Skip to main content

TIC yampongeza JPM kuionya TRA kuacha Uonevu wa Ukusanyaji na ukadiriaji viwango vya kodi wafanyabiashara na wawekezaji


Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kutoa tamko linaoitaka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kutoza na kufanya ukadiriaji wa makusanyo ya kodi bila uonevu na kuiagiza kutenda haki na kufuata taratibu ili kuendelea kuwavutia na kuwatengezea mazingira rafiki wawekezaji wa ndani nje kuendelea kuwekeza nchini.

TIC imesema  tamko la onyo hilo litasaidia wawekezaji wa ndani na nje kuamini Serikali ya Awamu ya Tano haina ukandimizi kwao bali ina dhamira ya dhati kuwakaribisha kuwekeza katika sekta mbalimbali.

Pongezi hizo zimekuja siku moja baada ya Rais Magufuli kuionya mamlaka hiyo akiwa kwenye ziara ya Uzinduzi  wa uwekaji jiwe la msingi la Mradi wa Maji wilayani Arumeru mjini Arusha ambapo aliwaonya baadhi ya watendaji kuachakuwakadiria wafanyabiashara viwango vikubwa vya kodi hali inayowafanya wakwepe kulipa.

Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Geoffrey Mwambe katika Kongamano lililowakutanisha wawekezaji wa ndani na kutoka China ambapo limejadili ushirikiano wa uwekezaji na kibiashara baina ya nchi hizo.

Amesema kuwa tamko hilo litasaidia wawekezaji wengi kuchangamkia fursa za uwekezaji zililopo nchini huku na kusisitiza hata wafanyabiashara wamelipokea  kwa furaha kwani litawaondolea adha na kuwakatisha tama ya kufunga biashara zao.

“ Tunafurahi na tumelipokea tamko la Rais Magufuli kwa TRA litatengeneza mahausiano mema kati ya wafanyabiashara, wawekezaji na Serikali  itafungua fursa za uwekezaji nchini,” amesema.

Amebainisha kuwa tamko la kuitaka TRA kuweka utaratibu mzuri  wa wawekezaji na wafanyabiashara kufanya malipo ya kodi utasaidia kuliongeza taifa mapato yatakayochangia maendeleo ya nchi.

Amefafanua kuwa China ni nchi inayoongoza kwa miradi ya uwekezaji nchini ambapo ipo takribani 723 ambayo imeachangia ajira 84,000 na kwamba TIC itaendelea kushirikiana na wawekezaji kutoka nchi hiyo.

Kwa upande wake, Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda amesema ni muhimu kuwakaribisha wawekezaji hao kuwekeza kwenye viwanda vya mazao kwani kutasaidia kuyapandisha hadhi mazao yetu na kuuza nje.

Waziri Kakunda amesema uwekezaji wa viwanda hivyo utapunguza uagizaji wa bidhaa nje na kulipatia taifa fedha za kigeni na kwamba nchi hiyo ina mtaji wa uwekezaji wa Sh bilioni 5.8 za Kimarekani.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Nchini (tpsf), Godfrey Simbeye  amebainisha kuwa taasisi itaendelea kushirikiana na wawekezaji wa ndani na nje ili kuhakikisha ifikapo mwaka 2025 nchi inafikia uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda.

Katika hatua nyingine amempongeza Rais Magufuli kwa kuikemea TRA na kusisitiza onyo hilo litapunguza unyayasaji na kwamba tayari taasisi hiyo imeanzisha dawati la kuwasiliana na wawekezaji kutoka China.

Balozi wa China nchini, Wang Ke amesema kongamano hilo litasaidia kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji wa China kuja kuwekeza huku akikazia tayari nchi imeshariki katika miradi mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa Uwanja wa Taifa, Maabara ya Kisasa ya  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

Mwenyekiti wa Baraza la Uwezeshaji, Uendelezaji Ushirikiano wa Nchi za Kusini na Kusisni, Lyu Xinhua amesema kutokana mazingira ya uwekezaji kuwa mazuri anaamini waekezaji wengi watachangmkia fursa za uwekezaji.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...