Skip to main content

Waziri Nchimbi azindua Kamati ya kubuni vazi la Taifa

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Dkt Emmanuel Nchimbi ameitaka kamati mpya ya kubuni vazi la taifa kukamilisha mchakato wa kupata vazi hilo ndani siku 75 ili liwezwe kupelekwa kwenye Baraza la Mawaziri kwa maamuzi zaidi. Akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kamati hiyo, Waziri Nchimbi amesema kazi ya kamati hiyo siyo kuanza mchakato upya bali ni kukamilisha mchakato wa kupata vazi la taifa la mwanaume na mwanamke ulioanza tangu mwaka 2004. Amesema Wizara imefanya mambo kadha wa kadha katika kukamilisha zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kutembelea nchi kadhaa za Afrika ili kupata uzoefu wa namna walivyopata vazi la taifa.


Amesema anaamini kwa kupitia mapendekezo ya awali ya kamati na taaluma yatasaidia mchakato huo ili kuwe na vazi la taifa. “Mnayo kazi kubwa kwa sababu lazima tufike mwisho tuwape Watanzania kile ambacho wamekisubiri kwa muda mrefu,Watanzania wanatarajia ufanisi mkubwa kutoka kwa kamati hii.”Alisema Waziri Nchimbi. Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.Joseph Kusaga amesama watajitahidi kufanya kazi kwa nguvu zote kuhakikisha nchi inapata vazi la taifa kwa sababu ni kitu kizuri nchi kuwa na vazi lake.


Hivi Karibuni Waziri Nchimbi aliteua wajumbe wa kamati maalum inayoongozwa na Bw.Joseph Kusaga ambaye ni Mweneykiti ili kufankisha mchakato wa kupata vazi la taifa,wajumbe wengine walioteuliwa ni pamoja,Angela Ngowi Katibu,Joyce Mhavile,Mstafa Hassanali Absalom Kibanda,Habibu Gunze,Makwaia Kuhenga na Ndesambuka Merinyo. Wakati huo huo Waziri ametoa pole kwa Watanzania wote waliokumbwa na mafuriko yaliyopelekea kupoteza maisha kwa baadhi ya watu na mali kuharibiwa,pia amewapongeza wanahabari kwa kuhabarisha umma pamoja na kwamba wamefanya kazi katika mazingira magumu.
Beatrice Mlyansi na Benjamin Sawe

Maelezo

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. Sławomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...