Skip to main content

Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali Taasisi ya Ustawi wa Jamii


Wahitimu 1,387 walitunukiwa shahada mbalimbali zitolewazo na Taasisi ya Ustawi wa Jamii huku idadi ya wanaweke wahitimu ikiipiku idadi ya wanaume wahitimu katika Taasis hiyo ambapo wanawake ni asilimia 67 na wanaume asilimia 33.

Taasisi hiyo imetakiwa kuendelea kufanya tafiti mbalimbali zitazotoa suluhisho za changamoto zinazo likabili Taifa.
Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na watoto ,Idara kuu ya maendeleo ya jamii Dk. John Jingu wakati wa mahafali ya 42 ya Taasis ya Ustawi wa Jamii.
“Pamoja na changamoto mbalimbali mlizonazo msiache kufanya tafiti na kubuni kozi zitakazo toa ufumbuzi wa changamoto za wananchi hususani katika kozi ya Ustawi wa jamii zipo fursa nyingi,”alisema
Vilevile Dk. Jingu alisema changamoto za chuo hicho zinafanyiwa kazi nakutoa marejeo ya hotuba ya Waziri mwenye zamana ya Wizara hiyo, Ummy Mwalimu katika mchango wake bungeni wakati alipokuwa akichangia makadirio ya bajeti 2018/19.
Aidha Dk.Jingu aliwapongeza wahitimu kwakufanya vizuri na kuwahakikishia kuwa ajira zipo njenje kutokana na stadi na ujuzi waliupata katika Taasis hiyo mahiri katika masuala ya ustawi wa jamii ikiwemo kujiajiri na kuajiri wengine endapo watautumia ujuzi walioupata kwa usahihi.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasis Sophia Simba aliwataka kushiriki kikamilifu katika mapinduzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kwakuwa wanaulewa wakutosha wakawaelimishe wananchi kuunga Mkono juhudi za Rais Dk.John Pombe Magufuli.
“Pasina shaka mnastahili kutunukiwa shahada mnazotunikiwa lakini mkawe mabalozi wazuri katika mapinduzi ya uchumi hususani uchumi wa viwanda na uchumi wakati kama Rais wetu alivyofungua njia,”alisema
Makamu Mkuu wa Taasis hiyo Dk.Zena Mabeyo alisema pamoja na changamoto nyingi zinazo ikabili Taasi, kubwa rasilimali fedha hivyo ameiomba serikali kuipatia Taasis hiyo fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mipango yake ya maendeleo.
Miongoni mwa changamoto ni fedha za kufanyia tafiti, kupandisha wahadhiri madaraja, ununuzi wa vifaa vya kufundishia hususani vya Tehama, ufinyu wa madarasa, uhaba wa wataalamu hadi kufikia hatua ya kukodi kutoa Taasis nyingine.
“Pamoja na ukwasi tulionao hatujashindwa kutekeleza majukumu yetu kwa asilimia kadhaa kulingana na kile kidogo tulicho nacho lakini kuna kila sababu kuijengea uwezo Taasis hii muhimu katika ustawi wa Taifa na watu wake,”alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.