yatakayochangia maendeleo ya nchi.

Amefafanua kuwa China ni nchi inayoongoza kwa miradi ya uwekezaji nchini ambapo ipo takribani 723 ambayo imeachangia ajira 84,000 na kwamba TIC itaendelea kushirikiana na wawekezaji kutoka nchi hiyo.

Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda amesema ni muhimu kuwakaribisha wawekezaji hao kuwekeza kwenye viwanda vya mazao kwani kutasaidia kuyapandisha hadhi mazao yetu na kuuza nje.

Waziri Kakunda amesema uwekezaji wa viwanda hivyo utapunguza uagizaji wa bidhaa nje na kulipatia taifa fedha za kigeni na kwamba nchi hiyo ina mtaji wa uwekezaji wa Sh bilioni 5.8 za Kimarekani.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini (tpsf), Godfrey Simbeye  amebainisha kuwa taasisi itaendelea kushirikiana na wawekezaji wa ndani na nje ili kuhakikisha ifikapo mwaka 2025 nchi inafikia uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda.

Katika hatua nyingine amempongeza Rais Magufuli kwa kuikemea TRA na kusisitiza onyo hilo litapunguza unyayasaji na kwamba tayari taasisi hiyo imeanzisha dawati la kuwasiliana na wawekezaji kutoka China.

Balozi wa China nchini, Wang Ke amesema kongamano hilo litasaidia kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji wa China kuja kuwekeza huku akikazia tayari nchi imeshariki katika miradi mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa Uwanja wa Taifa, Maabara ya Kisasa ya  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

Mwenyekiti wa Baraza la Uwezeshaji, Uendelezaji Ushirikiano wa Nchi za Kusini na Kusisni, Lyu Xinhua amesema kutokana mazingira ya uwekezaji kuwa mazuri anaamini waekezaji wengi watachangmkia fursa za uwekezaji.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.