Skip to main content

Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali Taasisi ya Ustawi wa Jamii


Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali zitolewazo na Taasisi ya Ustawi wa Jamii huku idadi ya wanaweke wahitimu ikiipiku idadi ya wanaume wahitimu katika Taasis hiyo ambapo wanawake ni asilimia 67 na wanaume asilimia 33.

Taasisi hiyo imetakiwa kuendelea kufanya tafiti mbalimbali zitazotoa suluhisho za changamoto zinazo likabili Taifa.
Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na watoto ,Idara kuu ya maendeleo ya jamii Dk. John Jingu wakati wa mahafali ya 42 ya Taasis ya Ustawi wa Jamii.
“Pamoja na changamoto mbalimbali mlizonazo msiache kufanya tafiti na kubuni kozi zitakazo toa ufumbuzi wa changamoto za wananchi hususani katika kozi ya Ustawi wa jamii zipo fursa nyingi,”alisema
Vilevile Dk. Jingu alisema changamoto za chuo hicho zinafanyiwa kazi nakutoa marejeo ya hotuba ya Waziri mwenye zamana ya Wizara hiyo, Ummy Mwalimu katika mchango wake bungeni wakati alipokuwa akichangia makadirio ya bajeti 2018/19.
Aidha Dk.Jingu aliwapongeza wahitimu kwakufanya vizuri na kuwahakikishia kuwa ajira zipo njenje kutokana na stadi na ujuzi waliupata katika Taasis hiyo mahiri katika masuala ya ustawi wa jamii ikiwemo kujiajiri na kuajiri wengine endapo watautumia ujuzi walioupata kwa usahihi.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasis Sophia Simba aliwataka kushiriki kikamilifu katika mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwakuwa wanaulewa wakutosha wakawaelimishe wananchi kuunga Mkono juhudi za Rais Dk.John Pombe Magufuli.
“Pasina shaka mnastahili kutunukiwa shahada mnazotunikiwa lakini mkawe mabalozi wazuri katika mapinduzi ya uchumi hususani uchumi wa viwanda na uchumi wakati kama Rais wetu alivyofungua njia,”alisema
Makamu Mkuu wa Taasis hiyo Dk.Zena Mabeyo alisema pamoja na changamoto nyingi zinazo ikabili Taasi, kubwa rasilimali fedha hivyo ameiomba serikali kuipatia Taasis hiyo fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mipango yake ya maendeleo.
Miongoni mwa changamoto ni fedha za kufanyia tafiti, kupandisha wahadhiri madaraja, ununuzi wa vifaa vya kufundishia hususani vya Tehama, ufinyu wa madarasa, uhaba wa wataalamu hadi kufikia hatua ya kukodi kutoa Taasis nyingine.
“Pamoja na ukwasi tulionao hatujashindwa kutekeleza majukumu yetu kwa asilimia kadhaa kulingana na kile kidogo tulicho nacho lakini kuna kila sababu kuijengea uwezo Taasis hii muhimu katika ustawi wa Taifa na watu wake,”alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...