Skip to main content

Naibu Waziri wa Fedha na Mpango Dkt. Ashatu Kijaji aibua jambo mahafali ya 44 ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM

Tanzania katika kuandaa rasimali watu iko chini ya asilimia 62 ya viwango vya Dunia ambapo Tanzania imefikia asilimia  53 kufikia huko kumetokana na watu kukosa ubunifu na ujuzi.

Ambapo katika viwango na ujuzi na ubunifu kwa viwango vilivyowekwa ni asilimia 50 ambapo Tanzania  imefikia asilimia 40 hivyo wasomi lazima kuondoa hali hiyo.
WhatsApp%2BImage%2B2018-12-01%2Bat%2B1.00.46%2BPM
Naibu Waziri wa Fedha na Mpango Dkt. Ashatu Kijaji  akizungumza katika mahafali ya 44 ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam
Hayo yamesemwa  jana na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Ashatu Kijaji wakati wa mahafali ya 44 ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa kila mwaka kuna  wahitimu wengi ambao wanaingia katika soko la ajira lakini hakuna matokeo ya kazi wanazozifanya. 
Amesema kuwa mikopo Chechefu kupanda kwake kumetokana na wataalam wa fedha ambapo wamepandisha kutoka asilimia 5 hadi kufikia asilimia 10 na kuendelea.

"Mikopo Chechefu kupanda hakujanywa na mashine bali ni sisi wenyewe ni kazi kwetu wa wataalam wa fedha kutafakari katika kusaidia maendeleo ya Taifa"amesema Dkt.Kijaji. 
Hata hivyo amekipongeza Chuo hicho katika ujenzi wa Chuo makao makuu jijini  Dodoma na kutaka wajenge kwa kutumia wabia na sio serikali kutoa fedha. Nae Mkuu wa Chuo hicho Profesa Tadeo Satta amesema kuwa cho kina changamoto ya walimu pamoja na kuwa na eneo  dogo. 

Amesema kuwa wanatarajia kujenga Chuo cha Biashara katika eneo la Nara jijini Dodoma katika kuwasogezea huduma wafanyakazi wa serikali. 

Aidha amesema kuwa Chuo kimeendelea kuwa na ushirikiano na wadau katika utaoaji wa elimu bora.

 .
WhatsApp%2BImage%2B2018-12-01%2Bat%2B1.00.34%2BPM
 Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Profesa Tadeo Satta akitoa taarifa ya Chuo katika mahafali 44 ya Chuo hicho yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
WhatsApp%2BImage%2B2018-12-01%2Bat%2B1.00.42%2BPM
Wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) katika mahafali ya 44 ya Chuo hicho wakiwa katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.





WhatsApp%2BImage%2B2018-12-01%2Bat%2B1.00.33%2BPM
 Baadhi ya wadau wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM wakiwa katika mahafali ya 44 yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...