Skip to main content

Waziri Nchimbi azindua Kamati ya kubuni vazi la Taifa

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt Emmanuel Nchimbi ameitaka kamati mpya ya kubuni vazi la taifa kukamilisha mchakato wa kupata vazi hilo ndani siku 75 ili liwezwe kupelekwa kwenye Baraza la Mawaziri kwa maamuzi zaidi. Akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kamati hiyo, Waziri Nchimbi amesema kazi ya kamati hiyo siyo kuanza mchakato upya bali ni kukamilisha mchakato wa kupata vazi la taifa la mwanaume na mwanamke ulioanza tangu mwaka 2004. Amesema Wizara imefanya mambo kadha wa kadha katika kukamilisha zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kutembelea nchi kadhaa za Afrika ili kupata uzoefu wa namna walivyopata vazi la taifa.


Amesema anaamini kwa kupitia mapendekezo ya awali ya kamati na taaluma yatasaidia mchakato huo ili kuwe na vazi la taifa. “Mnayo kazi kubwa kwa sababu lazima tufike mwisho tuwape Watanzania kile ambacho wamekisubiri kwa muda mrefu,Watanzania wanatarajia ufanisi mkubwa kutoka kwa kamati hii.”Alisema Waziri Nchimbi. Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.Joseph Kusaga amesama watajitahidi kufanya kazi kwa nguvu zote kuhakikisha nchi inapata vazi la taifa kwa sababu ni kitu kizuri nchi kuwa na vazi lake.


Hivi Karibuni Waziri Nchimbi aliteua wajumbe wa kamati maalum inayoongozwa na Bw.Joseph Kusaga ambaye ni Mweneykiti ili kufankisha mchakato wa kupata vazi la taifa,wajumbe wengine walioteuliwa ni pamoja,Angela Ngowi Katibu,Joyce Mhavile,Mstafa Hassanali Absalom Kibanda,Habibu Gunze,Makwaia Kuhenga na Ndesambuka Merinyo. Wakati huo huo Waziri ametoa pole kwa Watanzania wote waliokumbwa na mafuriko yaliyopelekea kupoteza maisha kwa baadhi ya watu na mali kuharibiwa,pia amewapongeza wanahabari kwa kuhabarisha umma pamoja na kwamba wamefanya kazi katika mazingira magumu.
Beatrice Mlyansi na Benjamin Sawe

Maelezo

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...