Skip to main content

Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali Taasisi ya Ustawi wa Jamii


Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali zitolewazo na Taasisi ya Ustawi wa Jamii huku idadi ya wanaweke wahitimu ikiipiku idadi ya wanaume wahitimu katika Taasis hiyo ambapo wanawake ni asilimia 67 na wanaume asilimia 33.

Taasisi hiyo imetakiwa kuendelea kufanya tafiti mbalimbali zitazotoa suluhisho za changamoto zinazo likabili Taifa.
Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na watoto ,Idara kuu ya maendeleo ya jamii Dk. John Jingu wakati wa mahafali ya 42 ya Taasis ya Ustawi wa Jamii.
“Pamoja na changamoto mbalimbali mlizonazo msiache kufanya tafiti na kubuni kozi zitakazo toa ufumbuzi wa changamoto za wananchi hususani katika kozi ya Ustawi wa jamii zipo fursa nyingi,”alisema
Vilevile Dk. Jingu alisema changamoto za chuo hicho zinafanyiwa kazi nakutoa marejeo ya hotuba ya Waziri mwenye zamana ya Wizara hiyo, Ummy Mwalimu katika mchango wake bungeni wakati alipokuwa akichangia makadirio ya bajeti 2018/19.
Aidha Dk.Jingu aliwapongeza wahitimu kwakufanya vizuri na kuwahakikishia kuwa ajira zipo njenje kutokana na stadi na ujuzi waliupata katika Taasis hiyo mahiri katika masuala ya ustawi wa jamii ikiwemo kujiajiri na kuajiri wengine endapo watautumia ujuzi walioupata kwa usahihi.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasis Sophia Simba aliwataka kushiriki kikamilifu katika mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwakuwa wanaulewa wakutosha wakawaelimishe wananchi kuunga Mkono juhudi za Rais Dk.John Pombe Magufuli.
“Pasina shaka mnastahili kutunukiwa shahada mnazotunikiwa lakini mkawe mabalozi wazuri katika mapinduzi ya uchumi hususani uchumi wa viwanda na uchumi wakati kama Rais wetu alivyofungua njia,”alisema
Makamu Mkuu wa Taasis hiyo Dk.Zena Mabeyo alisema pamoja na changamoto nyingi zinazo ikabili Taasi, kubwa rasilimali fedha hivyo ameiomba serikali kuipatia Taasis hiyo fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mipango yake ya maendeleo.
Miongoni mwa changamoto ni fedha za kufanyia tafiti, kupandisha wahadhiri madaraja, ununuzi wa vifaa vya kufundishia hususani vya Tehama, ufinyu wa madarasa, uhaba wa wataalamu hadi kufikia hatua ya kukodi kutoa Taasis nyingine.
“Pamoja na ukwasi tulionao hatujashindwa kutekeleza majukumu yetu kwa asilimia kadhaa kulingana na kile kidogo tulicho nacho lakini kuna kila sababu kuijengea uwezo Taasis hii muhimu katika ustawi wa Taifa na watu wake,”alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...